"If Syria fails, the Resistance is Lost" Nasrallah

"If Syria fails, the Resistance is Lost" Nasrallah

Ndio mimi nina sababu mbili, Palestine wako kwenye hali mbaya zaidi pamoja na lebanon na msaada ilikua ni Syria kua chini ya Assad, pili aina ya Watu walioichukua Syria ndio ilitakiwa ikombolewe lakini sio chini hawa magaidi wa sasa ndio kitu nilikua napinga.
Hapo ni RUSSIA vs USA....RUSSIA kaliwa kichwa
 
Huwezi kua kama mimi na mimi siwezi kua kama wewe, kila mtu husafiri lakini haimanishi ndio utajua mambo ya sehemu husika kwa safari ya kwenda na kurudi, kujua jambo inahitaji research ndio maana nimekwambia soma tena kuhusu Israel anavyoishi na waarabu au hata wasio waarabu. Jews are special over any one kama wanavyojinadi wao, mimi sijadili mihemko hapa najadili fact na mimi hua sibishani discrimination ya Jews bado hujaijua vizuri wewe.
We ndio mwenye mhemko mimi nimeenda hayo maeneo kwa muda sasa na ilikuwa kuna project ya kilimo nilikuwa najifunza so kwa muda wa mwaka mmoja niliokaa nimewajua . Cha msingi fanya tafiti mwenyewe. Kwanini waisrael waliweka zile gets kila mahali hasa old Jerusalem.
 
Mzayuni pale alikuwepo miaka yote " Yahoood ndie israel'. Ukisoma kwenye Biblia, na hata KORANI historia hapo ni kwake MYAHUDI yaani Yerusakem, yeriko, betlehemu mpaka ng'ambo ya mto jordani. Huyo palestina katokea wapi kwa Mayahudi? Wakati Yesu yuko Uyahudini kwao Betlhemu ya Uyahudi hao Wapalestina walikuwa wapi? Waarabu, Giriki, Waajemi na Wasamaria waliishi Uyahudini. Hao palestina walikuwa wanaishi wapi na ni wa kabila gani au kutka nchi gani.
Hivi unahabari DNA ya wapalestina ni ndio hio hio ya wayahud kina Jesus? Hapo hao wayahudi ni tabia zakujiona wao ndio bora kuliko wengine kutokana na kujichanganya na mazayuni ya ulaya ndio imekua mtihani kwa ndugu zao. Wote ni ndugu hao
 
wamarekani na ulaya wasingekuwa wanaiba rasilimali uko mashariki ya kati au huku africa wasingekuwa hata kwenye top10 ya uchumi.. vitu vyao vingi wanapora au kuuwa watu.. Hao ndio kirusi cha dunia cha kwanza kabla ya corona na ukimwi
Sasa tunawazuia vipi ndugu wasiendelee kufanya hivo????
 
IMG_20190109_230946.jpg
 
We ndio mwenye mhemko mimi nimeenda hayo maeneo kwa muda sasa na ilikuwa kuna project ya kilimo nilikuwa najifunza so kwa muda wa mwaka mmoja niliokaa nimewajua . Cha msingi fanya tafiti mwenyewe. Kwanini waisrael waliweka zile gets kila mahali hasa old Jerusalem.
Okey hili ni gazeti la Israel linaonyesha just poll ya wayahud wanavyowaona waisrael ni asilimia 20% ya wayahud ndio wanawaona waarabu kama raia sawa wenye haki sawa

 
Maneno haya aliyazungumza aliyekuwa kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, May 25th, 2013. Yeye hayupo, na kwa maana halisi huo muhimili wa Iran hapo mashariki ya kati ndio umevunjika! Yahya Sinwar alianzisha vita ambayo hakujua kabisa mwisho wake! Hakuna chochote cha maana walichokipata Iran na maswaiba yake!

Hakuna hata kipande cha ardhi hata futi moja walichokipata! Kama walivyokuwa 1948, wamebakia kama walivyo! Sana sana wana mateka 100 wa Israel mikononi mwao! Wakiwa wamepoteza zaidi ya watu 45,000, na Gaza ikiwa magofu!

Utabiri wa Nasralla umetimia!
Israeli (Yakobo), taifa teule la Mungu, humkosea naye huwasamehe na kuwarudia tena.
 
Hivi unahabari DNA ya wapalestina ni ndio hio hio ya wayahud kina Jesus? Hapo hao wayahudi ni tabia zakujiona wao ndio bora kuliko wengine kutokana na kujichanganya na mazayuni ya ulaya ndio imekua mtihani kwa ndugu zao. Wote ni ndugu hao
Wachana na DNA. Esta myahudi aliolewa na mfalme wa syria hizo DNA ziko huko babloni pia ila si Wayahudi. Na hao palestina wanaweza wakawa na DNA kwa sababu wayahudi wamesambaa sana maeneo ya uarabuni na mashariki ya kati na ulaya hivyo kuacha alama zao. Mimi nahisi Waoalestina walikuwa wanatokana na wayahudi wakafukuzwa walikokuwa kuwa wawafuate ndugu zao ndio wakaja uyahudini? Wakakataliwa mpaka wa leo maana wanazungumza kiarabu na ni waislamu. Myahudi na uislamu au hata ukristo wapi na wapi.
 
