If we all end up dying, what is the purpose of living?

If we all end up dying, what is the purpose of living?

Somebody asked a question that why can God not take a human form.

If God wants, he can take a human form – But the moment He takes a human form, he ceases to be God. Because God and man, they are two opposites – Man is mortal – God is immortal.

You can’t have a mortal and immortal person at the same time.

Man has a beginning – God has got no beginning – You can’t have a person who has a beginning and no beginning at the same time.

Man has an end – God has no end – So you can’t have a person, having an end and no end at the same time – It doesn’t make sense.

So you can’t have a God man – You can either have God or you can have man – You can’t have a God man.

So if God takes human form, He ceases to be God… He becomes human being – Because man requires to eat – God does not require to eat.

The Qu’ran says in Surah Anam, Chapter 6, Verse No. 14, that…‘He feedeth everyone, but doesn’t require to be fed’.

The human beings, they require rest – They require sleep.

The Qu’ran says in Ayatul Qursi, Chapter. No. 2, Verse No. 255

‘Allah, He is one and only, The Self Existing, the Eternal, no slumber can seize, nor does He require sleep – To Him belongs everything in the heaven and the earth’.

Therefore God, when He takes the human form, He ceases to be God – You can’t have a god-man together.

And if a God becomes human being and gives up His quality, and becomes man – why should we worship a human being?

Because he has same powers as you and me – People will want to worship you and me also then.

What is the use of worshipping a person who has same powers like you and me?

And later on if someone tells me this same human being became God, its not possible.

If human beings can become God, even you and I would become God tomorrow.

Therefore if Allah wants He can become a human being, but He ceases to be a God – Therefore Allah will never want to become a human being.

Allah can tell a lie if He wants – But He will never tell a lie – Because to lie is ungodly – The moment He lies, he ceases to be God.

Allah can do injustice if He wants, but He will not – Because to do injustice is ungodly.

As the Holy Qur’an says in Surah Nisa, Chapter 4, Verse No. 40, that… ‘Allah Subhana Wa Taala is never unjust in the least degree’.

So if He does injustice, He ceases to be God.

Allah Subhana Wa Taala, if He wants He can make a mistake – But he will not make a mistake, because to make mistake is ungodly.

The Qur’an says in Surah Taha, Chapter No. 20 V.52… ‘That Allah does not make mistakes’ Allah does not err.

So if He makes a mistake He ceases to be God.

Allah can forget if He wants – But He will not forget, because forgetting is an ungodly act.

The Qur’an says in Surah Taha, Chapter 20, V.52… ‘Allah doesn’t make a mistake, neither does he forget’ -

The moment He forgets, He ceases to be God.

Therefore the Holy Qur’an says…… ‘Verily Allah has power over all things’

In several places in Surah Baqarah, Chapter 2, V.No.106, In Surah Baqarah, Chapter 2, V.No.109, Surah Baqarah, Chapter 2 V.No.284, Surah Al Imran, Chapter No. 3, V. 29, Surah Nahl, Chapter 16, V.77, Surah Fatir, Chapter 35, V. No.1. And Allah says……‘For Verily, Allah has power over all things’

But Allah only does Godly things, he doesn’t do ungodly things.

Because Qur’an says in Surah Buruj, Chapter 85, V. No.16…‘Allah is the doer of all He intents’

Whatever Allah intents He can do – But He only intents Godly things.



This theory of God becoming a human form, is called as ‘Anthropomorphism’ – Almighty God taking a human form.

And most of the major Religions, sometime or the other, they have in their Philosophy, that God has taken a human form – Some religion once, some several times.

And they have a very beautiful logic for that – they say that God Almighty, He is so Pure, He is so Holy, He doesn’t know regarding the feelings of the human being – regarding the shortcomings, the difficulties the human being can have.

He is so Holy and Pure – And Allah Subhana Wa Taala doesn’t know how does a human beings feel when he is hurt – How does he feel when he gets into trouble. So therefore, God Almighty came in the form of a human being in this world to set the rules for the human beings.

On the face of it, very good logic – But I tell these people, that if I manufacture a tape recorder, do I have to become a tape recorder, to know what is good or what is bad for the tape recorder?

No! I just write an instruction manual – that when you want to play the audio cassette, put in the cassette, press the play button – When you want to stop, press the stop button – When you want to fast forward, press the FF button – Don’t drop it from a height it will get spoilt – Don’t immerse it in water, it will get damaged.

I write an instruction manual – I don’t have to became a tape recorder to know what is good or what is bad for the tape recorder. Similarly, when Almighty God is our Creator, He doesn’t have to become a human being to know what is good or what is bad for the human being. He sends an instruction manual and the last and the final instruction manual for the human being, is the holy Qur’an.

The Holy Qur’an is the last and final instruction manual for the human beings – The do’s and don’ts for the human beings. And he need not come down in this world as a human being to give us the instructor manual – What does he do?

He chooses a man, amongst men to deliver His message – whom we call as Messengers or Prophets with whom He communicates on a higher level, through the ‘Revelation’.

It is so clear cut to any logical person, that God Almighty cannot take human form – Any fool can also understand. That’s the reason the Holy Qur’an says in Surah Baqarah, Chapter 2, Verse No.18….

‘The deaf, the dumb, the blind – they will not come to the true path’.

And the Bible gives the same message in the Gospel of Mathew, Chapter No.13, Verse No.13…

‘Seeing they are see not, hearing they hear not, neither do they understand
Mkuu Nonda nashukuru sana kwa jinsi ulivyoeleza kile UNACHOAMINI. Na umetaja vitu mbalimbali ambavyo kwa mtazamo wa 'kiislamu' haviwezekani, hasa kwa sababu haviendani na vile ambavyo sisi binadamu tunafahamu mambo mengine.
Baada ya kuchunguza kwa ukaribu maelezo kama hayo na hayo,kuvisoma mwenyewe vitabu mbalimbali vya dini na mambo mengine kadhalika,nimefikia mwafaka kuwa Ukristo ndiyo dini ya kweli pekee. Labda ni jukumu la kila mmoja wetu kutia bidii katika kutafuta ukweli ni upi badala ya kuridhika na maelezo machache yanayotolewa hapa na pale.

Mtu yeyote anayeamini Biblia anaamini mambo mengi ambayo watu wengine husema hayawezekani. Hivyo tunafikia mahali tunasema, "ikiwa unasema haiwezekani Mungu kuishi kama mwanadamu duniani mimi sijui, ninachojua mimi ni kuwa Yesu Mwana wa Mungu aliishi hapa duniani,akasulibiwa msalabani na kufa,siku ya tatu akafufuka kwa ajili ya dhambi zangu na za ulimwengu mzima. Na kwamba kwa Imani katika kifo na kufufuka kwake tunasamehewa dhambi na kufanyika washirika wa ufalme wa Mungu"

Na nikirudi kwenye mada tuliyonayo, ukihusianisha na mtazamo wangu wa Kikristo,naona wazi kuwa japokuwa sote tunaishi kipindi fulani tu hapa duniani halafu tunakufa, Maisha yana maana kwani mwanzilishi na mkamilishaji wa safari ya maisha ni Mungu. Yaani ninaishi ili kulitimiza kusudi la Mungu la kuniumba na baadae nitarejea kwake.
 
Mkuu Nonda nashukuru sana kwa jinsi ulivyoeleza kile UNACHOAMINI. Na umetaja vitu mbalimbali ambavyo kwa mtazamo wa 'kiislamu' haviwezekani, hasa kwa sababu haviendani na vile ambavyo sisi binadamu tunafahamu mambo mengine.
Baada ya kuchunguza kwa ukaribu maelezo kama hayo na hayo,kuvisoma mwenyewe vitabu mbalimbali vya dini na mambo mengine kadhalika,nimefikia mwafaka kuwa Ukristo ndiyo dini ya kweli pekee. Labda ni jukumu la kila mmoja wetu kutia bidii katika kutafuta ukweli ni upi badala ya kuridhika na maelezo machache yanayotolewa hapa na pale.

Mtu yeyote anayeamini Biblia anaamini mambo mengi ambayo watu wengine husema hayawezekani. Hivyo tunafikia mahali tunasema, "ikiwa unasema haiwezekani Mungu kuishi kama mwanadamu duniani mimi sijui, ninachojua mimi ni kuwa Yesu Mwana wa Mungu aliishi hapa duniani,akasulibiwa msalabani na kufa,siku ya tatu akafufuka kwa ajili ya dhambi zangu na za ulimwengu mzima. Na kwamba kwa Imani katika kifo na kufufuka kwake tunasamehewa dhambi na kufanyika washirika wa ufalme wa Mungu"

Na nikirudi kwenye mada tuliyonayo, ukihusianisha na mtazamo wangu wa Kikristo,naona wazi kuwa japokuwa sote tunaishi kipindi fulani tu hapa duniani halafu tunakufa, Maisha yana maana kwani mwanzilishi na mkamilishaji wa safari ya maisha ni Mungu. Yaani ninaishi ili kulitimiza kusudi la Mungu la kuniumba na baadae nitarejea kwake.


