If it happens that Israeli is defeated turned into ashes by Iran, what will happen to bible teachings? Will people still believe what is in?

If it happens that Israeli is defeated turned into ashes by Iran, what will happen to bible teachings? Will people still believe what is in?

Galatians 3:29
Hawa ndio waisrael uzao wa ibrahim. Mafunsho ya kuwakweza wakina netanyahu ni utoto wa kiroho.
 
Duh! Deliberately extending time on the expenses of its citizens life? Seriously? When they started the war that was their ambition to capture Ukrainian President but now it is more than two years and they are now asking assistance from North Korea. We were made to belive that Russia is a Super power and can capture Kiev in two weeks but No serious development have been archived by the super power (Russia).
Like what was dwindling in our heada that Israel is extraneous powerful
 
walipigwa kina nani unajua unachokiongea au umelewa kahawa na kashata?

Itakuwa umelewa mbege , hivi hujui kuwa Nato yote ilikuwa Afghanistani baada kula kichapo na hasara si walitimka au wewe ulikuwa bado unakunywa mbege
 
We don't believe in the bible but we believe in God.

Watoto wakianza kugombana, ni lipi jukumu la baba? Apendelee mtoto mmoja?

Wakati Swala akiomba alindwe dhidi ya adui zake, wakati huo Simba naye anaomba apewe mkate wake wa kila siku. Na vipi Swala na Simba wakikutana, Mungu atasimama na yupi?

Kuna mambo ni yakuacha kama yalivyo.
 
Itakuwa umelewa mbege , hivi hujui kuwa Nato yote ilikuwa Afghanistani baada kula kichapo na hasara si walitimka au wewe ulikuwa bado unakunywa mbege
Tangu lini Taliban walipiga Us? hivi huwa mna akili za wapi? Us ali withdraw mission yake ndomana hao ndugu zako kobaz walijaa airport kutaka wasafiri wote kwenda Amerika.
 
This is followed by what was claimed by the jews yester night that they bombed Iran while the fact is all missiles were destroyed by air defense system.

Now, Iran is going to retaliate back and the impact will be severe.

Will people still have a belief that bible implies words of God or words of the wajanja?
Yaelekea unaishi kqenye Ulimwengu wako pekee yako. Maana unayoyaongea hayajaongewa na yeyote.

Hakuna mahali popote ambapo Iran imetamka kuwa makombora yote yalidakwa bali wamesema kuwa mitambo ya ulinzi wa anga imefanya vizuri, japo kuna makombora yame-hit some bases na kuleta madhara madogo. Mna matatizo ya kuelewa au ni watu mliozoea uwongo?
 
Tangu lini Taliban walipiga Us? hivi huwa mna akili za wapi? Us ali withdraw mission yake ndomana hao ndugu zako kobaz walijaa airport kutaka wasafiri wote kwenda Amerika.
Alikimbia kama alivyokimbia Vietnam. Tena Afghanistan alikuwa na mashoga zake NATO. kwa kifupi mission ilifeli. Kaondoka tu taleban wakakamata usukani.
 
This is followed by what was claimed by the jews yester night that they bombed Iran while the fact is all missiles were destroyed by air defense system.

Now, Iran is going to retaliate back and the impact will be severe.

Will people still have a belief that bible implies words of God or words of the wajanja?
Mkuu hakuna uhusiano wa Wakristo na kina Netanyau. Taifa la Israel linalozungumziwa sio hilo la Sasa.

Ndio maana vita ya Sasa sio ya Ukristo vs Islam Bali Israel wazungu na mataifa jirani
 
There has never been something like that. All stories about him or her are made up stories.
God is for us believers, since you are not among of us, you will not let it sink into your head even if we argue a whole day.

GOD IS FOR US BELIEVERS. THERE IS NO GOD IS FOR YOU NON BELIVERS.

You don't have to get annoyed when someone praise or mention our God.

But naweza nikabadili msimamo kama utanithibitishia pasi na shaka Mungu hayupo huku ukifafanunua haya mambo.

