"If Syria fails, the Resistance is Lost" Nasrallah

"If Syria fails, the Resistance is Lost" Nasrallah

Hii ni poor analysis
Hamas bado wapo ila they lost sinwar a leader ila other leader wapo.
Syria they lost government ila watu wapo na taifa lipo ardhi yao ipo still watatumika, rejea mwaka 1982 invasion to lebanon halafu creation ya hizbullah na mpaka leo ni hayo hayo nothing new.
Hizbullah wapo they lost a leader ila structure ipo na power ipo ndio maana syria imefall kwa rebels ila lebanon wameshindwa kuadvance ndani ya nchi kwa kuwa kuna hizbullah na ceasefire ni between the two .
Hii ni vicious cycle ya violence hakuna atakayeahinda ni kuendelea kuuana na kufanyiana visa this generation could be weak and lost next generation could be strong and win again diplomacy na peace deals nipe hiki chukua kile ndio italeta long term peace kwenye region
Falls of Assad regime ni sawa na Iraq waliangushwa akina Saddam matokeo yake ni sawa na wamarekani walimsaidia muiran kufikia objective zake na kumpa faida zaidi na kinacholeta shaka ni kupotea kwa 700,000 military army ya syria wapo mtaani tu tegemea insurgency mambo kama yale ya iraq mpaka mmarekani akakimbia hembe tutajionea wenyewe.
 
Exactly mpaka shule wanatengwa na huduma za kijamii kuna sehem mtihani ndio maana nakwambia wewe fanya research

Israel has broad anti-discrimination laws that prohibit discrimination by both government and non-government entities on the basis of race, religion, and political beliefs, and prohibits incitement to racism. The Israeli government and many groups within Israel have undertaken efforts to combat racism.
 
Hii ni poor analysis
Hamas bado wapo ila they lost sinwar a leader ila other leader wapo.
Syria they lost government ila watu wapo na taifa lipo ardhi yao ipo still watatumika, rejea mwaka 1982 invasion to lebanon halafu creation ya hizbullah na mpaka leo ni hayo hayo nothing new.
Hizbullah wapo they lost a leader ila structure ipo na power ipo ndio maana syria imefall kwa rebels ila lebanon wameshindwa kuadvance ndani ya nchi kwa kuwa kuna hizbullah na ceasefire ni between the two .
Hii ni vicious cycle ya violence hakuna atakayeahinda ni kuendelea kuuana na kufanyiana visa this generation could be weak and lost next generation could be strong and win again diplomacy na peace deals nipe hiki chukua kile ndio italeta long term peace kwenye region
Falls of Assad regime ni sawa na Iraq waliangushwa akina Saddam matokeo yake ni sawa na wamarekani walimsaidia muiran kufikia objective zake na kumpa faida zaidi na kinacholeta shaka ni kupotea kwa 700,000 military army ya syria wapo mtaani tu tegemea insurgency mambo kama yale ya iraq mpaka mmarekani akakimbia hembe tutajionea wenyewe.
Kiingereza chenyewe kwa cha Kupachikapachika. Halafu unajufanya ati poor analysis. Huyo kamasi wako mwambie arushe basi makombora yake! Kabaki kuvizia vizia tu akiwa kaji camouflage na mavazi ya kiraia; hezbullah wako wangekuwa wapo sawa sawa unafikiri wangeruhusu Syria iangukie mikono ya wasunni?
 
Kiingereza chenyewe kwa cha Kupachikapachika. Halafu unajufanya ati poor analysis. Huyo kamasi wako mwambie arushe basi makombora yake! Kabaki kuvizia vizia tu akiwa kaji camouflage na mavazi ya kiraia; hezbullah wako wangekuwa wapo sawa sawa unafikiri wangeruhusu Syria iangukie mikono ya wasunni?
Hahahaha mie najivunia uswahili ndio asili yangu
Kwanza mpuuzi wewe hata population ya syria huijui social demography ikoje
Halafu unaleta vianalysis mbuzi kwa kilichotokea syria ni makubaliano ya kuachia madaraka na foreign forces zikaondoka zikiwa intact kama alichofanya usa afghanistan ndio hibo hivo kwa foreign fighters wa syria waliokuwa wanamsupport Assad au umesikia wapi jeshi limemalizwa au imesikia wapi mkuu wa majeshi kajeruhiwa au katekwa,kuhusu hamas wale wanapigana guerrila warfare strategy na ndio iliyomtoa usa afghanistan baada ya miaka 20 gharama ni kubwa kulimo faida hata israel gaza atatafuta cease fire agreement au aendelee kupoteza vifaa na askari kila siku ,hamas wako vizuri unawezaje kuendesha mapambano na jeshi kubwa la kisasa kama israel over one year.
 
Nani huyo wakuunda Paramilitary ? Iran? Maana angalau Iran inarudi mezani tena, na itachukua muda mrefu kuja na hiyo mbinu nyingine! Lack of plans! Hezbollah imewaangusha pakubwa!
Hivi aliyeangushwa anasaini makubaliano ya kuachwa kushambuliana au anasaini makubaliano ya kushindwa ,hizbullah kapoteza viongozi na askari lakini bado ni capable force na ndio maana wamesaini makubaliano maana kwa nguvu za kijeshi hawezi kuimaliza hizbullah.
 
