If it happens that Israeli is defeated turned into ashes by Iran, what will happen to bible teachings? Will people still believe what is in?

If it happens that Israeli is defeated turned into ashes by Iran, what will happen to bible teachings? Will people still believe what is in?

Tuishie hapo kwenye neno "if", Israel anapata msaada wa kifedha na kijeshi kutoka kwa mataifa mbalimbali makubwaa kiuchumi na kijeshi. Uwepo wake pale eneo la Mashariki ya kati si bahati mbaya bali mpango wa hayo mataifa baadhi, waliopanga uwepo wa Israel eneo hilo walipiga hesabu mpaka kwenye hii vita/malumbano/mgogoro kati ya Palestina na Israel.

Unapoamua kusema Israel akishindwa inatakiwa ujiulize je, maslahi ya nchi zilizo nyuma ya Israel yameisha au bado yanaendelea? Kama yanaendelea, basi ujue hizo nchi zipo radhi hata kudaka wa-Afrika wenye ngozi nyeupe (Arabs) kama hao wanaodhaniwa kuwa wa-Israel watapukutishwa na kuwa install hao wa Israel feki ilimradi yatimie matakwa yao.

Planners na Strategists wa eneo la Israel wapo deep sana. Niishie hapa
 
Hii logic yako ni fallacy. Hata watanzania wapo dunia nzima hakuna ncho utaenda ukakosa mtanzani. So your point is pintless
Unaandika huku ukiwa na wasiwasi kwa sababu unajua unasema kitu ambacho hakina uhalisia.
Unhesema **** watanganyika ambao ni wayahudi sawa, lakini hakuna myahudi ambaye ni mtanganyika.
Hakuna mahali wayahudi walipewa ardhi , hayo ni maandiko ya matapeli

Hiyo israeli ilianzishwa na watu wasioamini mungu
Safi sana kijana, amini unachokitaka ila kumbuka HAMAS so far hawana vichwa watu 42,000. Sidhani kabla ya mzozo huu ulijua hili linawezekana. Tuliaminishwa kwamba kila MYAHUDI atakayeingia GAZA basi itakuwa ni kaburi lake.
 
Kuwepo kwa Israel ndo kielelezo kikuu cha uwepo wa Mungu.

Kama huamini kuhusu Mungu jaribu kusoma uhusiano wa Mungu na Israel alafu angalia uwezo wa Israel katik kupigana vita tangu kuanza kwa dunia hadi sasa.

Israel linaitwa taifa teule la Mungu kwa sababu Mungu alitaka kuonesha uwepo na ukuu wake kupitia wao. Ili ambaye haamini uwepo wake auone kupitia kwa Israel.
Israeli ilanzishwa na atheists mkuu hamna kitu kutoka biblia
 
Unaandika huku ukiwa na wasiwasi kwa sababu unajua unasema kitu ambacho hakina uhalisia.
Unhesema **** watanganyika ambao ni wayahudi sawa, lakini hakuna myahudi ambaye ni mtanganyika.

Safi sana kijana, amini unachokitaka ila kumbuka HAMAS so far hawana vichwa watu 42,000. Sidhani kabla ya mzozo huu ulijua hili linawezekana. Tuliaminishwa kwamba kila MYAHUDI atakayeingia GAZA basi itakuwa ni kaburi lake.
Nadhani vyombo vya magjaribi ndo source of your information. Siyo kweli
 
Russia has not failed it can even capture the Ukrainian president but it is deliberately extending time
Duh! Deliberately extending time on the expenses of its citizens life? Seriously? When they started the war that was their ambition to capture Ukrainian President but now it is more than two years and they are now asking assistance from North Korea. We were made to belive that Russia is a Super power and can capture Kiev in two weeks but No serious development have been archived by the super power (Russia).
 
Hapo umeandika hisia zako pamoja nahemko wako,mpinzani wa Biblia mkubwa wewe.
 
This is followed by what was claimed by the jews yester night that they bombed Iran while the fact is all missiles were destroyed by air defense system.

Now, Iran is going to retaliate back and the impact will be severe.

Will people still have a belief that bible implies words of God or words of the wajanja?
I think the killing of two Iranian officers will push Iran to retaliate, let's wait..
 
unasemaje makombora yote ya Israel yametunguliwa wakati kuna askari wamekufa?
Any way hizo wish hazitakuwepo punguza kujifungia ndani.

kusoma hujui na macho huoni? ukisikia Israel basi jua ni US,Uk, Germany na supporters wao wote, hivyo ukitaka kuwadefeat basi uwe na uhakika wa kupiga hao wote.
 
unasemaje makombora yote ya Israel yametunguliwa wakati kuna askari wamekufa?
Any way hizo wish hazitakuwepo punguza kujifungia ndani.

kusoma hujui na macho huoni? ukisikia Israel basi jua ni US,Uk, Germany na supporters wao wote, hivyo ukitaka kuwadefeat basi uwe na uhakika wa kupiga hao wote.

Na walipigwa kule Afghanistani wakaondoka
 
This is followed by what was claimed by the jews yester night that they bombed Iran while the fact is all missiles were destroyed by air defense system.

Now, Iran is going to retaliate back and the impact will be severe.

Will people still have a belief that bible implies words of God or words of the wajanja?
Null hypothesis
 
Back
Top Bottom