Utabiri bado haujatimia kwa maana hezb bado ipo na hamas bado ipo, ivi kwanini mnalazimisha wapalestina wakubali mateso na kua chini ya mazayuni? Kwanini wao wasiwe huru na mambo yao yaan Zayuni ndio anahaki zaidi juu wa mwingine awatese,aharibu mashamba, azuie mahitaji nyie mnaona sawa tuu? Huu ni unafiki mimi siwezi kumlaumu Sinwar alifanya alichoona ni sahihi hakutaka kua mnyonge siku zote wakiishi kwa kuonewa,

Syria imeenda lakini hata wao wamekaa na uongozi wa Assad zaidi ya miaka 50 na wao wanahaki japo kuanguka kwa Syria ni mtihani mkubwa kwa Lebanon na Palestine lakini Watu wa Syria nao waliuchoka utawala wa imla binadamu hubadilika hivyo ni wakati wa Iran kufikiri ni namna gani atayalea makundi haya katika kipindi hiki cha mpito
Kwa sasa Wapalestina hawako huru na wanaishi kwa mateso zaidi
 
Wasamaria, wagiriki, wakrete waarabu na kabila nyingi tu huko Uyahudini zilikuwa wa daraja za chini ktk nchi ya uyahudi. Na hata kuabudu ktk hekalu walibaguliwa. Ndio ilivyo hata leo. Myahudi fulani alizaa na dada yetu baadae akafa ila watoto walikuja kuchukuliwa na ndugu zao wa baba mmoja mayahudi wakapelekwa Israel.
Ubaguz upo dunia nzima mi nazungumzia huduma za kiserikali, wanaenda shule tofauti?
 
Ubaguz upo dunia nzima mi nazungumzia huduma za kiserikali, wanaenda shule tofauti?
Wewe uko wapi wapalestina hata kufanyakazi maeneo ya wayahudi mpaka uwe na pass. Ujue hali ilivyo. Kila upande una shule na vyuo vyao. Wapaletina ndio wanaofanya kazi kwa Mayahudi. Mayahudi wanasoma na kuandika kwa kiyahudi na wapalestina kiarabu. Wapalestina wLikuja na lugha yao
 
Wewe uko wapi wapalestina hata kufanyakazi maeneo ya wayahudi mpaka uwe na pass. Ujue hali ilivyo. Kila upande una shule na vyuo vyao. Wapaletina ndio wanaofanya kazi kwa Mayahudi. Mayahudi wanasoma na kuandika kwa kiyahudi na wapalestina kiarabu. Wapalestina wLikuja na lugha yao
Wapalestina sio waarabu wa Israel. Unajua wewe unachanganya. Kuna wapalestina waliokubali kuitwa waisrael. Wana haki zote sawa. Shule pamoja huduma zite pamoja bungeni wapo jeshin wapo na hata polisi wapo. Na kuna hawa wapalestina wa west bank na wagaza hawa kuingia Israel wanaingia kwa pasi maalum na most ni wafanyakazi huko Israel. Nachosema hakuna mwarabu anaebaguliwa akiwa raia wa Israel linapokuja suala la huduma za jamii. Mengine ya kubaguliwa na raia ni kawaida lipo kila mahali dunian
 
Wapalestina sio waarabu wa Israel. Unajua wewe unachanganya. Kuna wapalestina waliokubali kuitwa waisrael. Wana haki zote sawa. Shule pamoja huduma zite pamoja bungeni wapo jeshin wapo na hata polisi wapo. Na kuna hawa wapalestina wa west bank na wagaza hawa kuingia Israel wanaingia kwa pasi maalum na most ni wafanyakazi huko Israel. Nachosema hakuna mwarabu anaebaguliwa akiwa raia wa Israel linapokuja suala la huduma za jamii. Mengine ya kubaguliwa na raia ni kawaida lipo kila mahali dunian
Nawe pia nifafanulie wapaletina ni wanani? Walitokea wapi wakawa hapo walipo. Je imekuwaje wakazungumza kiarabu na ni waislamu? Sasa kama si waarabu ni kabila gani? Au wamekuwa kama Watusi wasio kuwa na lugha yao ila ni kabika tofauti na wahutu na lugha yao ni ya kihutu?
 
Maneno haya aliyazungumza aliyekuwa kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, May 25th, 2013. Yeye hayupo, na kwa maana halisi huo muhimili wa Iran hapo mashariki ya kati ndio umevunjika! Yahya Sinwar alianzisha vita ambayo hakujua kabisa mwisho wake! Hakuna chochote cha maana walichokipata Iran na maswaiba yake!

Hakuna hata kipande cha ardhi hata futi moja walichokipata! Kama walivyokuwa 1948, wamebakia kama walivyo! Sana sana wana mateka 100 wa Israel mikononi mwao! Wakiwa wamepoteza zaidi ya watu 45,000, na Gaza ikiwa magofu!

Utabiri wa Nasralla umetimia!
Screenshot_20241208-173758_Chrome.jpg
 
Kumbe ni raia wanawaona nilifikir ni serikali. Sasa hili hata bongo unafikir mhindi kwa hapa kwetu anaonekana vip. Hiyo ipo all over the world mkuu
Wanaoongoza serikali ndio hao hao wewe pindisha usipindishe muarabu hana thamani yoyote kwa muyahudi hata mtu mweusi vilevile, kwanza asili ya wayahudi sio hao whites wayahudi ni blacks pamoja na Arab like wale wasio weupe sana wenye vinyweleo vingi

Refer genesis 19:23-27
 
Wanaoongoza serikali ndio hao hao wewe pindisha usipindishe muarabu hana thamani yoyote kwa muyahudi hata mtu mweusi vilevile, kwanza asili ya wayahudi sio hao whites wayahudi ni blacks pamoja na Arab like wale wasio weupe sana wenye vinyweleo vingi

Refer genesis 19:23-27
Sio kweli wayahud wako kila damu coz wamezaliana kote walikokwenda.
 
🇵🇸❌🇸🇾 — An Alqassam commander (hamas military wing) was freed from Syria's prisons
Mgogoro wa Syria ni mgogoro kichaa..

Hezbollah na Iran wakiwa Syria ni maadui wa Hamas, very interesting
 
Back
Top Bottom