Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Wewe ume prove nini?
Kwamba so far huwezi ku prove kwamba mungu yupo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ume prove nini?
Unapozungumza habari ya Mungu,mzungumze kama Mungu.Unapozungumza habari ya binadamu,kumbuka kutofautisha namna yake tofauti na Mungu.Mungu anajua kila kitu,he is timeless,he see things timelessly,he is not bound by age,because age is one of his creations.lakini wewe na mimi tuko within a certain time limit,tuna age.Yeye huona mwanzo wetu hadi mwisho,ndio maana keshaujua na kuunakili,kwa vile hawezi kuubadili,he cant change our future,because it is already written,by us,He is not the writer,we are.He is just waiting for everybody to finnish writing his/her future,out of our free will,actually he is waiting for us to complete our age,of which he already know how it ends.
Kwamba so far huwezi ku prove kwamba mungu yupo.
Halafu hadi hapo hujaona kuwa na wewe umeshindwa ku prove kuwa hayupo ...!!
Hakuna chochote ambacho hakipo ambacho yeyote anaweza ku prove jwamba hakipo.
Kwa sababu hakipo ili kiwe proved kwamba hakipo.
Nikisema kuna mchaga mwenye vichwa vitatau yuko.juu ya mlima Kilimanjaro na huyu ndiye ana conyrol dunia nzima, obviously that is hogwash. Lakini by the nature of proofs, you cannot prove kwamba hayupo. Nitakuchenga tu na kujuambia haonekani kwa macho, and this and that. Therefore you cannot prove kwamba hayupo.
Same thing with god. No one can.prove he doesn't exist, regardless of whether he exist or not.
Proof ni kwa vile vilivyopo.
Na wewe unayesema yupo ndiye mwenye burden of proof.
Ambayo so far hujatoa.
Kuna wakati watu wanaweza kuamua kuzamisha vichwa vyao kwenye lindi la ujinga
Sijui unashindwaje kuona kwa urahisi kabisa kuwa unaposema "hakuna" unatakiwa utoe ushahidi kwa ku back up madai yako na kama huna utakuwa unaamini tu kuwa hayupo
Ni nini kimekufanya ukasema hayupo?
1;Je ni kitendo cha wewe kushindwa kuelewa yale unayoambiwa yanayomhusu?
2;Je ni kukosa ushahidi wa uwepo wake?
Kama kuna kati ya kimoja hapo kinachokufanya useme hayupo basi;
1;Utakuwa ni mvivu wa kufikiri
2;Utakuwa umeamua tu kuamini hayupo!
Kwamba so far huwezi ku prove kwamba mungu yupo.
Prove kwamba mungu yupo.
Ishmael, look who's talking now, jamaa ameniambia niki-reply post zake ni kama nimemjibu.. who is contradicting himself now?
you simply don't need "proof" to believe that God is there or not, Mungu ni Roho, faith is needed and not scientific proofs. Unaamini, vema. Huamini, kaa hivyo hivyo, maana anayetaka ukweli angeshaujua tangia zamani.
sasa anakataa uwepo wa Mungu, lakini naona kwenye signature yake ameweka Mithali 23:9 "Usiseme masikioni mwa mtu mjinga, kwa maana atayadharau maneno yako yenye busara". Cha kushangaza Mithali ipo katika Biblia, na Biblia neno la Mungu! MUNGU HUYO HUYO asiyeamini uwepo wake.
so according to his signature, sijui kati ya sisi na yeye pamoja na huyo beki tatu wake ni nani wenye BUSARA na nani ni WAJINGA.
ha ha ha hivi hii mijadala bado IPO? Kiranga.. Ishmael na Eiyer hapa mtakesha Kama hamjaamua hii discussion IPO ktk ujuzi au imani?
Kama ni IMANI ni sawa na kubeba maji kwenye pakacha kwasababu kuamini kila MTU aweza amini chochote na asiamini chochote kwakuwa tu ni mambo yasiyoonekana...
Kama ni UJUZI hapo unaweza pata mshindi maana ujuzi Una kipimo na uthibitisho...
sasa je mpo kiimani au ujuzi?
Mwambie yule God Hater alete uthibitisho wa kuwa hakuna Mungu. Ili yaishe na sie tuwe Makafir wa ki non theist.
Ndio dunia Mkuu, unaonewa kwa kusema ukweli. Inshaalah, Mungu anawalipa kwa mabaya yote wanayo fanya.Ha ha ha mkuu upo?
Pole kwa kifungo cha haja
Ndio dunia Mkuu, unaonewa kwa kusema ukweli. Inshaalah, Mungu anawalipa kwa mabaya yote wanayo fanya.
Unajua, hii ni forum ya ajabu sana. Hapa unaruhusiwa kUmtuna Mungu na Yesu tena mitusi mikubwa mikubwa. Lakini ukisema ukweli kuhsu Muhammad na Allah, walah huto chukua muda utapelekwa Mapumbuziko yasio na hiyari. Lakini uzuri wake ni kuwa, UKWELI UNABAKIA PALE PALE. Watake wasi take hao Muhammadans au hawa God Haters the incarnation of Lucifer ukweli wamesha upata. Wlicho bakiza ni ligi.Ha ha ha nikikumbuka jinsi walivyokufungia kazi huwa nacheka Sana...
Nimefurahi kukuona hapa mdau japo siku hizi sipati muda kabisa wakua hapa jf ni Mara chache mno...
Karibu Sana mkuu
Unajua, hii ni forum ya ajabu sana. Hapa unaruhusiwa kUmtuna Mungu na Yesu tena mitusi mikubwa mikubwa. Lakini ukisema ukweli kuhsu Muhammad na Allah, walah huto chukua muda utapelekwa Mapumbuziko yasio na hiyari. Lakini uzuri wake ni kuwa, UKWELI UNABAKIA PALE PALE. Watake wasi take hao Muhammadans au hawa God Haters the incarnation of Lucifer ukweli wamesha upata. Wlicho bakiza ni ligi.
Unajua, hii ni forum ya ajabu sana. Hapa unaruhusiwa kUmtuna Mungu na Yesu tena mitusi mikubwa mikubwa. Lakini ukisema ukweli kuhsu Muhammad na Allah, walah huto chukua muda utapelekwa Mapumbuziko yasio na hiyari. Lakini uzuri wake ni kuwa, UKWELI UNABAKIA PALE PALE. Watake wasi take hao Muhammadans au hawa God Haters the incarnation of Lucifer ukweli wamesha upata. Wlicho bakiza ni ligi.