If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

If God knows the future (omniscient), can you change your destiny?

Ndiyo maana nikakuuliza kwa framework gani na margin of error gani?

Naweza kukuambia kuna falsafa zinazosema kila kitu ni cha kufikirika vike vike, na hakipo, na huna njia ya kuthibitisha kwamba hilo si kweli.

kwa hiyo ww unaamini sana kwenye hizo falsafa sasa mbona ulikuwa ukisumbua watu wakuthibitishie uwepo wa Mungu.....wakati ww umeshindwa kuthibitisha uwepo wako hata kwa kutumia hizo unazodai ni falsafa....poor kiranga
 
kwa hiyo ww unaamini sana kwenye hizo falsafa sasa mbona ulikuwa ukisumbua watu wakuthibitishie uwepo wa Mungu.....wakati ww umeshindwa kuthibitisha uwepo wako hata kwa kutumia hizo unazodai ni falsafa....poor kiranga

Sitaki kuamini, nataka kujua.

Sijashindwa kuthibitisha uwepo wangu, wewe ndiye umeshindwa kutaja framework na margin of error.

Uthibitisho wowote ambao hauna defined domain/ framework and margin of error ni ubatili.
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Sijashindwa kuthibitisha uwepo wangu, wewe ndiye umeshindwa kutaja framework na margin of error.

Uthibitisho wowote ambao hauna defined domain/ framework and margin of error ni ubatili.

nani alikuwa kama hauna defined domain/framework and margin of error kuwa ni batili!!!?..
Na mm nataka unithibitishie na kunifanya nijue kuwa ww upo na usiniaminishe uwepo wako
 
Ndiyo maana nikakuuliza kwa framework gani na margin of error gani?

Naweza kukuambia kuna falsafa zinazosema kila kitu ni cha kufikirika vike vike, na hakipo, na huna njia ya kuthibitisha kwamba hilo si kweli.
Jibu swali, umesha ambiwa chagua margin na error. Huwezi kimbia hapa. Lazima ujifunze kujibu maswali na sio kukimbia maswali na kutumia ignore option.
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Sijashindwa kuthibitisha uwepo wangu, wewe ndiye umeshindwa kutaja framework na margin of error.

Uthibitisho wowote ambao hauna defined domain/ framework and margin of error ni ubatili.

WEIRD stuff, haya msomeni ndugu yenu jinsi anavyo jiweka kwenye hali mbaya.

DAI LAKE LA KWANZA

quote_icon.png
By Kiranga

I am allergic to belief.

I would rather know, thank you very much.


HUYOOOOO kesha anza kuonyesha tatizo katika UONGO WAKE WA ALLERGY

quote_icon.png
By Kiranga

Inherently I do not have a problem with faith.

....

Here is where some choose to have total faith in an invisible god while others choose to have only a minimal amountn of faith based on.rationality and gradually converge towards knowledge.



Here we go again. SASA ANAKUBALI KUWA LAZIMA WATUMIE FAITH KATIKA SAYANSI

quote_icon.png
By Kiranga
I can barely tolerate it for practical reasons linked to it's current inescapable nature as pointed above. That is, in order to eradicate it, one has to barely accommodate it, and converge towards it's gradual eradication methodically.

Experimentation, peer review and observation in a corrective and critically reflective culture (the opposite of faith) would eventually converge towards less belief and more knowledge.

That is how science advances.



Sasa ninapo sema kuwa HUU NI MSIBA NITAKUWA NIMEWASINGIZIA?
 
Sitaki kuamini, nataka kujua.

Sijashindwa kuthibitisha uwepo wangu, wewe ndiye umeshindwa kutaja framework na margin of error.

Uthibitisho wowote ambao hauna defined domain/ framework and margin of error ni ubatili.
Jibu swali usitake kukimbia. Go ahead NA JIBU MASWALI. HUKIMBII HAPA.
 
Kiranga leo hameshindwa kuthibitisha uwepo wake......
Hana huo ubavu na wala hakuwai kuwa na huo ubavu. Ndio maana anatumia IGNORE OPTION anapo zidiwa na huwa anakimbia.

MWAMBIENI HUYO JAAMA AJE NIFANYE NAE DEBATE.

Mwambie huyo atheist, anitoe kwenye IGNORE LIST YAKE na afanye nami debate. I am ready, able, willing kumsambaratisha huku watu mkiangalia. Tell the person for me maana ameniweka kwenye ignore list yake.
 
Jifunze kivipi utakatifu unapatikana. Inaonekana hujui.
Sijui? kha! Ndio Maana nimesema unapenda Midaharo isiyo na mashiko.... Tenda Mema tupu utakuwa Mtakatifu Direct na Utaitwa tu... unaongea na Mtu mwenye kufahamu Mengi na si Mabishano pole Ndugu....
 
Last edited by a moderator:
Even the best in idiocracy are also called the best.
Teyari umesha anza lugha chafu. Haikusaidii kitu. Wewe toa watu kwenye ignore list yako ili mpambane. Just BELIEVING that the earth existed ex nihilo is IDIOCRACY, ZAIDI YA HAPO, kushindwa kusaidia madai ya "negative god" is idiocracy. Don't start your idiocratic arguments.
 
Hahahahaaaaa .....
Sasa nani kasema ligi?

Ukishaona mtu anaongelea habari za "kumsambaratisha" ujue ligi hapo.

Focus haipo kwenye kuchunguza ukweli (hoja) bali kumsambaratisha (mtu).

I ain't with that. I should know better.
 
Ukishaona mtu anaongelea habari za "kumsambaratisha" ujue ligi hapo.

Focus haipo kwenye kuchunguza ukweli (hoja) bali kumsambaratisha (mtu).

I ain't with that. I should know better.
Kwani mada itakuwa anaongelewa mtu!? au ni hoja zitakazokuwa zinajadiliwa? kumsambaratisha ni pamoja na kusambaratisha hoja zako? au unadhani ni kusambaratishwa kwa namna gani?
 
Back
Top Bottom