Ukweli kuhusu Yehova

Kulingana na maelezo ya Biblia, Yehova ni jina takatifu la Mwenyezi Mungu walilolitumia Wayahudi kwa mnasaba wa lugha yao ya Kiebrania. (Tazama the Holy Bible in Kiswahili, Union Version Uk. vi). Aidha,, kwa mujibu wa mafundisho ya Biblia, jina hilo Mungu alilifunua kwa mara ya kwanza kwa Nabii Musa (a.s.). Maandiko yafuatayo yanathibitisha ukweli huu:

"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehova, mami nilimtokea Ibrahimu, na Isaka na Yakobo kama Mungu Mwenyezi, bali kwa jina langu Yehova sikujulikana kwao". (Kutoka 6:2-3)

Kulingana na maandiko hayo juu, tunachojifunza hapa ni kwamba Yehova ni Mwenyezi Mungu. Aidha, Mwenyezi Mungu anathibitisha wazi kuwa hakuwahi kujitambulisha kwa jina hilo (la Yehova) kwa Manabii wake wengine aliowataja katika maandiko hayo ambao walikuwepo kabla ya Nabii Musa (a.s.). Lakini anasema alijifunua kwao kama "Mungu Mwenyezi".

Aidha, kwa kuzingatia shuhuda hiyo, tunajifunza pia kuwa tokea zamani ilikuwa ni desturi ya Mungu kujifunua kwa Manabii wake mbali mbali akijitambulisha kwa majina tofauti. Ni dhahiri kwa shuhuda hiyo peke yake yatosha kukubali vile vile kwamba Mwenyezi Mungu alipojitambulisha kwa jina la "Allah" kwa Nabii wake wa mwisho, Mtume Muhammad (s.a.w.) pia ilikuwa ni katika ile ile desturi yake ya kujifunua kwa Manabii wake kwa majina tofauti ambayo mara nyingi yalinasibihiana na lugha zao.

Zaidi ya hivyo, lakini hoja ya msingi inayoweza kudhihirisha majina ya Allah na Yehova kwamba ni majina yanayomhusu Mwenyezi Mungu yule yule mmoja ni kazi, utukufu na sifa zake, kama zilivyoelezwa vizuri na Qur'an tukufu na Biblia takatifu. Hoja hizo tutakuja kuziona kwa mapana na marefu hapo baadae. Na ndipo tutakapoyakinisha kama kweli Mungu huyo anaye mwana au la.

Hata hivyo, kabla sijazibainisha hoja hizo, ni vyema kwanza tukaangalia zaidi jinsi Mungu huyo huyo mmoja alivyojifunua na kujitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali lakini kwa majina tofauti.

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Ibrahimu (a.s.)

Kulingana na mafundisho ya Biblia, Mungu alijitambulisha kwa Nabii Ibrahimu (a.s.) kama "Mungu Mwenyezi". Ukweli huu unathibitishwa na andiko lifuatalo:

"Abrahamu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, BWANA akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu". (Mwanzo 17:1)

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Isaka (a.s.)

Mafundisho ya Biblia pia yanaeleza kuwa Mungu alijitambulisha kwa Nabii Isaka (a.s.) kwamba ndiye Mungu yule yule wa Baba yake (Nabii Ibrahimu a.s.) kama tunavyojifunza maandiko yafuatayo:

"Isaka akarudi akavichimbua vile visima vya maji walivyovichimba siku za Ibrahimu babaye; ... BWANA akamtokea usiku ule ule akasema, Mimi ni Mungu wa Ibrahimu baba yako, usiogope, maana Mimi ni pamoja nawe, nami nitakubarikia, na kuzidisha uzao wako kwa ajili ya Ibrahimu mtumishi wangu". (Mwanzo 26:18,24).

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Yakobo (a.s.)

Vile vile kulingana na mafundisho ya Biblia, Mungu alijitambulisha pia kwa Nabii Yakobo (a.s.), kama maandiko yafuatayo yanavyobainisha ukweli huu:

"Mungu akamtokea Yakobo tena, aliporudi kutoka padan - aramu akamwambia, Jina lako ni Yakobo, hutaitwa tena Yakobo, lakini Israeli litakuwa jina lako. Akamwita jina lake, Israeli. Mungu akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uzidi ukaongezeke". (Mwanzo 35:9-11).

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Musa (a.s.)

Tofauti na alivyojitambulisha kwa Manabii wake wa kabla ya Nabii Musa (a.s.), Biblia inafundisha kuwa Mungu alijitambulisha kwa Nabii Musa (a.s.) na kwa Waisraeli wengine kwa majina ya "Yehova" na "BWANA".

Kuhusu jina la Yehova, andiko lifuatalo linathibitisha kama ifuatavyo:

"Kisha Mungu akasema na Musa, akamwambia, Mimi ni Yehova". (Kutoka 6:2).

Kuhusu BWANA, maandiko yafuatayo yanabainisha:

"Ilikuwa siku hiyo BWANA aliponena na Musa katika nchi ya Misri, BWANA akamwambia Musa, akasema, Mimi ni BWANA, mwambie Farao mfalme wa Misri maneno yote nikuambiayo". (Kutoka 6:28-29).

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Daudi (a.s.)

Maandiko ya Biblia yanaonyesha pia kuwa Mungu alijifunua na kutambuliwa na Nabii Daudi (a.s.) kwa majina ya Yehova, Yahu na BWANA.

Kuhusu jina Yehova, Nabii Daudi baada ya Mungu kumfunulia, alitangaza kwa kusema:

"Wajue ya kuwa Wewe, uitwaye jina lako Yehova, ndiwe peke yako Uliye juu, juu ya nchi yote". (Zaburi 83:18)

Kuhusu jina Yahu, Nabii Daudi pia alifunuliwa na kusema:

"BWANA, Mungu wa majeshi, Ni nani aliye hodari kama Wewe, Ee Yahu?" (Zaburi 89:8)

Ama kuhusu BWANA, Nabii Daudi vile vile alisema:

"Kwa kuwa BWANA ni Mungu mkuu, Na mfalme mkuu juu ya miungu yote". (Zaburi 95:3).

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Isaya (a.s.)

Kulingana na mafundisho ya Biblia, Mungu kupitia kinywa cha Nabii Isaya (a.s.) alijitambulisha kwa jina la BWANA. Aidha, kwa upande mwingine, maandiko ya Biblia yanaonyesha kuwa Mungu pia alijifunua kwa Nabii Isaya kwa jina la BABA.

Kuhusu kujitambulisha kwa jina la BWANA, Mungu mwenyewe alisema:

"Mimi ni BWANA, ndilo jina langu; na utukufu wangu sitampa mwingine, wala sitawapa sanamu sifa zangu". (Isaya 42:8)

Ama kuhusu jina la BABA, Nabii Isaya alisema:

"Lakini sasa, Ee BWANA, Wewe U baba yetu, sisi tu udongo, nawe u mfinyanzi wetu, sisi sote tu kazi ya mikono yako". (Isaya 64:8)

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Yesu (a.s.)

Sawa sawa na Nabii Isaya (a.s.), Biblia inafundisha kuwa Mungu alijifunua na kutambuliwa na Nabii Isa au Yesu (a.s.) kwa majina ya BABA MTAKATIFU na BWANA.

Kuhusu BABA MTAKATIFU, Yesu naye alifunuliwa na kusema:

"Wala mimi simo tena ulimwenguni, lakini hawa wamo ulimwenguni, nami naja kwako Baba Mtakatifu, kwa jina lako ulilonipa uwalinde hawa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo". (Yohana 17:11)

"Yesu akamwambia. Usinishike; kwa manaa sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu". (Yohana 20:17)

Ama kuhusu BWANA, Yesu vile vile alifunuliwa na kusema:

"...Ya kwanza ndiyo hii, sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja, nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote na kwa nguvu zako zote:. (Marko 12:29-30)

Kwa ufupi, hivi ndivyo Bwana Yesu naye alivyofunuliwa na kumtambua Mungu kwa majina hayo (ya BABA na BWANA). Na kwa ujumla, ukimtoa Nabii Ibrahimu, Ishmaeli, Isaka na Yakobo (a.s.) ambao walimtambua Mungu kwa jina la Mwenyezi, Manabii waliokuja baada yao pamoja na Waisraeli kwa ujumla walimtambua Mungu kwa jina ama la Yehova, BWANA, Yahu au BABA, kama Mungu mwenyewe alivyojifunua kwao.

Mungu alivyojitambulisha kwa Nabii Muhammad (s.a.w.)

Kama alivyojifunua na kujitambulisha kwa Manabii wake wengine kwa majina tofauti (kama tulivyoona hapo juu), Mwenyezi Mungu pia hakuacha kuiendeleza kawaida (desturi) yake hiyo hata kwa Nabii wake wa mwisho, Mtume Muhammad (s.a.w.). Kwake aliamua kujitambulisha kwa jina lake kuu la Allah, akama aya ifuatayo inavyobainisha:

"Jua ya kwamba hakuna aabudiwaye kwa haki ila Allah (Mwenyezi Mungu)...". (Qur. 47:19)

Pamoja na kujitambulisha kwa jina hilo (la Allah), Mwenyezi Mungu pia hakuacha kujionyesha kuwa Yeye ndiye Mungu yule aliyewafunulia Manabii wake waliomtangulia Nabii Muhammad (s.a.w.) kama aya ifuatayo ya Qur'an inavyo mwambia Mtume Muhammad (s.a.w.) na Waislamu wengine wa umma wake kwa ujumla:

"Amekupeni sheria ya dini ile ile aliyomuusia Nuhu na tuliyokufunulia wewe na tuliyowausia Ibrahimu na Musa na Isa (Yesu)..." (Qur. 42:13).

Kulingana na aya hiyo ya Qur'an tukufu hapo juu, ni wazi kuwa Mungu - Allah ndiye Mungu - Yehova, ndiye Mungu-Mwenyezi, ndiye BWANA na ndiye Mungu-BABA aliyejifunua kwa Manabii wake wote wa kabla ya Nabii Muhammad (s.a.w.).

