"If Syria fails, the Resistance is Lost" Nasrallah

Hapo ni RUSSIA vs USA....RUSSIA kaliwa kichwa
 
We ndio mwenye mhemko mimi nimeenda hayo maeneo kwa muda sasa na ilikuwa kuna project ya kilimo nilikuwa najifunza so kwa muda wa mwaka mmoja niliokaa nimewajua . Cha msingi fanya tafiti mwenyewe. Kwanini waisrael waliweka zile gets kila mahali hasa old Jerusalem.
 
Hivi unahabari DNA ya wapalestina ni ndio hio hio ya wayahud kina Jesus? Hapo hao wayahudi ni tabia zakujiona wao ndio bora kuliko wengine kutokana na kujichanganya na mazayuni ya ulaya ndio imekua mtihani kwa ndugu zao. Wote ni ndugu hao
 
wamarekani na ulaya wasingekuwa wanaiba rasilimali uko mashariki ya kati au huku africa wasingekuwa hata kwenye top10 ya uchumi.. vitu vyao vingi wanapora au kuuwa watu.. Hao ndio kirusi cha dunia cha kwanza kabla ya corona na ukimwi
Sasa tunawazuia vipi ndugu wasiendelee kufanya hivo????
 
Okey hili ni gazeti la Israel linaonyesha just poll ya wayahud wanavyowaona waisrael ni asilimia 20% ya wayahud ndio wanawaona waarabu kama raia sawa wenye haki sawa

 
Israeli (Yakobo), taifa teule la Mungu, humkosea naye huwasamehe na kuwarudia tena.
 
Hivi unahabari DNA ya wapalestina ni ndio hio hio ya wayahud kina Jesus? Hapo hao wayahudi ni tabia zakujiona wao ndio bora kuliko wengine kutokana na kujichanganya na mazayuni ya ulaya ndio imekua mtihani kwa ndugu zao. Wote ni ndugu hao
Wachana na DNA. Esta myahudi aliolewa na mfalme wa syria hizo DNA ziko huko babloni pia ila si Wayahudi. Na hao palestina wanaweza wakawa na DNA kwa sababu wayahudi wamesambaa sana maeneo ya uarabuni na mashariki ya kati na ulaya hivyo kuacha alama zao. Mimi nahisi Waoalestina walikuwa wanatokana na wayahudi wakafukuzwa walikokuwa kuwa wawafuate ndugu zao ndio wakaja uyahudini? Wakakataliwa mpaka wa leo maana wanazungumza kiarabu na ni waislamu. Myahudi na uislamu au hata ukristo wapi na wapi.
 
Kwa sasa Wapalestina hawako huru na wanaishi kwa mateso zaidi
 
Ubaguz upo dunia nzima mi nazungumzia huduma za kiserikali, wanaenda shule tofauti?
 
Ubaguz upo dunia nzima mi nazungumzia huduma za kiserikali, wanaenda shule tofauti?
Wewe uko wapi wapalestina hata kufanyakazi maeneo ya wayahudi mpaka uwe na pass. Ujue hali ilivyo. Kila upande una shule na vyuo vyao. Wapaletina ndio wanaofanya kazi kwa Mayahudi. Mayahudi wanasoma na kuandika kwa kiyahudi na wapalestina kiarabu. Wapalestina wLikuja na lugha yao
 
Wapalestina sio waarabu wa Israel. Unajua wewe unachanganya. Kuna wapalestina waliokubali kuitwa waisrael. Wana haki zote sawa. Shule pamoja huduma zite pamoja bungeni wapo jeshin wapo na hata polisi wapo. Na kuna hawa wapalestina wa west bank na wagaza hawa kuingia Israel wanaingia kwa pasi maalum na most ni wafanyakazi huko Israel. Nachosema hakuna mwarabu anaebaguliwa akiwa raia wa Israel linapokuja suala la huduma za jamii. Mengine ya kubaguliwa na raia ni kawaida lipo kila mahali dunian
 
Nawe pia nifafanulie wapaletina ni wanani? Walitokea wapi wakawa hapo walipo. Je imekuwaje wakazungumza kiarabu na ni waislamu? Sasa kama si waarabu ni kabila gani? Au wamekuwa kama Watusi wasio kuwa na lugha yao ila ni kabika tofauti na wahutu na lugha yao ni ya kihutu?
 
 
Kumbe ni raia wanawaona nilifikir ni serikali. Sasa hili hata bongo unafikir mhindi kwa hapa kwetu anaonekana vip. Hiyo ipo all over the world mkuu
Wanaoongoza serikali ndio hao hao wewe pindisha usipindishe muarabu hana thamani yoyote kwa muyahudi hata mtu mweusi vilevile, kwanza asili ya wayahudi sio hao whites wayahudi ni blacks pamoja na Arab like wale wasio weupe sana wenye vinyweleo vingi

Refer genesis 19:23-27
 
Sio kweli wayahud wako kila damu coz wamezaliana kote walikokwenda.
 
🇵🇸❌🇸🇾 — An Alqassam commander (hamas military wing) was freed from Syria's prisons
Mgogoro wa Syria ni mgogoro kichaa..

Hezbollah na Iran wakiwa Syria ni maadui wa Hamas, very interesting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…