Kuna mijitu mingine ikikosa kazi ya kufanya kuboresha maisha yao na familia zao basi kutafuta Udini kujaribu kuharibu JF..Nyie nyote wadini na hamna lolote zaidi ya Upofu wa akili na ulimbukeni...
Mada hii haina Kikwete wala sijui haki ya haki ya wanawake isipokuwa ni ulimbukeni ambao siku zote umerudisha mtu mweusi nyuma kwa kufikiria kwamba akifanana kidogo na mzungu ndio maendeleo yenyewe..
Mkapa ambaye alikuwa rais na kaoa mke ambaye alikuwa akitembea naye akiwa bado ndani ya ndoa ya kwanza hazungumzwi.. Mkapa ambaye hakuwahi kusafiri na mkewe zaidi ya wakati inapobidi tena huwezi kuziweka mkononi hazungumzwi., Nyerere ambaye hakuwahi kuonekana na Mama Maria mara zote ktk misafara yake hazungumwi tena huyo mke mmoja tu wameshindwa..
Na nyuma ya misafara yao wamekuwa wakitembea na wake za watu wengine, wasichana na kudhalika...Leo kusafiri na mke imekuwa sheria ya Uongozi!...damn..
Kama kweli mna uchungu na wanawake hivi imekuwaje Polygamy iwe ni uchafu na dhambi kubwa kuliko mme anayetembea nje ya ndoa mkaita ati ni having an Affair, na haina adhabu zaidi ya talaka!
Ikiwa mnaitazama polygamy kwa mtazamo wa sex inakuwaje mnashindwa kutazama watu ambao wanatembea nje ya ndoa!..Yes nimezaliwa ktk ndoa ya pili na namshukuru sana baba na mama yangu kwa maamuzi hayo iwe walifanywa kwa kufuata dini ama mila za kiafrika..
Hata hivyo mjadala huu ni sawa na kuzungumza na vipofu wale waliokumbatia Udini na kuamini chupa badala ya kile kilichomo!...
Mijitu mingine jamani....