Hivyo basi, kwa kuzingatia uwazi wa shuhuda hizo nilizozitaja hapo juu, ni upotofu wa dhahiri kudai kwamba Yehova siyo Allah (s.w.). Kwani hata Bwana Yesu (a.s.), maandiko ya Biblia hayaonyeshi kwamba Mungu alijifunua kwake kwa jina la Yehova. Kwa hali hiyo, hatuwezi kusema kuwa Mungu - Yehova aliyejifunua kwa Nabii Musa (a.s.) siyo Mungu - Baba aliyejifunua kwa Nabii Isa au Yesu (a.s.). Au Mungu - Baba aliyejifunua kwa Yesu siyo Mungu - Mwenyezi aliyejifunua kwa Nabii Ibrahimu, Isaka na Yakobo (a.s.).

Lakini ukweli ni kwamba huyo ni Mungu yule yule mmoja ambaye anadhihirika kwa kazi, utukufu na sifa zake kamilifu, kama tutakavyokuja kuona hapo baadae katika maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu.
 
Mkuu Nonda nashukuru sana kwa jinsi ulivyoeleza kile UNACHOAMINI. Na umetaja vitu mbalimbali ambavyo kwa mtazamo wa 'kiislamu' haviwezekani, hasa kwa sababu haviendani na vile ambavyo sisi binadamu tunafahamu mambo mengine.
Baada ya kuchunguza kwa ukaribu maelezo kama hayo na hayo,kuvisoma mwenyewe vitabu mbalimbali vya dini na mambo mengine kadhalika,nimefikia mwafaka kuwa Ukristo ndiyo dini ya kweli pekee. Labda ni jukumu la kila mmoja wetu kutia bidii katika kutafuta ukweli ni upi badala ya kuridhika na maelezo machache yanayotolewa hapa na pale.


Mtu yeyote anayeamini Biblia anaamini mambo mengi ambayo watu wengine husema hayawezekani. Hivyo tunafikia mahali tunasema, "ikiwa unasema haiwezekani Mungu kuishi kama mwanadamu duniani mimi sijui, ninachojua mimi ni kuwa Yesu Mwana wa Mungu aliishi hapa duniani,akasulibiwa msalabani na kufa,siku ya tatu akafufuka kwa ajili ya dhambi zangu na za ulimwengu mzima. Na kwamba kwa Imani katika kifo na kufufuka kwake tunasamehewa dhambi na kufanyika washirika wa ufalme wa Mungu"

Na nikirudi kwenye mada tuliyonayo, ukihusianisha na mtazamo wangu wa Kikristo,naona wazi kuwa japokuwa sote tunaishi kipindi fulani tu hapa duniani halafu tunakufa, Maisha yana maana kwani mwanzilishi na mkamilishaji wa safari ya maisha ni Mungu. Yaani ninaishi ili kulitimiza kusudi la Mungu la kuniumba na baadae nitarejea kwake.


0.5nic,


Tumeona jinsi Mwenyezi Mungu alivyokuwa akijitambulisha kwa majina tofauti kwa Manabii wake mbalimbali hadi Nabii wake wa mwisho Mtume Muhammad (s.a.w.).

Kwa muktadha huo, tukaona pia kuwa Mwenyezi Mungu hakuwahi kujitambulisha kwa jina lake la Yehova kwa Manabii wake (kama Nabii Ibrahimu, Isaka na Yakobo a.s.) waliokuwepo kabla ya Nabii Musa (a.s.). Lakini tuliona kuwa alijifunua kwao kwa jina la "Mungu Mwenyezi".

Pamoja na ukweli huo, tuliona pia kuwa Manabii na Waisraeli kwa ujumla waliokuja baada yao (Nabii Ibrahimu, Isaka na Yakobo a.s.) walimtambua Mungu kwa jina la Yehova, Yahu, BWANA, Baba au kulingana na Mungu mwenyewe alivyojifunua au kujitambulisha kwao.

Aidha, katika kuiendeleza kawaida yake hiyo (ya kujitambulisha kwa majina tofauti) tuliona pia jinsi Mungu alivyoamua kujitambulisha kwa Nabii wake wa Mwisho; Mtume Muhammad (s.a.w.) kwa jina lake kuu la Allah.

Kwa hali hiyo, ikadhihirika kuwa Mungu-Yehova ndiye Mungu - Allah, ndiye BWANA, ndiye Mungu - Baba na ndiye Mungu - Mwenyezi.

Ni vyema kwanza tukaona pia ukweli kuhusu Allah japo kwa uchache, kama ambavyo tulivyoona katika toleo lililopita ukweli kuhusu Yehova.

Ukweli kuhusu Allah

Kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'an tukufu, Allah ni jina tukufu la Mwenyezi Mungu, Muumba wa kila kitu, alilojifunua kupitia kitabu chake kitukufu cha Qur'an kwa Mtume wake wa mwisho kwa ulimwengu mzima; Nabii Muhammad (s.a.w.).

Aya zifuatazo za Qur'an tukufu zinathibitisha ukweli huo, kama Mwenyezi Mungu alivyomfunulia Nabii Muhammad (s.a.w.) jina hilo, kwa kumwambia:

"Sema (Ewe Nabii Muhammad): Enyi watu! Hakika mimi ni Mtume wa Allah (Mwenyezi Mungu) kwenu nyinyi nyote, (Mungu) ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi, hapana aabudiwaye (kwa haki) ila Yeye; Yeye ndiye ahuishaye na ndiye afishaye. Basi muaminini Allah na Mtume wake, aliye Nabii Ummy (asiyejua kusoma wala kuandika) ambaye humuamini Allah na maneno yake. Na mfuateni yeye ili mpate kuongoka". (Qur. 7:158)

"Yeye ndiye Allah (Mwenyezi Mungu) ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye tu. Anayeyajua yaliyofichikana na yaliyo dhahiri. Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo".

"Yeye ndiye Allah (Mwenyezi Mungu) ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye tu; Mfalme, Mtakatifu, Mwenye Salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha mwenyewe mambo yake, Mwenye shani, Anayefanya analolitaka. Mkubwa, Allah yu mbali na hao wanaomshirikisha naye".

"Yeye ndiye Allah (Mwenyezi Mungu), Muumbaji, Mtengenezaji, Mfanyaji sura (za namna namna za viumbe); Mwenye majina (safi) mazuri. Kinamtukuza kila kilichomo mbinguni na ardhini. Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye Hikima". (Qur. 59:22-24).

Pamoja na kujifunua kwake kwa Nabii Muhammad (s.a.w.) kwa jina lake hilo tukufu (la Allah) kama aya hizo juu zinavyojieleza, Mwenyezi Mungu pia hakuishia hapo tu. Lakini aliendelea kujidhihirisha katika aya nyingine nyingi mbalimbali za Qur'an tukufu kuwa Yeye ndiye Mungu yule yule mmoja aliyejifunua kwa Manabii wake wote waliomtangulia Nabii Muhammad (s.a.w.) kama aya ifuatayo (ya Qur'an tukufu) inavyomwambia Nabii Muhammad (s.a.w.) na Waislamu wengine wa umma wake kwa ujumla:

"Amekupeni sheria ya dini ile ile aliyomuusia Nuhu na tuliyokufunulia wewe na tuliyowausia Ibrahimu na Musa na Isa (Yesu), kwamba simamisheni dini wala msifarikiane kwayo...". (42:13).

Kwa ufupi, huo ndio ukweli halisi kuhusu Allah (s.w.). Kwamba ndiye Mungu Muumba wa kila kitu, mwenye sifa zote tukufu na kamilifu, ndiye Mungu yule yule aliyejifunua kwa Nabii Nuhu, Ibrahimu, Musa, Isa (Yesu) na kwa Mitume na Manabii wake wengine wote aliowaleta duniani. (Tazama Qur'an 6:83-87 na kadhalika).

Pamoja na ukweli huo, ni muhimu sasa tukaziangalia sifa hizo kuu za Mwenyezi Mungu wa kweli ambazo ndizo zinazodhihirisha kwa uwazi zaidi kwamba Allah na Yehova ndiye Mungu yule yule mmoja aliyejifunua kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti. Aidha, kwa kuzingatia majina hayo (ya Allah na Yehova) na sifa hizo, tutaona pia kama kweli ndiye Mungu anayeabudiwa na Wakristo?

Kuwepo mwanzo (yaani kuwepo kabla ya yeyote na chochote)

Miongoni mwa sifa kuu zinazomdhihirisha Mungu wa kweli,sifa ya kwanza na ya msingi, ni kuwepo mwanzo, yaani kuwepo kabla ya yeyote na kabla ya chochote. Umuhimu kwa Mungu wa kweli kuwa na sifa hiyo, mbali na kutakasika na sifa sifa dhaifu (isiyomstahiki Mungu) ya kuumbwa au kuzaliwa, unazingatia Yeye kuwa Ndiye Mwanzilishi wa kila kitu (kinachoonekana na kisichoonekana). Kwa mantiki hiyo basi, ni dhahiri kuwa kigezo cha kwanza muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova ni 'mmoja wao' kubainika kuwa hana sifa hiyo azizi.

Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu, hatumuoni yeyote akidai sifa hiyo isipokuwa Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti. Maandiko yafuatayo ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu kwa pamoja yanathitibisha ukweli huu:

Biblia:

"Ni nani aliyetenda na kufanya jambo hilo, aviitaye vizazi tangu mwanzo? Mimi, BWANA, wa kwanza na wa mwisho, mimi ndiye". (Isaya 41:4)

"Ninyi ni mashahidi wangu, asema BWANA, na mtumishi niliyemchagua, mpate kujua, na kuniamini, na kufahamu ya kuwa mimi ndiye, kabla yangu hakuumbwa Mungu awaye yote, wala baada yangu mimi hatakuwepo mwingine". (Isaya 43:10)

Qur'an:

"Kinamtukuza Allah (Mwenyezi Mungu) kila kilichomo mbinguni na ardhini, na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye Hikima. Ufalme wa mbingu na ardhi ni Wake, Anahuisha na Kufisha. Na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila kitu. Yeye ndiye wa Mwanzo na Ndiye wa Mwisho, naye ndiye Dhahiri na wa siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu". (Qur. 57:1-3)

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona wazi Biblia na Qur'an tukufu vyote vinamkariri Mwenyezi mmoja peke yake akijinadi kuwa ndiye wa mwanzo kuwepo ambapo kama mwenyewe (Mungu) anavyojieleza kwamba hakuna Mungu yoyote aliyemtangulia kuwepo; sembuse mzazi wa kumzaa!

Kwa shuhuda hizo ni wazi kuwa sifa hii pekee inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mungu yule yule aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali lakini kwa majina tofauti.

Uumbaji:

Sifa kuu ya pili ya Mungu wa kweli baada ya sifa yake ya kwanza ya kuwepo kabla ya yeyote na chochote, ni Uumbaji. Kwani kwa kuwa kama tulivyoona hapo juu, Mungu mwenyewe akijieleza kwamba hakuna yeyote, chochote wala Mungu awaye yote aliyemtangulia kuwepo, hapana shaka ni lazima wote na vyote vilivyokuja baadae vitakuwa vimeumbwa na Yeye. Kwa kuzingatia mantiki hiyo na kwa vile hakuna yeyote wala chochote kilichodai au kuweza kudai kwamba kimejiumba chenyewe, ni dhahiri kuwa Yeye (Mungu) ndiye Muumba na vingine vyote ni viumbe vyake.

Kwa mantiki hiyo basi, sifa hii, pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika kuwa "mmoja wao" hana pia sifa hiyo (ya Uuumbaji). Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu tunaona ni Mwenyezi Mungu peke yake ndiye anayedai sifa hiyo. Ukweli huu tunaupata pia katika maandiko yafuatayo ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu:

Biblia:

"BWANA, mkombozi wako, yeye aliyekuumba tumboni, asema hivi; Mimi ni BWANA, nifanyaye vitu vyote, nizitandaye mbingu peke yangu; niienezaye nchi; ni nani aliye pamoja nami?". (Isaya 44:24)

"Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi". (Mwanzo 1:1)

"Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. Mungu akaibariki siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya. Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa". (Mwanzo 2:1-4)

"Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu wetu, kuupokea utukufu na heshima na uwazi kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote na kwa sababu ya mapenzi yako vilikuwako, navyo vikaumbwa". (Ufunuo wa Yohana 4:11)

Qur'an:

"Na (juu ya hivi) wamemfanyia Allah (Mwenyezi Mungu) majini kuwa washirika wake, hali Yeye ndiye aliyeumba (si majini). Na wanamsingizia (Mwenyezi Mungu) kuwa ana mtoto wa kiume na wa kike. (Wakasema hayo) pasipo kujua. Ameepukana (Mwenyezi Mungu) na upungufu, na yu juu kuliko yale wanayomsifu nayo. Yeye ndiye Mwumba wa mbingu na ardhi. Inamkinikaje awe na mwana hali hana mke. Naye ndiye aliyeumba kila kitu (siyo badhi yake kavizaa). Naye ni mjuzi wa kila kitu. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu,Mola wenu, hakuna anayeabudiwa kwa haki ila Yeye, Muumba wa kila kitu. Kwa hivyo mwabuduni Yeye (tu). Naye ni Mlinzi wa kila kitu". (Qur. 6:100-102)

Hapa tunaona wazi shuhuda hizo juu za Qur'an tukufu na Biblia takatifu zinamwonyesha Muumbaji pekee ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti. Kwa shuhuda hizo basi, ni wazi kuwa sifa hii nayo inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mungu yule yule mmoja aliyeumba kila kitu.

Ukuu:

Kwa kuzingatia kuwa Yeye ndiye wa kabla ya yeyote na chochote na ndiye Muumba wa kila kitu, hapana shaka kuwa sifa kuu ya tatu ya Mungu wa kweli ni lazima iwe ni Ukuu. Ambapo tafsiri halisi ya sifa hii tukufu ni kwamba Mwenyezi Mungu amekizidi na kukipindukia kila alichokiumba kwa kila hali. Kwa mantiki hiyo, sifa hii pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova, iwapo tu itabainika kuwa 'mmoja wao' hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu hatumwoni yeyote akidai sifa hiyo zaidi ya Mwenyezi Mungu yule yule mwenye sifa tukufu tulizoziona hapo awali, kama maandiko yafuatayo ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu yanavyodhihirisha ukweli huu:

Biblia:

"Kwa maana BWANA, Mungu wenu, Yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa Mabwana, Mungu Mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea nyuso za watu, wala hakubali rushwa". (Kumbukumbu la Torati 10:17)

"Ee Mungu, njia yako i katika utakatifu; Ni nani aliye Mungu Mkuu kama Mungu?" (Zaburi 77:13).

Qur'an:

"Hivi ni kwa sababu Allah (Mwenyezi Mungu) ni haki (yuko); na wanachokiomba badala yake ni batili (hakiko), (ni uongo tu kwani hapana hata kimoja katika hicho kinachofanya anayofanya Mwenyezi Mungu) ndiye mtukufu (na ndiye) mkubwa". (Qur. 31:30)

"Kwa sababu mlikuwa akitajwa (akiombwa) Allah (Mwenyezi Mungu) peke yake mnakanusha na akishirikishwa mnaamini. Basi hukumu (leo) ni yake (Mwenyewe tu) Allah (Mwenyezi Mungu) alye juu, aliye Mkuu". (Qur. 40:12).

"Hayo ni kwa sababu Allah (Mwenyezi Mungu) yuko; na wale wanaowaabudu badala yake (Mwenyezi Mungu) hawako, na Allah ndiye aliye juu na ndiye Mkubwa". (Qur. 22:62)

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona hapa Biblia na Qur'an tukufu vinafundisha sambamba kwamba sifa ya Ukuu ni ya Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyekuwepo kabla ya yeyote na chochote, Muumbaji wa kila kitu.
 
0.5nic,


Tumeona jinsi Mwenyezi Mungu alivyokuwa akijitambulisha kwa majina tofauti kwa Manabii wake mbalimbali hadi Nabii wake wa mwisho Mtume Muhammad (s.a.w.).

Kwa muktadha huo, tukaona pia kuwa Mwenyezi Mungu hakuwahi kujitambulisha kwa jina lake la Yehova kwa Manabii wake (kama Nabii Ibrahimu, Isaka na Yakobo a.s.) waliokuwepo kabla ya Nabii Musa (a.s.). Lakini tuliona kuwa alijifunua kwao kwa jina la "Mungu Mwenyezi".

Pamoja na ukweli huo, tuliona pia kuwa Manabii na Waisraeli kwa ujumla waliokuja baada yao (Nabii Ibrahimu, Isaka na Yakobo a.s.) walimtambua Mungu kwa jina la Yehova, Yahu, BWANA, Baba au kulingana na Mungu mwenyewe alivyojifunua au kujitambulisha kwao.

Aidha, katika kuiendeleza kawaida yake hiyo (ya kujitambulisha kwa majina tofauti) tuliona pia jinsi Mungu alivyoamua kujitambulisha kwa Nabii wake wa Mwisho; Mtume Muhammad (s.a.w.) kwa jina lake kuu la Allah.

Kwa hali hiyo, ikadhihirika kuwa Mungu-Yehova ndiye Mungu - Allah, ndiye BWANA, ndiye Mungu - Baba na ndiye Mungu - Mwenyezi.

Ni vyema kwanza tukaona pia ukweli kuhusu Allah japo kwa uchache, kama ambavyo tulivyoona katika toleo lililopita ukweli kuhusu Yehova.

Ukweli kuhusu Allah

Kwa mujibu wa mafundisho ya Qur'an tukufu, Allah ni jina tukufu la Mwenyezi Mungu, Muumba wa kila kitu, alilojifunua kupitia kitabu chake kitukufu cha Qur'an kwa Mtume wake wa mwisho kwa ulimwengu mzima; Nabii Muhammad (s.a.w.).

Aya zifuatazo za Qur'an tukufu zinathibitisha ukweli huo, kama Mwenyezi Mungu alivyomfunulia Nabii Muhammad (s.a.w.) jina hilo, kwa kumwambia:

"Sema (Ewe Nabii Muhammad): Enyi watu! Hakika mimi ni Mtume wa Allah (Mwenyezi Mungu) kwenu nyinyi nyote, (Mungu) ambaye anao ufalme wa mbingu na ardhi, hapana aabudiwaye (kwa haki) ila Yeye; Yeye ndiye ahuishaye na ndiye afishaye. Basi muaminini Allah na Mtume wake, aliye Nabii Ummy (asiyejua kusoma wala kuandika) ambaye humuamini Allah na maneno yake. Na mfuateni yeye ili mpate kuongoka". (Qur. 7:158)

"Yeye ndiye Allah (Mwenyezi Mungu) ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye tu. Anayeyajua yaliyofichikana na yaliyo dhahiri. Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo".

"Yeye ndiye Allah (Mwenyezi Mungu) ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye tu; Mfalme, Mtakatifu, Mwenye Salama, Mtoaji wa amani, Mwenye kuyaendesha mwenyewe mambo yake, Mwenye shani, Anayefanya analolitaka. Mkubwa, Allah yu mbali na hao wanaomshirikisha naye".