Hahahaha mie najivunia uswahili ndio asili yangu
Kwanza mpuuzi wewe hata population ya syria huijui social demography ikoje
Halafu unaleta vianalysis mbuzi kwa kilichotokea syria ni makubaliano ya kuachia madaraka na foreign forces zikaondoka zikiwa intact kama alichofanya usa afghanistan ndio hibo hivo kwa foreign fighters wa syria waliokuwa wanamsupport Assad au umesikia wapi jeshi limemalizwa au imesikia wapi mkuu wa majeshi kajeruhiwa au katekwa,kuhusu hamas wale wanapigana guerrila warfare strategy na ndio iliyomtoa usa afghanistan baada ya miaka 20 gharama ni kubwa kulimo faida hata israel gaza atatafuta cease fire agreement au aendelee kupoteza vifaa na askari kila siku ,hamas wako vizuri unawezaje kuendesha mapambano na jeshi kubwa la kisasa kama israel over one year.
Kaa na upumbavu wako wa kujivunia uswahili wako wakati wenzio wanajua lugha zao pamoja na zile za kigeni.
Kwani kumalizwa Jeshi mpaka mtutu wa bunduki ulie! Wasunni wenzio wamepata mteremko wa kuiangusha serikali ya asaad mpaka wakashangaa. Kumbe Israel aliisha maliza kazi ya kuvunjavunja utawala wa Asaad. Yaani unaambiwa HTS wao walilenga kuchukua Aleppo pekee, lakini wakakuta kumbe hamna Jeshi. Mshukuruni sana israel nyinyi waabudu wa kaallah. Kamasi wako watapukutishwa mpaka itabidi wawaombe na nyinyi muende mkawasaidie. Kaallah kamewapoteza sana nyinyi Waislamu.
 
Kaa na upumbavu wako wa kujivunia uswahili wako wakati wenzio wanajua lugha zao pamoja na zile za kigeni.
Kwani kumalizwa Jeshi mpaka mtutu wa bunduki ulie! Wasunni wenzio wamepata mteremko wa kuiangusha serikali ya asaad mpaka wakashangaa. Kumbe Israel aliisha maliza kazi ya kuvunjavunja utawala wa Asaad. Yaani unaambiwa HTS wao walilenga kuchukua Aleppo pekee, lakini wakakuta kumbe hamna Jeshi. Mshukuruni sana israel nyinyi waabudu wa kaallah. Kamasi wako watapukutishwa mpaka itabidi wawaombe na nyinyi muende mkawasaidie. Kaallah kamewapoteza sana nyinyi Waislamu.
Kujivunia uswahili sio upumbavu hii ndio asili yetu na kiswahili ndio utaifa wetu , kiingereza cha waingereza tutakiongea ila hatutajisifu nacho ni punguani tu ndio awezaye kukataa asili na nasaba zake , Hahaha Sasa hapo ndio umetoa fact gani jadili vizuri yanayojiri ulimwenguni jinsi yalivyo ktk mitazamo tofauti ila usiweke hisia zako wala usiumie nayo wanaoumia wako huko telaviv ,damascus,teheran ,moscow ,ankara,washington na beirut sie tunachangamsha bongo zetu kwa mijadala ila pia kajifunze kwanza kuweka facts na kutengeza ushawishi na hoja mujarabu mezani halafu ndio tukujibu, kwanza hata hizo Astana accord 1, 2 au 3 hata huzifahamu na guarantor hata huwajui unadakia dakia mambo .
 
Hahaha wao mipango ya vita huwa wanapangia msikitini, na mnaijua misikiti, wao wako ndani spika ziko nje, kupigwa lilikuwa swala la muda tu, na wataendelea kupigwa mpaka wajielewe.

Jordan aliwakataza, achaneni na ujinga huo hawakusikia, sasa nadhani wataiga mfano wa Jordan, hataki vikundi vya kuipinga Israel nchini mwake.
 
Utabiri bado haujatimia kwa maana hezb bado ipo na hamas bado ipo, ivi kwanini mnalazimisha wapalestina wakubali mateso na kua chini ya mazayuni? Kwanini wao wasiwe huru na mambo yao yaan Zayuni ndio anahaki zaidi juu wa mwingine awatese,aharibu mashamba, azuie mahitaji nyie mnaona sawa tuu? Huu ni unafiki mimi siwezi kumlaumu Sinwar alifanya alichoona ni sahihi hakutaka kua mnyonge siku zote wakiishi kwa kuonewa,

Syria imeenda lakini hata wao wamekaa na uongozi wa Assad zaidi ya miaka 50 na wao wanahaki japo kuanguka kwa Syria ni mtihani mkubwa kwa Lebanon na Palestine lakini Watu wa Syria nao waliuchoka utawala wa imla binadamu hubadilika hivyo ni wakati wa Iran kufikiri ni namna gani atayalea makundi haya katika kipindi hiki cha mpito
wao ndo wanataka mateso , lzm ujue athari ya maamuz yako , usifikirie kumdhuru fikiria pia akikujib utaumia kias gan , cha mwisho , wanapaswa kukubali ardhi yoyote watakayopewa kisha waanze kujijenga upya na sio kufikiria kuwafuta wayaud , watafutwa wao
 
Back
Top Bottom