"If Syria fails, the Resistance is Lost" Nasrallah

Si tuliambiwa humu Israel kakimbia kichapo Lebanon au?

Utawaweza....! Hata ukiwauliza waelezee dynamics za siasa za Lebanon hawajui! Mapigano yangeendelea nguvu ya Hezbollah Lebanon ilianza kupungua! Hawakuwa na uwezo wa kupigana vita mbili! moja na Israel, na nyingine kuishikilia serikali ya Lebanon!

Wameshinda vita wakati wamepoteza uongozi mzima ! Ni vituko mkuu!
 
Kwisha habari yao
 
wamarekani na ulaya wasingekuwa wanaiba rasilimali uko mashariki ya kati au huku africa wasingekuwa hata kwenye top10 ya uchumi.. vitu vyao vingi wanapora au kuuwa watu.. Hao ndio kirusi cha dunia cha kwanza kabla ya corona na ukimwi
 
Hata gaza tuliambiwa Israel hawezi kutia mguu atafulushwa faster tuliambiwa Hamas ni kiboko ya idf
 
wamarekani na ulaya wasingekuwa wanaiba rasilimali uko mashariki ya kati au huku africa wasingekuwa hata kwenye top10 ya uchumi.. vitu vyao vingi wanapora au kuuwa watu.. Hao ndio kirusi cha dunia cha kwanza kabla ya corona na ukimwi

Kwa nini wengine wameshindwa kuiba kwebda kuiba Ulaya na Marekani! Nani alipora Zimbabwe...! ? Ukiibiwa ina maana huwezi kulinda raslimali zako!
 

Kukataa kuwa mnyonge kwa Sinwar kumelipa! Gaza imekuwa magofu, imepoteza watu 45,000! Yeye mwenyewe kapelekwa mbele ya haki! Hakuna hata futi moja iliyongezeka Palestina! Hamna mbinu za vita ni jazba tu!
 
Kwanini wakose hivyo vitu, ndani ya Israel kuna waarabu wapalestina kibao hawajawah kubaguliwa shida ninini hapo Gaza mpaka wafunge
 
Kukataa kuwa mnyonge kwa Sinwar kumelipa! Gaza imekuwa magofu, imepoteza watu 45,000! Yeye mwenyewe kapelekwa mbele ya haki! Hakuna hata futi moja iliyongezeka Palestina! Hamna mbinu za vita ni jazba tu!
Huwezi kuelewa vita ni nini naona unabwabwaja hapa wao sio kama nyinyi waarabu hawanaga mambo ya diplomasia kwenye ishu za haki zao kuanzia Taleban, Yemen na wao walipoteza raia Zaid ya million moja sembuse hi 45, nyinyi ndio wale nchi ikivamiwa mnanyoosha mikono a kuanza kuwatumikia mabwana wapya kisa Watu watakufa
 
Kwanini wakose hivyo vitu, ndani ya Israel kuna waarabu wapalestina kibao hawajawah kubaguliwa shida ninini hapo Gaza mpaka wafunge
Nyie kabla ya kuanza mijadala humu muwe mnapitia taarifa mbali mbali kujua nature ya huo mgogoro wa Israel na Palestine. Ni rahisi sana kuelewa kwanini waarabu ni second citizen ndani Israhell na hawachangamani.
 

Nahs plan ya hamas kuwa israel akishambuliwa atapigiwa kelele anashambulia raia, analazimishwa mezan Hamas watasema tuoe wafungwa wetu na pengibe watataka kutambuliwa rasmi kama state.. waliamin pressure ya ndani na nje ya israel itawafanya wakubali kukaa mezani.. na pia waliamini support ya Iran na proxy yake hizbola hulu wakichagizwa na ukaribu wake na urusi. Watajua lazima Israel na US watakubali kukaa mezan
 
Kumbe
 
Unataka uhuru wa Palestina ila unachukia uhuru wa SYRIA....double standard
 
wamarekani na ulaya wasingekuwa wanaiba rasilimali uko mashariki ya kati au huku africa wasingekuwa hata kwenye top10 ya uchumi.. vitu vyao vingi wanapora au kuuwa watu.. Hao ndio kirusi cha dunia cha kwanza kabla ya corona na ukimwi
Mpaka technology wamepora africa na asia..? Ukiwa na mali afu hujui namna ya kuzitumia wenzako wanakusaidia
 
Sasa ni muda wa Iran kuijibu Israel😀
 
Nyie kabla ya kuanza mijadala humu muwe mnapitia taarifa mbali mbali kujua nature ya huo mgogoro wa Israel na Palestine. Ni rahisi sana kuelewa kwanini waarabu ni second citizen ndani Israhell na hawachangamani.
Unajua mi zaman nilikuwa kama wewe ila baada ya kusafiri mara nyingi hilo eneo nimegundua uongo ni mwingi. Ukiwa Tel Aviv kwa mfano ni kama dar tu hakuna tofauti yoyote utaiona ukiwa Jerusalem kila mtu na life lake kama bongo tu. Sema kuna vijiji vya samaria au kwa waarabu wa druze wana life yao na ukienda maeneo ya wayahud wa Ethiopia au wayahud waarabu ni hivyo hivyo. Sasa cjui unamaanisha nini kusema ni daraja la pili. Ni wanasoma shule tofauti au hospital tofauti au bus na tren tofauti au hawana wanasiasa au polisi au jeshi au unamaanisha nini?
 
Mzayuni pale alikuwepo miaka yote " Yahoood ndie israel'. Ukisoma kwenye Biblia, na hata KORANI historia hapo ni kwake MYAHUDI yaani Yerusakem, yeriko, betlehemu mpaka ng'ambo ya mto jordani. Huyo palestina katokea wapi kwa Mayahudi? Wakati Yesu yuko Uyahudini kwao Betlhemu ya Uyahudi hao Wapalestina walikuwa wapi? Waarabu, Giriki, Waajemi na Wasamaria waliishi Uyahudini. Hao palestina walikuwa wanaishi wapi na ni wa kabila gani au kutka nchi gani.
 
Wasamaria, wagiriki, wakrete waarabu na kabila nyingi tu huko Uyahudini zilikuwa wa daraja za chini ktk nchi ya uyahudi. Na hata kuabudu ktk hekalu walibaguliwa. Ndio ilivyo hata leo. Myahudi fulani alizaa na dada yetu baadae akafa ila watoto walikuja kuchukuliwa na ndugu zao wa baba mmoja mayahudi wakapelekwa Israel.
 
Huwezi kua kama mimi na mimi siwezi kua kama wewe, kila mtu husafiri lakini haimanishi ndio utajua mambo ya sehemu husika kwa safari ya kwenda na kurudi, kujua jambo inahitaji research ndio maana nimekwambia soma tena kuhusu Israel anavyoishi na waarabu au hata wasio waarabu. Jews are special over any one kama wanavyojinadi wao, mimi sijadili mihemko hapa najadili fact na mimi hua sibishani discrimination ya Jews bado hujaijua vizuri wewe.
 
Unataka uhuru wa Palestina ila unachukia uhuru wa SYRIA....double standard
Ndio mimi nina sababu mbili, Palestine wako kwenye hali mbaya zaidi pamoja na lebanon na msaada ilikua ni Syria kua chini ya Assad, pili aina ya Watu walioichukua Syria ndio ilitakiwa ikombolewe lakini sio chini hawa magaidi wa sasa ndio kitu nilikua napinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…