"Yeye ndiye Allah (Mwenyezi Mungu), Muumbaji, Mtengenezaji, Mfanyaji sura (za namna namna za viumbe); Mwenye majina (safi) mazuri. Kinamtukuza kila kilichomo mbinguni na ardhini. Naye ni Mwenye nguvu, Mwenye Hikima". (Qur. 59:22-24).

Pamoja na kujifunua kwake kwa Nabii Muhammad (s.a.w.) kwa jina lake hilo tukufu (la Allah) kama aya hizo juu zinavyojieleza, Mwenyezi Mungu pia hakuishia hapo tu. Lakini aliendelea kujidhihirisha katika aya nyingine nyingi mbalimbali za Qur'an tukufu kuwa Yeye ndiye Mungu yule yule mmoja aliyejifunua kwa Manabii wake wote waliomtangulia Nabii Muhammad (s.a.w.) kama aya ifuatayo (ya Qur'an tukufu) inavyomwambia Nabii Muhammad (s.a.w.) na Waislamu wengine wa umma wake kwa ujumla:

"Amekupeni sheria ya dini ile ile aliyomuusia Nuhu na tuliyokufunulia wewe na tuliyowausia Ibrahimu na Musa na Isa (Yesu), kwamba simamisheni dini wala msifarikiane kwayo...". (42:13).

Kwa ufupi, huo ndio ukweli halisi kuhusu Allah (s.w.). Kwamba ndiye Mungu Muumba wa kila kitu, mwenye sifa zote tukufu na kamilifu, ndiye Mungu yule yule aliyejifunua kwa Nabii Nuhu, Ibrahimu, Musa, Isa (Yesu) na kwa Mitume na Manabii wake wengine wote aliowaleta duniani. (Tazama Qur'an 6:83-87 na kadhalika).

Pamoja na ukweli huo, ni muhimu sasa tukaziangalia sifa hizo kuu za Mwenyezi Mungu wa kweli ambazo ndizo zinazodhihirisha kwa uwazi zaidi kwamba Allah na Yehova ndiye Mungu yule yule mmoja aliyejifunua kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti. Aidha, kwa kuzingatia majina hayo (ya Allah na Yehova) na sifa hizo, tutaona pia kama kweli ndiye Mungu anayeabudiwa na Wakristo?

Kuwepo mwanzo (yaani kuwepo kabla ya yeyote na chochote)

Miongoni mwa sifa kuu zinazomdhihirisha Mungu wa kweli,sifa ya kwanza na ya msingi, ni kuwepo mwanzo, yaani kuwepo kabla ya yeyote na kabla ya chochote. Umuhimu kwa Mungu wa kweli kuwa na sifa hiyo, mbali na kutakasika na sifa sifa dhaifu (isiyomstahiki Mungu) ya kuumbwa au kuzaliwa, unazingatia Yeye kuwa Ndiye Mwanzilishi wa kila kitu (kinachoonekana na kisichoonekana). Kwa mantiki hiyo basi, ni dhahiri kuwa kigezo cha kwanza muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova ni 'mmoja wao' kubainika kuwa hana sifa hiyo azizi.

Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu, hatumuoni yeyote akidai sifa hiyo isipokuwa Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti. Maandiko yafuatayo ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu kwa pamoja yanathitibisha ukweli huu:

Biblia:

"Ni nani aliyetenda na kufanya jambo hilo, aviitaye vizazi tangu mwanzo? Mimi, BWANA, wa kwanza na wa mwisho, mimi ndiye". (Isaya 41:4)

"Ninyi ni mashahidi wangu, asema BWANA, na mtumishi niliyemchagua, mpate kujua, na kuniamini, na kufahamu ya kuwa mimi ndiye, kabla yangu hakuumbwa Mungu awaye yote, wala baada yangu mimi hatakuwepo mwingine". (Isaya 43:10)

Qur'an:

"Kinamtukuza Allah (Mwenyezi Mungu) kila kilichomo mbinguni na ardhini, na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye Hikima. Ufalme wa mbingu na ardhi ni Wake, Anahuisha na Kufisha. Na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila kitu. Yeye ndiye wa Mwanzo na Ndiye wa Mwisho, naye ndiye Dhahiri na wa siri, naye ndiye Mjuzi wa kila kitu". (Qur. 57:1-3)

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona wazi Biblia na Qur'an tukufu vyote vinamkariri Mwenyezi mmoja peke yake akijinadi kuwa ndiye wa mwanzo kuwepo ambapo kama mwenyewe (Mungu) anavyojieleza kwamba hakuna Mungu yoyote aliyemtangulia kuwepo; sembuse mzazi wa kumzaa!

Kwa shuhuda hizo ni wazi kuwa sifa hii pekee inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mungu yule yule aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali lakini kwa majina tofauti.

Uumbaji:

Sifa kuu ya pili ya Mungu wa kweli baada ya sifa yake ya kwanza ya kuwepo kabla ya yeyote na chochote, ni Uumbaji. Kwani kwa kuwa kama tulivyoona hapo juu, Mungu mwenyewe akijieleza kwamba hakuna yeyote, chochote wala Mungu awaye yote aliyemtangulia kuwepo, hapana shaka ni lazima wote na vyote vilivyokuja baadae vitakuwa vimeumbwa na Yeye. Kwa kuzingatia mantiki hiyo na kwa vile hakuna yeyote wala chochote kilichodai au kuweza kudai kwamba kimejiumba chenyewe, ni dhahiri kuwa Yeye (Mungu) ndiye Muumba na vingine vyote ni viumbe vyake.

Kwa mantiki hiyo basi, sifa hii, pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika kuwa "mmoja wao" hana pia sifa hiyo (ya Uuumbaji). Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu tunaona ni Mwenyezi Mungu peke yake ndiye anayedai sifa hiyo. Ukweli huu tunaupata pia katika maandiko yafuatayo ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu:

Biblia:

"BWANA, mkombozi wako, yeye aliyekuumba tumboni, asema hivi; Mimi ni BWANA, nifanyaye vitu vyote, nizitandaye mbingu peke yangu; niienezaye nchi; ni nani aliye pamoja nami?". (Isaya 44:24)

"Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi". (Mwanzo 1:1)

"Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. Mungu akaibariki siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya. Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa". (Mwanzo 2:1-4)

"Umestahili wewe, Bwana wetu na Mungu wetu, kuupokea utukufu na heshima na uwazi kwa kuwa wewe ndiwe uliyeviumba vitu vyote na kwa sababu ya mapenzi yako vilikuwako, navyo vikaumbwa". (Ufunuo wa Yohana 4:11)

Qur'an:

"Na (juu ya hivi) wamemfanyia Allah (Mwenyezi Mungu) majini kuwa washirika wake, hali Yeye ndiye aliyeumba (si majini). Na wanamsingizia (Mwenyezi Mungu) kuwa ana mtoto wa kiume na wa kike. (Wakasema hayo) pasipo kujua. Ameepukana (Mwenyezi Mungu) na upungufu, na yu juu kuliko yale wanayomsifu nayo. Yeye ndiye Mwumba wa mbingu na ardhi. Inamkinikaje awe na mwana hali hana mke. Naye ndiye aliyeumba kila kitu (siyo badhi yake kavizaa). Naye ni mjuzi wa kila kitu. Huyo ndiye Mwenyezi Mungu,Mola wenu, hakuna anayeabudiwa kwa haki ila Yeye, Muumba wa kila kitu. Kwa hivyo mwabuduni Yeye (tu). Naye ni Mlinzi wa kila kitu". (Qur. 6:100-102)

Hapa tunaona wazi shuhuda hizo juu za Qur'an tukufu na Biblia takatifu zinamwonyesha Muumbaji pekee ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti. Kwa shuhuda hizo basi, ni wazi kuwa sifa hii nayo inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mungu yule yule mmoja aliyeumba kila kitu.

Ukuu:

Kwa kuzingatia kuwa Yeye ndiye wa kabla ya yeyote na chochote na ndiye Muumba wa kila kitu, hapana shaka kuwa sifa kuu ya tatu ya Mungu wa kweli ni lazima iwe ni Ukuu. Ambapo tafsiri halisi ya sifa hii tukufu ni kwamba Mwenyezi Mungu amekizidi na kukipindukia kila alichokiumba kwa kila hali. Kwa mantiki hiyo, sifa hii pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova, iwapo tu itabainika kuwa 'mmoja wao' hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu hatumwoni yeyote akidai sifa hiyo zaidi ya Mwenyezi Mungu yule yule mwenye sifa tukufu tulizoziona hapo awali, kama maandiko yafuatayo ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu yanavyodhihirisha ukweli huu:

Biblia:

"Kwa maana BWANA, Mungu wenu, Yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa Mabwana, Mungu Mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea nyuso za watu, wala hakubali rushwa". (Kumbukumbu la Torati 10:17)

"Ee Mungu, njia yako i katika utakatifu; Ni nani aliye Mungu Mkuu kama Mungu?" (Zaburi 77:13).

Qur'an:

"Hivi ni kwa sababu Allah (Mwenyezi Mungu) ni haki (yuko); na wanachokiomba badala yake ni batili (hakiko), (ni uongo tu kwani hapana hata kimoja katika hicho kinachofanya anayofanya Mwenyezi Mungu) ndiye mtukufu (na ndiye) mkubwa". (Qur. 31:30)

"Kwa sababu mlikuwa akitajwa (akiombwa) Allah (Mwenyezi Mungu) peke yake mnakanusha na akishirikishwa mnaamini. Basi hukumu (leo) ni yake (Mwenyewe tu) Allah (Mwenyezi Mungu) alye juu, aliye Mkuu". (Qur. 40:12).

