"If Syria fails, the Resistance is Lost" Nasrallah

"If Syria fails, the Resistance is Lost" Nasrallah

Si tuliambiwa humu Israel kakimbia kichapo Lebanon au?

Utawaweza....! Hata ukiwauliza waelezee dynamics za siasa za Lebanon hawajui! Mapigano yangeendelea nguvu ya Hezbollah Lebanon ilianza kupungua! Hawakuwa na uwezo wa kupigana vita mbili! moja na Israel, na nyingine kuishikilia serikali ya Lebanon!

Wameshinda vita wakati wamepoteza uongozi mzima ! Ni vituko mkuu!
 
Maneno haya aliyazungumza aliyekuwa kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, May 25th, 2013. Yeye hayupo, na kwa maana halisi huo muhimili wa Iran hapo mashariki ya kati ndio umevunjika! Yahya Sinwar alianzisha vita ambayo hakujua kabisa mwisho wake! Hakuna chochote cha maana walichokipata Iran na maswaiba yake!

Hakuna hata kipande cha ardhi hata futi moja walichokipata! Kama walivyokuwa 1948, wamebakia kama walivyo! Sana sana wana mateka 100 wa Israel mikononi mwao! Wakiwa wamepoteza zaidi ya watu 45,000, na Gaza ikiwa magofu!

Utabiri wa Nasralla umetimia!
Kwisha habari yao
 
wamarekani na ulaya wasingekuwa wanaiba rasilimali uko mashariki ya kati au huku africa wasingekuwa hata kwenye top10 ya uchumi.. vitu vyao vingi wanapora au kuuwa watu.. Hao ndio kirusi cha dunia cha kwanza kabla ya corona na ukimwi
 
Utawaweza....! Hata ukiwauliza waelezee dynamics za siasa za Lebanon hawajui! Mapigano yangeendelea nguvu ya Hezbollah Lebanon ilianza kupungua! Hawakuwa na uwezo wa kupigana vita mbili! moja na Israel, na nyingine kuishikilia serikali ya Lebanon!

Wameshinda vita wakati wamepoteza uongozi mzima ! Ni vituko mkuu!
Hata gaza tuliambiwa Israel hawezi kutia mguu atafulushwa faster tuliambiwa Hamas ni kiboko ya idf
 
wamarekani na ulaya wasingekuwa wanaiba rasilimali uko mashariki ya kati au huku africa wasingekuwa hata kwenye top10 ya uchumi.. vitu vyao vingi wanapora au kuuwa watu.. Hao ndio kirusi cha dunia cha kwanza kabla ya corona na ukimwi

Kwa nini wengine wameshindwa kuiba kwebda kuiba Ulaya na Marekani! Nani alipora Zimbabwe...! ? Ukiibiwa ina maana huwezi kulinda raslimali zako!
 
Hata gaza tuliambiwa Israel hawezi kutia mguu atafulushwa faster tuliambiwa Hamas ni kiboko ya idf

Huku ndio kufurushwa!

1733660358633.png
 
Utabiri bado haujatimia kwa maana hezb bado ipo na hamas bado ipo, ivi kwanini mnalazimisha wapalestina wakubali mateso na kua chini ya mazayuni? Kwanini wao wasiwe huru na mambo yao yaan Zayuni ndio anahaki zaidi juu wa mwingine awatese,aharibu mashamba, azuie mahitaji nyie mnaona sawa tuu? Huu ni unafiki mimi siwezi kumlaumu Sinwar alifanya alichoona ni sahihi hakutaka kua mnyonge siku zote wakiishi kwa kuonewa,

Syria imeenda lakini hata wao wamekaa na uongozi wa Assad zaidi ya miaka 50 na wao wanahaki japo kuanguka kwa Syria ni mtihani mkubwa kwa Lebanon na Palestine lakini Watu wa Syria nao waliuchoka utawala wa imla binadamu hubadilika hivyo ni wakati wa Iran kufikiri ni namna gani atayalea makundi haya katika kipindi hiki cha mpito

Kukataa kuwa mnyonge kwa Sinwar kumelipa! Gaza imekuwa magofu, imepoteza watu 45,000! Yeye mwenyewe kapelekwa mbele ya haki! Hakuna hata futi moja iliyongezeka Palestina! Hamna mbinu za vita ni jazba tu!
 
