you know what I think? anajua "Mungu yupo", he just doubt God's power, anachukizwa na vita na mauaji halafu anashangaa kuona bado tuna Imani thabit, bado tunaamini Yupo. Tunajua He is not the cause for all of this, but satan is.
Mungu hakuweka dhambi, Mungu aliweka "free will" kwa malaika hata binadamu, na hii ni kwa sababu Anataka tumwabudu kwa moyo mmoja bila kuwa forced. Kwani anashindwa kutu-force? au kutu-command tumwabudu automatically bila sisi kujua? Hapana, hashindwi, Yeye ni wa Haki, ndiyo maana kuna free will, ndiyo maana kuna watu wanadiriki hata kumtukana, lakini asiwafanye chochote. He can even End everything He created in a SINGLE SNAP of his fingers, but no He wont, because He loves us more than we can imagine.
kamwachia satan dunia hii, aitawale atakavyo. Ili sisi tupate kuona kwa macho yetu ni utawala wa nani unafaa? angalia jinsi malaika waishivyo kwa raha huko mbinguni chini ya utawala wa Mungu, tuangalie sisi tulio chini ya huyu nyoka.
Aliye na macho, na aone. Aliye na masikio na asikie.
sasa kaka, ukitaka kuona huyu God hater ni wa ajabu, atakuja kuni-quote na maswali yake wakati nilishasema simjibu. labda aache kwa kuwa nimesema hayo.