"Hayo ni kwa sababu Allah (Mwenyezi Mungu) yuko; na wale wanaowaabudu badala yake (Mwenyezi Mungu) hawako, na Allah ndiye aliye juu na ndiye Mkubwa". (Qur. 22:62)

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona hapa Biblia na Qur'an tukufu vinafundisha sambamba kwamba sifa ya Ukuu ni ya Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyekuwepo kabla ya yeyote na chochote, Muumbaji wa kila kitu.
Heshima kwako mkuu Gavana. Wewe umefanya kazi nzuri sana ya kutuonesha vile ambavyo mambo yanashabihiana kati ya Biblia na Qurani. Na nimefurahishwa unapotaja wazi kuwa kwa "kwa mujibu wa Qurani" Allah ni jina la Mungu alivyojidhihirisha kwa Mtume Muhammad. Yaani kwa mujibu wa Quran Allah ni Mungu yuleyule aliyeabudiwa na mitume waliotangulia- kuhusu hilo sina shida kabisa.

Msisitizo wangu ni kuwa kama mtu akichagua kuiheshimu Biblia kama Neno la Mungu, atagundua mara moja kwamba Uislamu japokuwa unajaribu kueleza mambo yanayoendana na Biblia(watu na matukio) UNAPINGANA na mafundisho ya msingi ya Biblia. Kila mtu na achunguze maelezo ya Qurani na Biblia kwa ukaribu,atakubaliana nami kuwa yanaeleza vitu kinyume na maelezo ya kitabu kingine. Yaani vitabu vinapingana wala si kupatana.

ILI nieleweke niruhusu nitumie mfano huu. Miaka 100 ijayo ikatokea mtu mathalani nchini Korea akajiita yeye ni Mtume Mkuu Wa Mwisho KABISA. Halafu akadai kuwa Mungu amemtokea na kujitambulisha kwake kama AlMannat. Kisha kwamba ni yuleyule aliyehubiriwa na mitume waliopita-Musa,Daudi,Yesu,Muhammad na sasa kupitia yeye. Halafu mafundisho yake yakakinzana na uislamu- kwa mfano akadai kwamba watu waoe wake saba kila mtu, kwamba swala ni nane kwa Siku, kwamba hija wakafanye Korea, kwamba Muhammad hakuwa mtume mkuu bali mtangulizi wake tu. Anapoulizwa kwa nini anachosema ni tofauti na Qurani aseme Qurani hiyo si sahihi kwani Maswahiba wa Mtume walibadilisha mambo mengi sana. Na kwamba kitabu kipya ni Furqan na inapaswa kisomwe kwa kikorea tu.

Tukichunguza tabia yake tunagundua kwamba ni tofauti na mitume wote waliotangulia- huyo Bwana ni mwuaji, katili,mzinzi, .....na kadhalika, mambo ambayo hasa si tabia za mitume. Niambie #Gavana utakubaliana na maelezo ya huyo 'mtume' mpya ama utabaki na imani yako ya kwanza. Maelezo yake yanashabihiana na Qurani lakini yanapinga vyote vya msingi katika Qurani.

Sasa hii ndio hali tuliyonayo hivi leo. Mtume anajionesha anajenga juu ya msingi wa mitume waliotangulia,lakini kwa sababu anabomoa walichokijenga wenzake naridhika kuwa hatokani na wajenzi wenzake.Maelezo yenu yote ni 'sawa' kwa kuwa yanaendana na Qurani inavyofundisha,lakini si 'sahihi' kwa kuwa yanapingana na Biblia inavyofundisha. Sharti mtu achague maelezo ya kitabu kimoja tu, aliyetolewa kama sadaka alikuwa aidha Ishmaeli ama Isaka- ni kitabu kimoja tu kinaeleza ukweli hapo, na si vyote.
 
Heshima kwako mkuu Gavana. Wewe umefanya kazi nzuri sana ya kutuonesha vile ambavyo mambo yanashabihiana kati ya Biblia na Qurani. Na nimefurahishwa unapotaja wazi kuwa kwa "kwa mujibu wa Qurani" Allah ni jina la Mungu alivyojidhihirisha kwa Mtume Muhammad. Yaani kwa mujibu wa Quran Allah ni Mungu yuleyule aliyeabudiwa na mitume waliotangulia- kuhusu hilo sina shida kabisa.

Msisitizo wangu ni kuwa kama mtu akichagua kuiheshimu Biblia kama Neno la Mungu, atagundua mara moja kwamba Uislamu japokuwa unajaribu kueleza mambo yanayoendana na Biblia(watu na matukio) UNAPINGANA na mafundisho ya msingi ya Biblia. Kila mtu na achunguze maelezo ya Qurani na Biblia kwa ukaribu,atakubaliana nami kuwa yanaeleza vitu kinyume na maelezo ya kitabu kingine. Yaani vitabu vinapingana wala si kupatana.

ILI nieleweke niruhusu nitumie mfano huu. Miaka 100 ijayo ikatokea mtu mathalani nchini Korea akajiita yeye ni Mtume Mkuu Wa Mwisho KABISA. Halafu akadai kuwa Mungu amemtokea na kujitambulisha kwake kama AlMannat. Kisha kwamba ni yuleyule aliyehubiriwa na mitume waliopita-Musa,Daudi,Yesu,Muhammad na sasa kupitia yeye. Halafu mafundisho yake yakakinzana na uislamu- kwa mfano akadai kwamba watu waoe wake saba kila mtu, kwamba swala ni nane kwa Siku, kwamba hija wakafanye Korea, kwamba Muhammad hakuwa mtume mkuu bali mtangulizi wake tu. Anapoulizwa kwa nini anachosema ni tofauti na Qurani aseme Qurani hiyo si sahihi kwani Maswahiba wa Mtume walibadilisha mambo mengi sana. Na kwamba kitabu kipya ni Furqan na inapaswa kisomwe kwa kikorea tu.

Tukichunguza tabia yake tunagundua kwamba ni tofauti na mitume wote waliotangulia- huyo Bwana ni mwuaji, katili,mzinzi, .....na kadhalika, mambo ambayo hasa si tabia za mitume. Niambie #Gavana utakubaliana na maelezo ya huyo 'mtume' mpya ama utabaki na imani yako ya kwanza. Maelezo yake yanashabihiana na Qurani lakini yanapinga vyote vya msingi katika Qurani.

Sasa hii ndio hali tuliyonayo hivi leo. Mtume anajionesha anajenga juu ya msingi wa mitume waliotangulia,lakini kwa sababu anabomoa walichokijenga wenzake naridhika kuwa hatokani na wajenzi wenzake.Maelezo yenu yote ni 'sawa' kwa kuwa yanaendana na Qurani inavyofundisha,lakini si 'sahihi' kwa kuwa yanapingana na Biblia inavyofundisha. Sharti mtu achague maelezo ya kitabu kimoja tu, aliyetolewa kama sadaka alikuwa aidha Ishmaeli ama Isaka- ni kitabu kimoja tu kinaeleza ukweli hapo, na si vyote.


Shukrani kwa mfano, lakini bahati mbaya huo mfano uliotoa umeutoa kichwani mwako . Mimi nakuletea mifano kutoka hivyo vitabu viwili na baadaye nitakuletea hayo mambo yaliokinzana yameanza vipi kwa mujibu wa hivyo vitabu viwili ,endelea kunisoma taratibu

Nikiendeleana mada yangu,

  • Sifa kuu nyingine zazidi kudhihirisha ukweli wa majina ya Allaha na Yehova
  • Na je, zazidi kudhihirisha Yehova kuwa ndiye Mungu wa Wakristo?
sifa kuu nyingine zaidi zinazodhihirisha kwa uwazi zaidi ukweli kuhusu majina ya Allah na Yehova, kwamba ni majina yanayomhusu Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejitambulisha au kujifunua kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti.
Hapa utapata kuona kama kweli Yehova ndiye Mungu wa Wakristo?


Uweza (Hashindwi na chochote)

Kwa kuzingatia ukubwa wa uzito wa kazi ngumu ya kuumba na kuendesha kwake ulimwengu na vyote vilivyomo ndani yake, na pia kufanya kwake mambo mengi ya ajabu yaliyo nje ya upeo wa ufahamu, maarifa na ujuzi wa viumbe vyote, hapana shaka sifa kuu ya nne ya Mungu wa kweli ni lazima iwe ni Uweza wa kila kitu.

Kwa mantiki hiyo, sifa hii pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika kuwa mmoja wao hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu tunaona mwenye sifa hiyo ni Mwenyezi Mungu mmoja peke yake. Ukweli huu tunaupata katika maandiko yafuatayo ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu:

Biblia

"Yeye Mwenyezi Mungu hatuwezi kumwona; Yeye ni mkuu mwenye uweza". (Ayubu 37:23)

"Wewe ndiwe Mungu ufanyaye maajabu; Uliudhihirisha uweza wako kati ya mataifa". (Zaburi 77:14)

Qur'an

"Kinamtukuza Allah (Mwenyezi Mungu) kila kilichomo mbinguni na ardhini, na Yeye ndiye Mwenye nguvu, Mwenye hikima. Ufalme wa mbingu na ardhi ni Wake, Anahuisha na Kufisha. Na Yeye ni mwenye uweza juu ya kila kitu". (Qur. 57:1-2)

"Na mali aliyoleta Allah (Mwenyezi Mungu) kwa Mtume wake kutoka kwao hamkuyaendeshea mbio farasi wala ngamia (hamkuyataabikia), lakini Allah (Mwenyezi Mungu) huwapa mamlaka Mitume yake juu ya wowote awatakao (kama alivyokupeni hivi); na Allah (Mwenyezi Mungu) ni mwenye uweza juu ya kila kitu". (Qur. 59:6).

