ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Okay tu assume Kenya mka win so kupata pemba inahitaji wana pemba waridhie Kwa njia ya kura za maoni. CCM wanafanya hila zote na hamtaichukua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majina mnayo tumia kutufafanua ndio ya shida, eti tunakaa kimagendo magendo, unaona mlivyo na madharau!!!?Shida yenu nyie manyang'au mmekaa kimagendo magendo tu ndio maana tunawaona nyie sio,kwani hapa anayetaka kupora ardhi ya mwenzie ni yupi,ulitaka tukae kimiya,we vp wewe,mjitathmini nyie wakenya,mbona waganda tupo nao fine tu?
yeah ni kweli mkuu kuna hio red line huyo Kikuyu amechora ukinyoosha inabaki kipande kidogo sana
Acha kuonyesha mambo ya ukabila hapa!yeah ni kweli mkuu kuna hio red line huyo Kikuyu amechora ukinyoosha inabaki kipande kidogo sana
Nakama hawataki CCM?Okay tu assume Kenya mka win so kupata pemba inahitaji wana pemba waridhie Kwa njia ya kura za maoni. CCM wanafanya hila zote na hamtaichukua
Pemba walishawakataa CCM katika election zote. Ila ni uhuni tu wa CCM kufuta matokeo yoteNakama hawataki CCM?
We mbona u aongea usenge?yani unaigawa JMT hivihivi?Kwanza kama hujui Hakuna Znz bila Pemba na Unguja.Kuona hiyo map, Pemba ni ndogo sana, Kidogo tu Kubwa kwa Mombasa Island, hiyo ina maana kwamba ikija kuchukua, hatuwezi gawana, eti tuchukue sehemu iliyo pande ya juu na nyinyi ya chini ilhali tayari mna Zanzibar!!
Kwa vigezo vya ICJ kuhusu mipaka ya nchi baharini. Hiyo Pemba itabidi mtuachie tu Somalia ikishinda. Sheria basi ni lazma ifuate mkondo.Lakini Kenya itaitaka Pemba yetu kwa kigezo gani?
Sheria haiendi hivyo bobKwa vigezo vya ICJ kuhusu mipaka ya nchi baharini. Hiyo Pemba itabidi mtuachie tu Somalia ikishinda. Sheria basi ni lazma ifuate mkondo.
Design mlivyobebwa ufala na kinjikitile "bokero" ngwale huh?? Smh[emoji23] [emoji23]
Hawajui kuwa Zanzibar ni nchi na pia kwa pamoja na Tanganyika wakaunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Tan-Zan-ia). Ina maana mipaka ya nchi ya Zanzibar kabla ya kujiunga na Tanganyika iliyotambuliwa kimataifa mpaka United Nations majirani zetu Kenya haitambui?
Je, tukileta masuala ya ''kihistoria pwani ya Kenya inaweza kutambulikana kama ''Pwani si Kenya'' bali ni Zanzibar ya Sultani na hivyo Mombasa inaweza kurudishwa chini ya himaya ya Zanzibar na kujumuishwa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kubwa!.
This time wanasema watakuja kama mazombie[emoji23] [emoji23]Hiyo mentality ya Kinjekitile Ngware haijawatoka hawa wenzetu. Fikira zao bado ziko simplistic sana.
You all know well what we can do to you,its only that nyang'au's nature embodied into you that makes you talk like an isolated grannyUnited Republic of Tz ita-do?
Get this, Tz is like our kid sister; we therefore won't molest u.