Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Kuhukumu kuwa wanawake ni wajinga hujatenda haki.Si wanawake wote ni wajinga, na si kila anayevumilia manyanyaso ni mjinga.Wengine huvumilia kwa vile hawana ubinafsi - umimi.Wanaona huruma kuacha watoto wao kunyanyaswa na wakati mwingine wanawapenda waume zao regardless.Huu ni upendo wa kweli.
Kwanza ungesoma post yangu yote ungeona niliposema wanawake wa namna hii nikimaanisha sio wote.
Pili, kuvumilia manyanyaso katika ndoa ni ujinga, period. Anyway you slice it, cut it, spin it, bado ni ujinga tu!
Tatu, kwenye mapenzi ya kweli hakuna kunyanyasana. Kuna kupendana. Mtu akupendaye hawezi kukunyanyasa. Kwa nini umnyanyase mtu umpendaye? Mtu umpendaye unamtendea kwa upendo na mapenzi ya dhati. Na sielewi inakuwaje mtu anampenda mtu amnyanyasae.
Nne, hivi kweli wewe ni mwanamke au unatuzuga tu hapa? Kama kweli wewe ni mwanamke basi sijui hata nikwambie nini maana unatetea kubaki kwenye abusive relationship kwa kisingizio cha penzi. Mapenzi gani ya kutesana hayo.
Tano, have a wonderful day!