Utabiri bado haujatimia kwa maana hezb bado ipo na hamas bado ipo, ivi kwanini mnalazimisha wapalestina wakubali mateso na kua chini ya mazayuni? Kwanini wao wasiwe huru na mambo yao yaan Zayuni ndio anahaki zaidi juu wa mwingine awatese,aharibu mashamba, azuie mahitaji nyie mnaona sawa tuu? Huu ni unafiki mimi siwezi kumlaumu Sinwar alifanya alichoona ni sahihi hakutaka kua mnyonge siku zote wakiishi kwa kuonewa,

Syria imeenda lakini hata wao wamekaa na uongozi wa Assad zaidi ya miaka 50 na wao wanahaki japo kuanguka kwa Syria ni mtihani mkubwa kwa Lebanon na Palestine lakini Watu wa Syria nao waliuchoka utawala wa imla binadamu hubadilika hivyo ni wakati wa Iran kufikiri ni namna gani atayalea makundi haya katika kipindi hiki cha mpito
Kwanini wakose hivyo vitu, ndani ya Israel kuna waarabu wapalestina kibao hawajawah kubaguliwa shida ninini hapo Gaza mpaka wafunge
 
Kukataa kuwa mnyonge kwa Sinwar kumelipa! Gaza imekuwa magofu, imepoteza watu 45,000! Yeye mwenyewe kapelekwa mbele ya haki! Hakuna hata futi moja iliyongezeka Palestina! Hamna mbinu za vita ni jazba tu!
Huwezi kuelewa vita ni nini naona unabwabwaja hapa wao sio kama nyinyi waarabu hawanaga mambo ya diplomasia kwenye ishu za haki zao kuanzia Taleban, Yemen na wao walipoteza raia Zaid ya million moja sembuse hi 45, nyinyi ndio wale nchi ikivamiwa mnanyoosha mikono a kuanza kuwatumikia mabwana wapya kisa Watu watakufa
 
Kwanini wakose hivyo vitu, ndani ya Israel kuna waarabu wapalestina kibao hawajawah kubaguliwa shida ninini hapo Gaza mpaka wafunge
Nyie kabla ya kuanza mijadala humu muwe mnapitia taarifa mbali mbali kujua nature ya huo mgogoro wa Israel na Palestine. Ni rahisi sana kuelewa kwanini waarabu ni second citizen ndani Israhell na hawachangamani.
 
Hawana strategic thinking, Wengi tulidhani October 7 Iran itaingia kwa nguvu zote, na Hezbollah pia, na Islamists hawakudhani Israel itaweza kuwa brutal kiasi hicho! Walifanya underestimation ya hali ya juu, Hawakutegemea kabisa mbinu ya kujificha nyuma ya raia, misikitini na mahospitalini itashindwa! Israel ilifunga kitambaa cheusi machoni! ikiweka na pamba masikioni ili kutosikia ulimwengu unasemaje! Matokea yake ndio haya....Dakika za mwisho Iran ikashindwa support Syria, na Hezbolah ikabidi irudishe askari nyumbani kupambana na Israel...Mbeleko iliyoibeba Syria ikakatika.!

Nahs plan ya hamas kuwa israel akishambuliwa atapigiwa kelele anashambulia raia, analazimishwa mezan Hamas watasema tuoe wafungwa wetu na pengibe watataka kutambuliwa rasmi kama state.. waliamin pressure ya ndani na nje ya israel itawafanya wakubali kukaa mezani.. na pia waliamini support ya Iran na proxy yake hizbola hulu wakichagizwa na ukaribu wake na urusi. Watajua lazima Israel na US watakubali kukaa mezan
 
Maneno haya aliyazungumza aliyekuwa kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, May 25th, 2013. Yeye hayupo, na kwa maana halisi huo muhimili wa Iran hapo mashariki ya kati ndio umevunjika! Yahya Sinwar alianzisha vita ambayo hakujua kabisa mwisho wake! Hakuna chochote cha maana walichokipata Iran na maswaiba yake!