1. Kwanini sayari yetu ya Dunia isingekaa ilipo Mecury? Coincedence?

2. Kwanini binadamu ana vidole vitano na sio kimoja? Coincedence?

3. Kwanini ukikata kucha inaota ila kidole hakioti? Coincedence?

4. Kwanini tuna mdomo haukuwekwa mgongoni? Coincedence?

5. Kwanini kuna usiku na mchana? Coincedence?

6. Kwanini kuna masika na kiangazi? Coincendence?

7. Kwanini hatuwezi kumuasha aliyekufa? Coincedence?

8. Kwanini unahisi kiu? Coincedence?

9. Ingekuaje tungeishi na ile mijusi mikubwa? Kwanini baada ya mijusi kuuwawa na binadamu akaanza maisha? Ilitokea tu?

.....

Nakubali kumuweka Mungu pembeni kwenye sayansi ili tusikutane na ukomo wa mawazo. Kwasababu ukisema hii ni kazi ya Mungu maana yake umefunga mjadala huwezi kufikiri zaido ya hapo kitu ambacho kwangu sio sahihi naamini Mungu alitupa hizi akili ili tuweze kutenda na kuhoji.

Anyway kama utanipa majibu pasi na shaka kwanini hivyo vitu vmepangiliwa hivyo bila makosa yoyote ya kimahesabu. Kwamba hayupo aliyeengineer hayo mambo nyuma yake? Vimetokea tu?
 
Tangu lini Taliban walipiga Us? hivi huwa mna akili za wapi? Us ali withdraw mission yake ndomana hao ndugu zako kobaz walijaa airport kutaka wasafiri wote kwenda Amerika.
of course watasema hivyo baada ya kupata kichapo, hata Urusi baada kupata kichapo walisema hivyo hivyo, lakini wavalishwa pampers humeza kila wanachoambiwa
 
There will be something else to dig in the bible kwa sababu kabla ya 1948 kwa miaka mingi israel halikuwa taifa walikuwa wametawanyika mataifa mbalimbali ya ulaya mpka wakakutana na kadhia ya kuuliwa kwa wingi huko ujerumani kwahyo nafkir kuna mtu mwaka 1940 alisema unabii wa kwamba israel ni taifa la Mungu haukuwa wa kweli mpka 1948 ilipokuwa nchi tena
 
God is for us believers, since you are not among of us, you will not let it sink into your head even if we argue a whole day.

GOD IS FOR US BELIEVERS. THERE IS NO GOD IS FOR YOU NON BELIVERS.

You don't have to get annoyed when someone praise or mention our God.

But naweza nikabadili msimamo kama utanithibitishia pasi na shaka Mungu hayupo huku ukifafanunua haya mambo.

1. Kwanini sayari yetu ya Dunia isingekaa ilipo Mecury? Coincedence?

2. Kwanini binadamu ana vidole vitano na sio kimoja? Coincedence?

3. Kwanini ukikata kucha inaota ila kidole hakioti? Coincedence?

4. Kwanini tuna mdomo haukuwekwa mgongoni? Coincedence?

5. Kwanini kuna usiku na mchana? Coincedence?

6. Kwanini kuna masika na kiangazi? Coincendence?

7. Kwanini hatuwezi kumuasha aliyekufa? Coincedence?

8. Kwanini unahisi kiu? Coincedence?

9. Ingekuaje tungeishi na ile mijusi mikubwa? Kwanini baada ya mijusi kuuwawa na binadamu akaanza maisha? Ilitokea tu?

.....

Nakubali kumuweka Mungu pembeni kwenye sayansi ili tusikutane na ukomo wa mawazo. Kwasababu ukisema hii ni kazi ya Mungu maana yake umefunga mjadala huwezi kufikiri zaido ya hapo kitu ambacho kwangu sio sahihi naamini Mungu alitupa hizi akili ili tuweze kutenda na kuhoji.

Anyway kama utanipa majibu pasi na shaka kwanini hivyo vitu vmepangiliwa hivyo bila makosa yoyote ya kimahesabu. Kwamba hayupo aliyeengineer hayo mambo nyuma yake? Vimetokea tu?
All are rubbish. Unaweza hata kujiuliza kwa nini we binti na wala siyo mwanaume. Ukiamua kuuliza kila kitu unaweza. Unaweza pia kuuliza kwa nini pua liko hapo na haliko matakoni
 
Galatians 3:29
Hawa ndio waisrael uzao wa ibrahim. Mafunsho ya kuwakweza wakina netanyahu ni utoto wa kiroho.