Kulingana na shuhuda hizo, tunaona hapa kuwa Qur'an na Biblia vinafundisha kwamba sifa ya uweza ni ya Mwenyezi Mungu mmoja aliyejifunua kwa Manabii wake mbalimbali lakini kwa majina tofauti. Kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa sifa hii pia inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mungu yule yule mmoja aliyejifunua kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti.

Kutokufanana na yeyote wala na chochote

Kwa kuzingatia udhaifu mkubwa uliopo kwa viumbe vyake kwa kila hali, sifa kuu ya tano inayomdhihirisha Mungu wa kweli, ni kutokufanana na kiumbe wake yeyote wala chochote. Kwa mantiki hiyo basi, sifa hii pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu tunaona ni Mwenyezi Mungu mmoja ndiye anayedai kuwa na sifa hiyo, kama aya za Qur'an tukufu na Biblia takatifu zinavyoeleza wazi hapa chini:

Biblia:

"BWANA akamwambia Musa, Ondoka asubuhi na mapema, ukasimame mbele ya Farao, umwambie, BWANA, Mungu wa Waebrania, asema, Wape watu wangu ruhusa waende ili wanitumikie. Kwani wakati huu nitaleta mapigo yangu yote juu ya moyo wako, na juu ya watumishi wako, na juu ya watu wako; ili upate kujua ya kuwa hapana mmoja mfano wa mimi ulimwenguni mwote". (Kutoka 9:13-14)

"Hapana aliyefanana na Mungu, Ee Yeshuruni, ajaye amepanda juu ya mbingu ili akusaidie". (Kumbukumbu la Torati 33:26).

"Mungu si mtu; aseme uongo; wala si mwanadamu, ajute". (Hesabu 23:19)

"Mtanifanisha na nani, na kunisawazisha naye, na kunilinganisha naye, ili tuwe sawa sawa?" (Isaya 46:5)

Qur'an

"Sema: Yeye Allah ni Mwenyezi Mungu mmoja (tu). Allah (tu) ndiye anayestahiki kukusudiwa (na viumbe vyake vyote kwa kumuabudu na kumuomba na kumtegemea). Hakuzaa wala hakuzaliwa. Wala hana anayefanana naye hata mmoja". (Qur. 112:1-4)

"(Yeye Allah ndiye) Muumba wa mbingu na ardhi. Amekuumbieni wake (zenu) katika jinsi yenu; na wanyama nao (akawaumbia) wake (zao katika jinsi moja na wao); anakuzidisheni kwa namna hii (ya kuchanganyika dume na jike). Hakuna chochote mfano wake; naye ni mwenye kusikia, mwenye kuona". (Qur. 42:11)

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona hapa Biblia na Qur'an tukufu vyote vinamkariri Mwenyezi Mungu yule yule mmoja akibainisha wazi kuwa hafanani na yeyote wala na chochote katika viumbe wake wote ulimwenguni. Kwa shuhuda hizo basi, ni wazi kuwa sifa hii nayo, pia inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mungu yule yule mmoja mwenye sifa zote kamilifu, Muumba wa kila kitu.

Kutokuonekana

Kwa kuzingatia kuwa hana mfano wa kiumbe wake yoyote wala chochote,sifa kuu ya sita inayomdhihirisha Mungu wa kweli ni kutokuonekana na viumbe vyake hasa kwa vile binafsi yake (Mungu) hana umbo la kuonekana kutokana na Yeye kuepukana mbali na sifa dhaifu ya kuumbwa au kuzaliwa. Kwa mantiki hiyo, sifa hii pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika kuwa mmoja wao hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu tunaona pia kuwa ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja ndiye mwenye sifa hiyo. Ukweli huu unathibitishwa na maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu yafuatayo:

Biblia:

"Yeye Mwenyezi hatuwezi kumwona; Yeye ni mkuu mwenye uweza; tena mwenye hukumu, na mwingi wa haki, hataonea". (Ayubu 37:23)

"BWANA akamwambia Musa, Nitafanya na neno hili ulilolinena, kwa maana umepata neema mbele zangu, nami nakujua jina lako. Akasema, Nakusihi unionyeshe utukufu wako. Akasema, Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza jina la BWANA mbele yako; nami nitamfadhili yeye nitakayemfadhili, nitamrehemu yeye nitakayemrehemu. Kisha akasema, Huwezi kuniona uso wangu, maana mwanadamu hataniona akaishi". (Kutoka 33:17-20)

"Na sasa, Ee Israeli... BWANA akasema nanyi kutoka kati ya moto; mkasikia sauti ya maneno, lakini hamkuona umbo lolote, sauti tu". (Kumbukumbu la Torati 4:12)

"Jihadharini nafsi zenu basi; maana hamkuona umbo la namna yoyote siku ile BWANA aliyosema nanyi kutoka kati ya moto; msije mkajiharibu nafsi zenu, mkajifanyia sanamu ya kuchonga, mfano wa sura yoyote, mfano wa mwanamume au mwanamke". (Kumbukumbu la Torati 4:15-16)

Qur'an:

"Huyo ndiye Allah (Mwenyezi Mungu), Mola wenu Hakuna anayeabudiwa kwa haki ila yeye, Mwumba wa kila kitu. Kwa hivyo, mwabuduni yeye (tu). Naye ni mlinzi wa kila kitu. Macho hayamfikii (kumwona), bali yeye anayafikia macho (kuyaona na kuwaona hao wenye macho). Naye ni mwenye kujua yaliyofichikana na yaliyo dhahiri". (Qur. 6:102-103)

Kulingana na shuhuda hizo, tunaona hapa kuwa Qur'an tukufu na Biblia takatifu vyote vinatufundisha pamoja kuwa sifa hiyo ya kutokuonekana na yoyote wala na chochote ni ya Mwenyezi Mungu yule yule mmoja hasa kwa vile yeye hana umbo la kuweza kuonekana. Aidha sababu nyingine ya kutokuonekana kwake kama maandiko yanavyoonyesha, inatokana na uwezo dhaifu wa mwanadamu wa kuweza kuhimili katika kumwona Mwenyezi Mungu mtukufu. Kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa sifa hii pia inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mungu yule yule mmoja asiyefanana na yeyote wala na chochote, Muumba wa kila kinachoonekana na kisichoonekana.

Upweke (hana mshirika)

Kwa kuzingatia Yeye ndiye aliyekuwepo kabla ya yeyote na kabla ya chochote na yeye ndiye mwanzilishi (Muumbaji) na mwendeshaji wa kila kitu na kwa kuzingatia pia udhaifu mkubwa uliopo kwa viumbe vyake katika kila hali, hapana shaka yoyote sifa kuu nyingine ya Mungu wa kweli ni upweke (yaani kutokuwa na mshirika katika Uungu wake). Kwa mantiki hiyo, sifa hii pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika kuwa mmoja wao hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu tunaona mwenye sifa hiyo ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti. Ukweli huu tunaupata katika maandiko yafuatayo ya Qur'an tukufu na Biblia takatifu:

Biblia:

"BWANA, Mfalme wa Israeli, Mkombozi wako, BWANA wa Majeshi, asema hivi; Mimi ni wa kwanza, na mimi ni wa mwisho; zaidi yangu mimi hapana Mungu. Naye ni nani kama mimi atakayeita, na kuyahuburi haya, na kunitengenezea, tangu nilipowaweka watu wa kale? na mambo yanayokuja, na yatakayotokea, wayatangaze. Msiogope wala msifanye hofu, Je! Sikukuhubiri haya zamani na kuyaonyesha? Na ninyi ni mashahidi wangu. Je yuko Mungu zaidi yangu mimi? Hakika hapana Mwamba; mimi sijui mwingine". (Isaya 44:6-8)

"Hubirini, toeni habari, naam, na wafanye mashauri pamoja, na nani aliyeonyesha haya tangu zamani za kale? Ni nani aliyehubiri hapo zamani? Si mimi, BWANA? Wala hapana Mungu zaidi ya mimi; Mungu mwenye haki, mwokozi, hapana mwingine zaidi ya mimi". (Isaya 45:21)

"Ninyi ni mashahidi wangu, asema BWANA, na mtumishi niliyemchagua, mpate kujua, na kuniamini na kufahamu ya kuwa mimi ndiye; kabla yangu hakuumbwa Mungu awaye yote,wala baada yangu mimi hatakuwapo mwingine". (Isaya 43:10)

"Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma". (Yohana 17:3)

Qur'an:

"Sema: Hakika sala zangu, na ibada zangu (zote nyingine) na uzima wangu, na kufa kwangu (zote) ni kwa Allah (Mwenyezi Mungu). Muumba wa walimwengu wote. (Likinisibu jambo limenisibu kwa kutaka Mwenyezi Mungu si kwa kutaka viumbe vyake. Na yote ninayoyafanya nayafanya kwa ajili yake".

"Hana mshirika wake. Na haya ndiyo niliyoamrishwa, na mimi ni wa kwanza wa waliojisalimisha (kwa Mwenyezi Mungu)". (Qur. 6:162-163)

"Allah (Mwenyezi Mungu) hakujipatishia mtoto wala hakuwa pamoja naye Mungu (mwingine). Ingekuwa hivyo basi kila Mungu angaliwachukua aliowaumba; na baadhi yao wangaliwashinda wengine (kwani lazima wangepigana kwani fahali wawili hawakai zizi moja). Allah (Mwenyezi Mungu) ameepukana na sifa wanazomsifu (nazo, zisizokuwa ndizo). Mjuzi wa siri na dhahiri na Ametukuka na hao wanaomshirikisha naye". (Qur. 23:91-92)

"Sema: Yeye Allah (Mwenyezi Mungu) ni mmoja tu". (Qur. 112:1)

Kulingana na shuhuda hizo juu, ni wazi kuwa Qur'an tukufu na Biblia takatifu vyote kwa pamoja vinamkariri Mwenyezi Mungu yule yule mmoja akijinadi kuwa yeye ni mmoja wa pekee, asiyekuwa na mshirika yoyote katika Uungu wake tangu milele na hata milele. Kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa sifa hii pia inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mungu yule yule mmoja aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti.
 