Hakuna hata kipande cha ardhi hata futi moja walichokipata! Kama walivyokuwa 1948, wamebakia kama walivyo! Sana sana wana mateka 100 wa Israel mikononi mwao! Wakiwa wamepoteza zaidi ya watu 45,000, na Gaza ikiwa magofu!

Utabiri wa Nasralla umetimia!
Kumbe
 
Utabiri bado haujatimia kwa maana hezb bado ipo na hamas bado ipo, ivi kwanini mnalazimisha wapalestina wakubali mateso na kua chini ya mazayuni? Kwanini wao wasiwe huru na mambo yao yaan Zayuni ndio anahaki zaidi juu wa mwingine awatese,aharibu mashamba, azuie mahitaji nyie mnaona sawa tuu? Huu ni unafiki mimi siwezi kumlaumu Sinwar alifanya alichoona ni sahihi hakutaka kua mnyonge siku zote wakiishi kwa kuonewa,

Syria imeenda lakini hata wao wamekaa na uongozi wa Assad zaidi ya miaka 50 na wao wanahaki japo kuanguka kwa Syria ni mtihani mkubwa kwa Lebanon na Palestine lakini Watu wa Syria nao waliuchoka utawala wa imla binadamu hubadilika hivyo ni wakati wa Iran kufikiri ni namna gani atayalea makundi haya katika kipindi hiki cha mpito
Unataka uhuru wa Palestina ila unachukia uhuru wa SYRIA....double standard
 
wamarekani na ulaya wasingekuwa wanaiba rasilimali uko mashariki ya kati au huku africa wasingekuwa hata kwenye top10 ya uchumi.. vitu vyao vingi wanapora au kuuwa watu.. Hao ndio kirusi cha dunia cha kwanza kabla ya corona na ukimwi
Mpaka technology wamepora africa na asia..? Ukiwa na mali afu hujui namna ya kuzitumia wenzako wanakusaidia
 
Wanaongozwa mno na Jazba kuliko akili! Support ya Syria ilibebwa na Iran, Urusi na Hezbollah! Walipoanzisha chokochoko October 7, support ya Iran ilikuwa overstretched, apeleke silaha na wataalamu Lebanon, apigane na Israel! Na Hezbollah ilipoingia vitani ilibidi irudishe askari wake toka Syria! Urusi nayo inataka kuonyesha misuli Ukraine! Hivyo mbeleko ya kuibeba Syria ilizidiwa nguvu! Hayo yote ni Jazba ya Sinwar! Hakuangalia mbali!
Sasa ni muda wa Iran kuijibu Israel😀
 
Nyie kabla ya kuanza mijadala humu muwe mnapitia taarifa mbali mbali kujua nature ya huo mgogoro wa Israel na Palestine. Ni rahisi sana kuelewa kwanini waarabu ni second citizen ndani Israhell na hawachangamani.
Unajua mi zaman nilikuwa kama wewe ila baada ya kusafiri mara nyingi hilo eneo nimegundua uongo ni mwingi. Ukiwa Tel Aviv kwa mfano ni kama dar tu hakuna tofauti yoyote utaiona ukiwa Jerusalem kila mtu na life lake kama bongo tu. Sema kuna vijiji vya samaria au kwa waarabu wa druze wana life yao na ukienda maeneo ya wayahud wa Ethiopia au wayahud waarabu ni hivyo hivyo. Sasa cjui unamaanisha nini kusema ni daraja la pili. Ni wanasoma shule tofauti au hospital tofauti au bus na tren tofauti au hawana wanasiasa au polisi au jeshi au unamaanisha nini?
 
