cassavaleaves
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 1,799
- 2,237
Maneno haya aliyazungumza aliyekuwa kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, May 25th, 2013. Yeye hayupo, na kwa maana halisi huo muhimili wa Iran hapo mashariki ya kati ndio umevunjika! Yahya Sinwar alianzisha vita ambayo hakujua kabisa mwisho wake! Hakuna chochote cha maana walichokipata Iran na maswaiba yake!
Hakuna hata kipande cha ardhi hata futi moja walichokipata! Kama walivyokuwa 1948, wamebakia kama walivyo! Sana sana wana mateka 100 wa Israel mikononi mwao! Wakiwa wamepoteza zaidi ya watu 45,000, na Gaza ikiwa magofu!
Utabiri wa Nasralla umetimia!
Kobasi wamepigika na WamenyookaManeno haya aliyazungumza aliyekuwa kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, May 25th, 2013. Yeye hayupo, na kwa maana halisi huo muhimili wa Iran hapo mashariki ya kati ndio umevunjika! Yahya Sinwar alianzisha vita ambayo hakujua kabisa mwisho wake! Hakuna chochote cha maana walichokipata Iran na maswaiba yake!
Hakuna hata kipande cha ardhi hata futi moja walichokipata! Kama walivyokuwa 1948, wamebakia kama walivyo! Sana sana wana mateka 100 wa Israel mikononi mwao! Wakiwa wamepoteza zaidi ya watu 45,000, na Gaza ikiwa magofu!
Utabiri wa Nasralla umetimia!
Ustaadhi mangumbasi unataka nini kitokee ndio uaminiUtabiri bado haujatimia kwa maana hezb bado ipo na hamas bado ipo, ivi kwanini mnalazimisha wapalestina wakubali mateso na kua chini ya mazayuni? Kwanini wao wasiwe huru na mambo yao yaan Zayuni ndio anahaki zaidi juu wa mwingine awatese,aharibu mashamba, azuie mahitaji nyie mnaona sawa tuu? Huu ni unafiki mimi siwezi kumlaumu Sinwar alifanya alichoona ni sahihi hakutaka kua mnyonge siku zote wakiishi kwa kuonewa,
Syria imeenda lakini hata wao wamekaa na uongozi wa Assad zaidi ya miaka 50 na wao wanahaki japo kuanguka kwa Syria ni mtihani mkubwa kwa Lebanon na Palestine lakini Watu wa Syria nao waliuchoka utawala wa imla binadamu hubadilika hivyo ni wakati wa Iran kufikiri ni namna gani atayalea makundi haya katika kipindi hiki cha mpito
Wanaongozwa mno na Jazba kuliko akili! Support ya Syria ilibebwa na Iran, Urusi na Hezbollah! Walipoanzisha chokochoko October 7, support ya Iran ilikuwa overstretched, apeleke silaha na wataalamu Lebanon, apigane na Israel! Na Hezbollah ilipoingia vitani ilibidi irudishe askari wake toka Syria! Urusi nayo inataka kuonyesha misuli Ukraine! Hivyo mbeleko ya kuibeba Syria ilizidiwa nguvu! Hayo yote ni Jazba ya Sinwar! Hakuangalia mbali!Wamenyoo
Kobasi wamepigika na Wamenyooka
Utabiri bado haujatimia kwa maana hezb bado ipo na hamas bado ipo, ivi kwanini mnalazimisha wapalestina wakubali mateso na kua chini ya mazayuni? Kwanini wao wasiwe huru na mambo yao yaan Zayuni ndio anahaki zaidi juu wa mwingine awatese,aharibu mashamba, azuie mahitaji nyie mnaona sawa tuu? Huu ni unafiki mimi siwezi kumlaumu Sinwar alifanya alichoona ni sahihi hakutaka kua mnyonge siku zote wakiishi kwa kuonewa,
Syria imeenda lakini hata wao wamekaa na uongozi wa Assad zaidi ya miaka 50 na wao wanahaki japo kuanguka kwa Syria ni mtihani mkubwa kwa Lebanon na Palestine lakini Watu wa Syria nao waliuchoka utawala wa imla binadamu hubadilika hivyo ni wakati wa Iran kufikiri ni namna gani atayalea makundi haya katika kipindi hiki cha mpito
Syria imeanguka ni kweli ila Syria inaweza kuwa kama Lebanon ikaundiwa a strong paramilitary force kama hizbullah ikiwa yenyewe ni more powerful kuliko state forces maana kama ni kufall hata Iraq ilifall pia na kuanzishwa utawala ambao mpaka kesho wanajutia ni bora angebakia Saddam wao wanapanga na wenzao wanpanga pia.Wamenyoo
Kobasi wamepigika na Wamenyooka
Radical Islamist huwa ni wajinga wajinga.Wana jazba na kelele sana! Hawaoni kabisa mchana kweupe nini kinatokea!
Syria imeanguka ni kweli ila Syria inaweza kuwa kama Lebanon ikaundiwa a strong paramilitary force kama hizbullah ikiwa yenyewe ni more powerful kuliko state forces maana kama ni kufall hata Iraq ilifall pia na kuanzishwa utawala ambao mpaka kesho wanajutia ni bora angebakia Saddam wao wanapanga na wenzao wanpanga pia.
Magaidi wameshika Dola la Syria mkuu, wakiongozwa na Gaidi mzoefu wa Alqaida na ISIS.Wazayuni kwa mara nyingine wameithibitishia Dunia kuwa wao ni Level nyingine kab8sa ile Alliance ya Magaidi inasambaratika in real time...
Kwako Malaria 2 umekubali?
Magaidi wameshika Dola la Syria mkuu, wakiongozwa na Gaidi mzoefu wa Alqaida na ISIS.
Na haitaishia hapo kwenye mapambano kuna kufanikiwa na kufeli na watarudia tena na tena mpaka vizazi na vizazi as long wanaamini pale ni haki yao kuishiNani analazamisha mateso! Mateso ya kujitakia kabisa! Sasa Wamepata nini! Wanarudi pale pale walipokuwa 1948!
Trump akiiondoa hiyo Islamic Regime ya Iran mchezo ndo utakuwa umeisha.Na haitaishia hapo kwenye mapambano kuna kufanikiwa na kufeli na watarudia tena na tena mpaka vizazi na vizazi as long wanaamini pale ni haki yao kuishi
Radical Islamist huwa ni wajinga wajinga.
π΅πΈβπΈπΎ β An Alqassam commander (hamas military wing) was freed from Syria's prisons
Si tuliambiwa humu Israel kakimbia kichapo Lebanon au?Wamenyoo
Kobasi wamepigika na Wamenyooka
Ndio maana Czech Republic wanataka kupiga marufuku Dini ya Kiislamu wanasema inafubaza IQ.Hawana strategic thinking,