If our President has more than one wife: The question of human rights


Mmh mamaa! I wouldn't expect a woman to do such a thing: blame everything on the woman! Sigh!
Women entering into polygamous or even potentially polygamous marriages have themselves to blame.
Are you sure about this? It sounds very shortsighted especially when oftentimes much elder men marry very young girls (mnakumbuka Alhaj Mwinyi na mtoto wake Kitwana Kondo? Binti bado alikuwa anasoma kule Zanaki walipofanya ndoa ya siri!) So blame it on the girl! Right!!
 

With all due respect to your wisdom mkuu napenda kuongezea afuatayo katika hoja yako,

1.Ni kweli idadi ya wanawake si Tanzania tu bali hata duniani ni kubwa kuliko ile ya wanaume kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na longevity kubwa zaidi ya wanawake ( ukiachilia mbali kwa mfano maambukizi ya ukimwi kuwa rahisi zaidi kwa wanawake, wanaume wana risks kubwa zaidi ya kufa na kuacha wajane - idadi ya wanawake wajane ni kubwa kuliko wanaume waliofiwa na wake zao).

2.Sidhani wanaume huoa wake wengi au wanawake hukubali kuolewa ukewenza ili kuweka uwiano kama wanavyotaka kusema wachangiaji wengine waliotangulia.Ukiangalia trend katika polygamy siyo kweli kila mara kuwa wanaume huoa mke wa pili , wa tatu au wa nne kwa kuangalia kigezo cha kupunguza wajane wasio na waume au kuoa wanawari walio tayari kuolewa.Trend haitabiriki maana suala la kuoa na kuolewa ni binafsi na linaenda na matakwa ya moyo wa mtu na matamanio mengine na hata tamaa tu.Si ajabu kuona mwanamke kuacha mumewe au msichana kuachana na mchumba wake kijana mwenzake na kuolewa mke wa tatu au hata wa nne kwa vile anajua mwenyewe kinachomvutia huko.

3.Kimsingi ni kwamba mahusiano baina ya wanawake na wanaume katika ndoa na mapenzi ni vigumu sana kutungiwa sheria - tutaweza kubishana sana lakini mwisho wa siku ni wahusika ndio watakaoamua wanachokitaka - polygamy, monogamy, polyandry, celibacy etc. etc.
 
Picha ya Nini?...then what...nyie ndio mlio na sexual sedism...Wewe inakuhusu nini kuwa na Picha ya Mke wake...kwani anataka kurithi URAIS?...
 
Picha ya Nini?...then what...nyie ndio mlio na sexual sedism...Wewe inakuhusu nini kuwa na Picha ya Mke wake...kwani anataka kurithi URAIS?...

Kwikwikwi, naona umeshikwa pabaya leo!
 
kaka acha fikra potofu...Ndoa iwe ya siri nawe ukajua...? ktk Uislam ndoa yahitajika mashahidi 2...kama hakuna mashahidi hao ndoa haijatimia...hapo tena kuna usiri...? au wataka iwe public na Mapicha yapigwe!!!

OK.Pia nani kakwambia Mwinyi alikuwa na wake 3?...au ndio nyie mlikuwa vinara wa kumchafua Mzee Mwinyi...Mbona mlishindwa kumtaja mwanafunzi huyo...?Anzisha thread juu ya hili...utoe hoja zako!!!
 
Picha ya Nini?...then what...nyie ndio mlio na sexual sedism...Wewe inakuhusu nini kuwa na Picha ya Mke wake...kwani anataka kurithi URAIS?...

Mkuu Chuma heshima mbele! Sina tabia wala wasifu ulioweka hapo mbele. Ila Kama unayo/unazo hiyo/hizo picha weka hapa tumuone huyo mama mdogo. Maana kama Mama mkubwa Salma twamfahamu na picha kibao tumeziona, sasa kwa nini huyu ma'Mdogo afichwe? Isije ikawa mkulu wetu kaozeshwa jini halafu sie twasema mke tena mwarabu.

Ni haki yangu kama MTZ kumfahamu mke wa rais wangu unless ukiri kwamba sio mkewe na ni kimada, that will be another story. Ila kama yuko kweli tumuone hapa!!!
 

Duh! Sijui we ni mdau katika mada hii? Yaani mashahidi ndo ndoa!? Kwikwikwi! Kwani mtu anaweza kuwa na hawara wake au kimada na mashahidi wapo, everybody knows except the wife.
Kuhusu Alhaji, jina lake binti tunalihifadhi lakini wengine tunajua story yote, hakuna anayemchafulia. Na ishu ilipokuwa kubwa alirudi shule (mwaka 1989) ili kuondoa aibu. Lakini alipomaliza tu shule alikwenda kwa mumewe. Lakini katika hili silengi kumchafua Alhaj nazungumzia ishu ambayo tunajua lipo. Na nimelitolea mfano, hakuna haja ya kuikuza.
Lakini bado naona you have not dealt with the real issues!
 
Habari ya Mwinyi kuoa Bint ya Kitwana Kondo si kweli ni uzushi tu na ndio maana mdai hapo juu ataendelea "kuficha" jina maana halipo!

