If we all end up dying, what is the purpose of living?

Maneno matupu hayavunji mfupa, leta ushahidi kwamba ukifa you are done.
Kwasababu kabla ya kutungwa mimba yako, pengine ulikuwa kwenye mbegu za maboga. ukifa unarudisha ulivyo-consume katika kipindi chote cha maisha yako, Kiwango cha maji, kiwango cha oxygen n.k havijawahi kupungua kutokana na cycle yake, kumbuka na sisi we are made up of oxygen, carbon, calcium, hydrogen, nitrogen and phosphorous (99% ya uzito wetu wote), hivyo lazima turudishe ili kumaintain balance na kupass kwa new inborn.
 
Why do we live to die? What the purpose of living? Why we end up dying?
Your welcome to answer these questions (biologically, philosophically, spiritually e.t.c).
You are like salt for the whole human race.But if salt loses its saltiness there is no way to make it salt again it has become worthless,so it is thrown out and paople trample on it.
 
Struggle for existence, do your level best while still alive, make sure you leave your image on the earth before you disappear from the face of the universe. Death is to be accepted along with all other natural facts, it should be awaited with the same calmness that we await each new year in life.
 
Big u bro una hoja
 
Blabla hauna maelezo ya kueleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…