When was the New Testament written?


How big was the first New Testament? (google). The Roman massacres also wiped out the original texts.


Hardly a total of 2 pages, and it was written 100 to 200 years after Jesus. Not early enough by any stretch. Also, the first 200 years there were no gospels or writings, and they admit that much forgeries were "fairly common":





 
God is for us believers, since you are not among of us, you will not let it sink into your head even if we argue a whole day.

GOD IS FOR US BELIEVERS. THERE IS NO GOD IS FOR YOU NON BELIVERS.

You don't have to get annoyed when someone praise or mention our God.

But naweza nikabadili msimamo kama utanithibitishia pasi na shaka Mungu hayupo huku ukifafanunua haya mambo.

1. Kwanini sayari yetu ya Dunia isingekaa ilipo Mecury? Coincedence?

2. Kwanini binadamu ana vidole vitano na sio kimoja? Coincedence?

3. Kwanini ukikata kucha inaota ila kidole hakioti? Coincedence?

4. Kwanini tuna mdomo haukuwekwa mgongoni? Coincedence?

5. Kwanini kuna usiku na mchana? Coincedence?

6. Kwanini kuna masika na kiangazi? Coincendence?

7. Kwanini hatuwezi kumuasha aliyekufa? Coincedence?

8. Kwanini unahisi kiu? Coincedence?

9. Ingekuaje tungeishi na ile mijusi mikubwa? Kwanini baada ya mijusi kuuwawa na binadamu akaanza maisha? Ilitokea tu?

.....

Nakubali kumuweka Mungu pembeni kwenye sayansi ili tusikutane na ukomo wa mawazo. Kwasababu ukisema hii ni kazi ya Mungu maana yake umefunga mjadala huwezi kufikiri zaido ya hapo kitu ambacho kwangu sio sahihi naamini Mungu alitupa hizi akili ili tuweze kutenda na kuhoji.

Anyway kama utanipa majibu pasi na shaka kwanini hivyo vitu vmepangiliwa hivyo bila makosa yoyote ya kimahesabu. Kwamba hayupo aliyeengineer hayo mambo nyuma yake? Vimetokea tu?
Ukishaona kitu unaambiwa uamini basi ujue ni cha uongo. Why should I believe? I have to know not to believe.

Kwamba I have to believe that niliumbwa na Mungu, Mungu yupo alieniumba na ujinga mwingine kama huo? Natakiwa kujua na hilo sihitaji kuambiwa na mtu niamini. Mungu alieniumba mimi tena natakiwa kuamini badala ya kujua?

Kuamini ni kwamba sina uhakika, sasa why niamimi nimeumbwa na mungu sijui Mungu yupo?

Biblia inasema imani ni kua na uhakika na yatarajiwayo(the future, the unknown), kwa nini nisiwe na uhakika na sasa(the present , the known) badala ya yatarajiwayo?
 
This is followed by what was claimed by the jews yester night that they bombed Iran while the fact is all missiles were destroyed by air defense system.

Now, Iran is going to retaliate back and the impact will be severe.

Will people still have a belief that bible implies words of God or words of the wajanja?
Words of wajanja,"kanjanja'"
 
When was the New Testament written?


How big was the first New Testament? (google). The Roman massacres also wiped out the original texts.


Hardly a total of 2 pages, and it was written 100 to 200 years after Jesus. Not early enough by any stretch. Also, the first 200 years there were no gospels or writings, and they admit that much forgeries were "fairly common":





So roman catholic was there even before Jesus? This is a nig lier and presumably you are masabato who always teach false issues
 
Iran has no military power of bombing Israel to ashes. If Russia has failed to do so to Ukraine, can Iran even try to Israel?
Don't compare the Russia with Ukraine Nd Israel with Iran

Russia with Ukraine is the business of weapons,

Israel with Iran is the way of new world oder
 
So roman catholic was there even before Jesus? This is a nig lier and presumably you are masabato who always teach false issues

Can you tell me , which bible was written during jesus`s time ??
 
Back
Top Bottom