Habari hiyo inafanana na ile ya Mwinyi kuuza Tausi wa Ikulu, Sitti Mwinyi kuwa mmiliki wa Raha Tower et al, zote ni UZUSHI
 
Future-Tanzania...pls mie ni mtu Mme...(Mr)...kama umelowea tanzania..Jina la Chuma maarufu..hasa ni Jina la kiume...Kama utakuta mtu mke akaitwa Chuma bahati Mbaya...
Unavyoona kama nawaonea wazungu...Wewe hukuwa na hizi Hoja za polygamy..wewe umemezeshwa sumu....kuona ukewenza ni mbaya na Genge lenu la TGNP....unafikiri bila fedha za wazungu hizi Taasis uchwara zenu zinge-exist?...Mnakaa mkiandika proposal kuwashawishi hao jamaa wawapeni pesa ili sumu zenu zienee!!!bahati nzuri mie sio Mjinga...na nina elimu ya kutosha ktk viwango vyote uvijuavyo!!!..pls usiwatie watu Ujinga kwa Upinzani wenu wa ukewenza!!!

Wao wanawake wanaofanya "revolution"...acha wafanye...
 

Haya Bana, mi najua tofauti lakini tuache ya Mwinyi turudi katika mada yetu. Maana naona mnataka ku-digress from the real issue.
 

Mkuu,
kwa heshima zote napenda kuanza kwa kusema kuwa nakubaliana na hoja zako za msingi katika kuunga mkono ukewenza na faida zake kama ulivyozitaja hapa na pia katika posts za nyuma.
Ila nitapingana nawe katika vipengele vifuatavyo kwani naona kuna assumptions ulizofanya na huenda zinaweza zisiwe sahihi kwa mtizamo wangu:
1.Ndoa siyo suluhisho la matatizo ya uzazi na malezi wala kuzaa na baba tofauti sio kwa sababu ya kutaka uhuru wa kingono. Wanawake kuzaa watoto na baba tofauti inaweza kutokea siyo kwa sababu ya kutaka uhuru wa ngono kama ulivyodai katika post yako.Tatizo hili haliwezi kusuluhishwa kwa ukewenza au kung'angania kubaki kwenye ndoa zilizojaa ukatili.

2.Mwanaume kuwa provider siyo kweli mara zote. Singlemotherhood ni uamuzi wa mtu maana siku hizi maisha yamebadilika sana.Wapo wanawake wanapenda kuwa na watoto ila hawapendi kujifunga kwa mwanaume kwa maana ya kuolewa.Na sidhani kwamba kila single mother anashindwa kulea wanae.Katika hali ya kawaida matarajio ni kuwa wanaume ndio watoe matunzo kwa familia na mahitaji muhimu .Ila ukiacha hiyo nadharia, ukweli ni kuwa zipo familia nyingi tena nyingi sana ambapo baba nae ni mzigo tu maana zaidi ya "kumzalisha mkewe" hajishughulishi na chochote kile - hajui kula yao, kuvaa, kusomesha na kadhalika.Stadi mbalimbali zimefanyika na kuonesha kuwa wakati wa majanga kama njaa basi hao akina baba huzitoraka familia zao na kuhemea kwingine huku akina mama wakiachiwa mzigo wa kulea familia.Hata humu JF si ajabu kuna watu ( wanawake au wanaume wanaoelewa ninachokizungumza kuhusu mzigo wanaoubeba wanawake katika familia zao)
 
Haya Bana, mi najua tofauti lakini tuache ya Mwinyi turudi katika mada yetu. Maana naona mnataka ku-digress from the real issue.

Nimekwambia anzisha thread..unabwabwaja nini eti ohh Jina Tumelihifadhi....najua wewe "Tapeli wa Habari" maana kuweka uongo uonekane kweli...

kama Unataka Real Issue ok, ila usichanganye na Maji Machafu uloyokunywa ya kuwazushia watu uwongo!!!
 
Haya Bana, mi najua tofauti lakini tuache ya Mwinyi turudi katika mada yetu. Maana naona mnataka ku-digress from the real issue.

Hapana mkuu si nia yangu kubadili mwelekeo wa mada bali nilitaka kutoa ufafanuzi kwenye hiyo issue tu.

Mjadala uendelee...
 
Hapana mkuu si nia yangu kubadili mwelekeo wa mada bali nilitaka kutoa ufafanuzi kwenye hiyo issue tu.

Mjadala uendelee...

As always, I appreciate your very civil comments! Changia basi kidogo mada, ili debate ichanganye vizuri!
 
Nimekwambia anzisha thread..unabwabwaja nini eti ohh Jina Tumelihifadhi....najua wewe "Tapeli wa Habari" maana kuweka uongo uonekane kweli...

kama Unataka Real Issue ok, ila usichanganye na Maji Machafu uloyokunywa ya kuwazushia watu uwongo!!!

Duh, kama ni watoto nyumbani lazima leo wakalale mapema maana unafoka sana! Haya baba, ridhika basi, nimeacha ishu ya Mwinyi tuendelee na kongamano! Kwikwikwiii!
 

kaka/Dada Tusaidie Kipi kinaweza Suluhisho ya "Hayo" matatizo...kama sio ndoa?...U-miss contest?(Ujiongezee kipato?

Naona wachanganya mambo ktk Ubongo wako...failures zipo kila kona...Leo hii wanafunzi wanaofeli mashuleni...hatuwezi singizia mitihan HAIFAI...kisa wanafunzi wanafeli au any other failures...Uzembe wa baadhi ya wazazi ktk Malezi sio sababu eti Ndoa haifai...Ndoa zina etiquette zake...
 

1.Mind your language pal!
2.JF ina etiquette zake pia - kama inakushinda, hiyo ya ndoa sijui inakuwaje!
3. Inaelekea wala hujaelewa ninachozungumzia.. sijakataa ndoa as an insitution na umuhimu wake mark u.
 
WomenofS....sijafikiria kama lugha yangu hapo ingeleta mushkeli...am sorry bro/sist for that!!!!..Bro Chuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…