Utabiri bado haujatimia kwa maana hezb bado ipo na hamas bado ipo, ivi kwanini mnalazimisha wapalestina wakubali mateso na kua chini ya mazayuni? Kwanini wao wasiwe huru na mambo yao yaan Zayuni ndio anahaki zaidi juu wa mwingine awatese,aharibu mashamba, azuie mahitaji nyie mnaona sawa tuu? Huu ni unafiki mimi siwezi kumlaumu Sinwar alifanya alichoona ni sahihi hakutaka kua mnyonge siku zote wakiishi kwa kuonewa,

Syria imeenda lakini hata wao wamekaa na uongozi wa Assad zaidi ya miaka 50 na wao wanahaki japo kuanguka kwa Syria ni mtihani mkubwa kwa Lebanon na Palestine lakini Watu wa Syria nao waliuchoka utawala wa imla binadamu hubadilika hivyo ni wakati wa Iran kufikiri ni namna gani atayalea makundi haya katika kipindi hiki cha mpito
Mzayuni pale alikuwepo miaka yote " Yahoood ndie israel'. Ukisoma kwenye Biblia, na hata KORANI historia hapo ni kwake MYAHUDI yaani Yerusakem, yeriko, betlehemu mpaka ng'ambo ya mto jordani. Huyo palestina katokea wapi kwa Mayahudi? Wakati Yesu yuko Uyahudini kwao Betlhemu ya Uyahudi hao Wapalestina walikuwa wapi? Waarabu, Giriki, Waajemi na Wasamaria waliishi Uyahudini. Hao palestina walikuwa wanaishi wapi na ni wa kabila gani au kutka nchi gani.
 
Unajua mi zaman nilikuwa kama wewe ila baada ya kusafiri mara nyingi hilo eneo nimegundua uongo ni mwingi. Ukiwa Tel Aviv kwa mfano ni kama dar tu hakuna tofauti yoyote utaiona ukiwa Jerusalem kila mtu na life lake kama bongo tu. Sema kuna vijiji vya samaria au kwa waarabu wa druze wana life yao na ukienda maeneo ya wayahud wa Ethiopia au wayahud waarabu ni hivyo hivyo. Sasa cjui unamaanisha nini kusema ni daraja la pili. Ni wanasoma shule tofauti au hospital tofauti au bus na tren tofauti au hawana wanasiasa au polisi au jeshi au unamaanisha nini?
Wasamaria, wagiriki, wakrete waarabu na kabila nyingi tu huko Uyahudini zilikuwa wa daraja za chini ktk nchi ya uyahudi. Na hata kuabudu ktk hekalu walibaguliwa. Ndio ilivyo hata leo. Myahudi fulani alizaa na dada yetu baadae akafa ila watoto walikuja kuchukuliwa na ndugu zao wa baba mmoja mayahudi wakapelekwa Israel.
 
Unajua mi zaman nilikuwa kama wewe ila baada ya kusafiri mara nyingi hilo eneo nimegundua uongo ni mwingi. Ukiwa Tel Aviv kwa mfano ni kama dar tu hakuna tofauti yoyote utaiona ukiwa Jerusalem kila mtu na life lake kama bongo tu. Sema kuna vijiji vya samaria au kwa waarabu wa druze wana life yao na ukienda maeneo ya wayahud wa Ethiopia au wayahud waarabu ni hivyo hivyo. Sasa cjui unamaanisha nini kusema ni daraja la pili. Ni wanasoma shule tofauti au hospital tofauti au bus na tren tofauti au hawana wanasiasa au polisi au jeshi au unamaanisha nini?
Huwezi kua kama mimi na mimi siwezi kua kama wewe, kila mtu husafiri lakini haimanishi ndio utajua mambo ya sehemu husika kwa safari ya kwenda na kurudi, kujua jambo inahitaji research ndio maana nimekwambia soma tena kuhusu Israel anavyoishi na waarabu au hata wasio waarabu. Jews are special over any one kama wanavyojinadi wao, mimi sijadili mihemko hapa najadili fact na mimi hua sibishani discrimination ya Jews bado hujaijua vizuri wewe.
 
Unataka uhuru wa Palestina ila unachukia uhuru wa SYRIA....double standard
Ndio mimi nina sababu mbili, Palestine wako kwenye hali mbaya zaidi pamoja na lebanon na msaada ilikua ni Syria kua chini ya Assad, pili aina ya Watu walioichukua Syria ndio ilitakiwa ikombolewe lakini sio chini hawa magaidi wa sasa ndio kitu nilikua napinga.
 
Back
Top Bottom