Kwasababu kabla ya kutungwa mimba yako, pengine ulikuwa kwenye mbegu za maboga. ukifa unarudisha ulivyo-consume katika kipindi chote cha maisha yako, Kiwango cha maji, kiwango cha oxygen n.k havijawahi kupungua kutokana na cycle yake, kumbuka na sisi we are made up of oxygen, carbon, calcium, hydrogen, nitrogen and phosphorous (99% ya uzito wetu wote), hivyo lazima turudishe ili kumaintain balance na kupass kwa new inborn.Maneno matupu hayavunji mfupa, leta ushahidi kwamba ukifa you are done.
una fikiri kwa nini iko hivyo mkuu?We live to die and we die to live it is an endless circle of realm
You are like salt for the whole human race.But if salt loses its saltiness there is no way to make it salt again it has become worthless,so it is thrown out and paople trample on it.Why do we live to die? What the purpose of living? Why we end up dying?
Your welcome to answer these questions (biologically, philosophically, spiritually e.t.c).
Big u bro una hojaKama nafsi ilikuwepo kabla ya kupewa kiwiliwili ina maana nafsi si akili wala ufahamu!kama nafsi ingelikuwa na ufahamu au kujitambua basi sisi sote tuliopewa nafsi tungeweza kukumbuka makarne milioni kabla nafsi haijaingia ktk mwili!ukifungua akili yako kuna mambo mawili ya kujiuliza kuhusu nafsı au roho moja-: je roho iliumbwa sanjali na kiwiliwili?!au ilikuwa stoo ikisubiri kiwiliwili?!
Pili-:kama ilikuwa stoo mbona haina kumbukumbu kuhusu ulimwengu iliokuwa kabla?!kabla ya kuvaa mwili!!
Kuna wenye imani kwmba roho ikitoka inaenda kuingia kwa kiumbe kipya kilichozaliwa je kwann haikumbuki x-body wake?
Blabla hauna maelezo ya kuelewekaKwasababu kabla ya kutungwa mimba yako, pengine ulikuwa kwenye mbegu za maboga. ukifa unarudisha ulivyo-consume katika kipindi chote cha maisha yako, Kiwango cha maji, kiwango cha oxygen n.k havijawahi kupungua kutokana na cycle yake, kumbuka na sisi we are made up of oxygen, carbon, calcium, hydrogen, nitrogen and phosphorous (99% ya uzito wetu wote), hivyo lazima turudishe ili kumaintain balance na kupass kwa new inborn.