  • 0.5nic



Kama tulivyoona kabla, endelea kufuatana nami , uzidi kuona kwa uwazi zaidi kwamba Mungu yule aliyejifunua kwa Nabii wake wa mwisho, Mtume Muhammad (s.a.w.) kwa jina lake kuu la Allah, ndiye Mungu yule yule aliyejitambulisha kwa mara ya kwanza kwa Nabii Musa (a.s.) kwa jina la Yehova; na ndiye Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismail, Isaka, Yakobo na Mitume na Manabii wake (Mungu) wengine wote aliojitambulisha au kujifunua kwao (a.s.) kwa majina tofauti.

Na pia upate kuona kama kweli Yehova ndiye Mungu wa Wakristo na amezaa mtoto?


Kutokuwa na nafsi zaidi ya moja

Kwa kuzingatia kuwa yeye ni Mmoja tu katika Uungu wake, ni dhahiri kuwa sifa kuu ya nane ya Mungu wa kweli ni kuwa Yeye ni Nafsi moja tu wa pekee asiyekuwa na mshirika na yeyote wala na chochote katika Uungu wake, sifa zake na katika kila hali yake kwa ujumla.

Kwa mantiki hiyo basi, ni wazi kuwa sifa hii nayo pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika mmoja wao hana sifa hiyo.

Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu tunaona vyote vinamuelezea Mwenyezi Mungu yule yule Mmoja aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbali mbali kwa majina tofauti akionyesha kuwa yeye ni Nafsi moja tu. Ukweli huu tunaupata katika maandiko yafuatayo ya Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu:

Biblia:

"Hubirini, toeni habari; naam, nawafanye mashauri pamoja; ni nani aliyeonyesha haya tangu zamani za kale? Ni nani aliyeyahubiri hapo zamani? Si mimi, BWANA? wala hapana Mungu zaidi ya mimi; Mungu mwenye haki, mwokozi; hapana mwingine zaidi ya mimi. Niangalieni mimi, mkaokolewe, enyi ncha zote za dunia; maana mimi ni Mungu; hapana mwingine. Kwa nafsi yangu nimeapa, neno hili limetoka kinywani mwangu katika haki, wala halitarudi, ya kwamba mbele zangu kila goti litapigwa, kila ulimi utaapa". (Isaya 45:21-23).

"Lakini kama hamtaki kusikia maneno haya, mimi naapa kwa nafsi yangu, asema BWANA, ya kuwa nyumba hii itakuwa ukiwa". (Yeremia 22:5).

"Kwa ajili ya nafsi yangu, kwa ajili ya nafsi yangu, nitatenda haya; Je! litiwe unajisi jina langu? wala sitampa mwingine utukufu wangu". (Isaya 48:11).

Qur'ani:

"Na (kumbukeni) Allah (Mwenyezi Mungu) atakaposema: Ewe Isa bin Maryam! Je, wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa waungu badala ya Mwenyezi Mungu? Aseme (Nabii Isa): Wewe umetakasika na kuwa na mshirika. Hainijuzii mimi kusema ambayo si haki yangu (kuyasema, kwa kuwa ni ya uongo). Kama ningalisema bila shaka ungalijua; unayajua yaliyomo nafsini mwangu, lakini mimi siyajui yaliyo nafsini mwako; hakika wewe ndiye ujuaye mambo ya ghaibu." (Qur'an, 5:116).

"Na Mungu wenu ni Mungu mmoja tu, hakuna anayestahiki kuabduiwa ila Yeye ambaye ni Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo; (zote mneemeshaji ni Yeye. (Qur'ani, 2:163).

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona wazi kuwa Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu vyote kwa pamoja vinafundisha kuwa Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejifunua kwa manabii wake mbali mbali kwa majina tofauti anajinadi kwa nafsi moja tu. kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa sifa hii nayo inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja asiyekuwa na mshirika katika Uungu wake, Muumba wa kila kitu.

Kutobadilika - Badilika

Kwa kuzingatia udhaifu mkubwa wa sifa ya kubadilika-badilika inayowakabili viumbe vyake vyote katika kila hali, ni dhahiri kuwa sifa kuu nyingine ya Mungu wa kweli ni lazima iwe ni kutobadilika badilika hasa ukizingatia pia yeye (Mungu) hafanani na yeyote wala na chochote katika viumbe wake katika kila hali. Kwa mantiki hiyo basi, ni wazi kuwa sifa hii nayo pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika mmoja wao hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu tunaona vitabu vyote hivyo vinafundisha kwamba mwenye sifa hiyo ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbali mbali hadi kwa Nabii wake wa mwisho, Mtume Muhammad (s.a.w.) kwa majina tofauti. Maandiko yafuatayo ya Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu yanathibtisha ukweli huu:

Biblia:

"Nitasema, Ee Mungu wangu, usiniondoe katikati ya siku zangu; Miaka yako ni tangu kizazi hata kizazi. Hapo mwanzo uliutia msingi wa nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako. Hizi zitaharibika, bali Wewe utadumu; Naam, hizi zitachakaa kama nguo; na kama mavazi utazibadilisha, Nazo zitabadilika. Lakini Wewe U Yeye yule; Na miaka yako haitokoma". (Zaburi 102:24-27).

"Kwa kuwa mimi, BWANA, sina kiguegueu' ndio maana ninyi hamkuangamizwa, enyi wana wa Yakobo". (MALAKI 3:6).

"Kila kutoa kuliko kwema, na kila kitolewacho kilicho kamili, hutoka juu, hushuka kwa Baba wa mianga; kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeuka-geuka". (Yakobo 1:17).

Qur'an:

"Hii ni kawaida ya Allah (Mwenyezi Mungu) iliyokuwa kwa wale waliopita zamani; wala hutapata mabadiliko katika kawaida ya Allah (Mwenyezi Mungu)" (Qur'ani 33:62).

"Ndiyo desturi ya wale tuliowatuma (tuliowapa Utume) kabla yako katika Mitume wetu. Wala hutapata mabadiliko katika desturi Yetu". (Qur'ani, 17:77).

"Hiyo ndiyo kawaida ya Allah (Mwenyezi Mungu) iliyotangulia zamani; wala hutapata mabadiliko katika kawaida ya Allah (Mwenyezi Mungu): (Qur'ani, 48:23).

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona Qur'an Tukufu na Biblia Takatifu vyote kwa pamoja vinamuelezea Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejifuma kwa Manabii wake mbali mbali kwa majina tofauti kwamba si desturi yake (hana sifa ya) ya kubadlika-badilika. Kwa shuhuda hizo basi, ni wazi kuwa sifa hii nayo pia inadhihirisha kuwa Yehova na Allah ni Mweyezi Mungu yule yule mmoja aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbali mbali hadi Nabii wake wa mwisho, Mtume Muhammad (s.a.w.) kwa majina tofauti.

Kutokuchoka

Kwa kuzingatia udhaifu mkubwa uliomo katika sifa dhaifu ya kuchoka ambayo pia inawakabili viumbe vyake na kwa kuzingatia kuwa yeye hana mfano wa yeyote wala na chochote katika kila hali, ni wazi kuwa siifa kuu nyingine ya Mungu wa kweli ni kutokuchoka (Yaani Mwenyezi Mungu daima ameepukana mbali na sifa ya kuchoka). Kwa mantiki hiyo basi, ni wazi kuwa sifa hii nayo pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika 'mmoja wao' hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'ani Tukufu na Biblia takatifu tunaona vyote kwa pamoja vimuelezea Mweyezi Mungu yule yule mmoja aliyejitambulisha kwa Manabii wake mbali mbali kwa majina tofauti kwamba ndiye mwenye sifa hiyo. Uthibtisho wa hilo tunaupata katika maandikio yafuatayo ya Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu:

Biblia:

"Je! wewe hukujua? hukuskia? Yeye Mungu wa milele, Bwana Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki". (Isaya 40:28).

"Na tumeziumba mbingu na ardhi na vilivyomo kati yao katika nyakati sita, wala hayakutugusa machofu" (Qur;an 50:38).

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona wazi kuwa Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu vyote kwa pamoja vinafundisha kuwa Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejifunua kwa Manabii wake mbali mbali kwa majina tofauti ndiye pekee asiyekuwa na sifa hiyo dhaifu ya kuchoka. Kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa sifa hii nayo pia inadhihirisha kuwa Allah na Yehova ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja, Muumbaji wa kila kinachoonekana na kisichoonekana, mwenye sifa kamilifu.

Kutokufa (Yu Daima)

Kwa kuzingatia kuwa yeye hafanani na kiumbe wake yeyote wala chochote katika kila hali, ni dhahiri kuwa sifa kuu nyingine ya msingi ya Mungu wa kweli ni lazima iwe kutokufa, hasa kwa kuzingatia kuwa yeye pekee yake ndiye anayetegemewa na viumbe wake wote kwa kila haja, kwa vile yeye peke yake ndiye Mwendeshaji wa mambo yote katika kila sekunde.

Hakuna yeyote wala chochote kinachoweza kuendesha ulimwengu na kukidhi haja zote za viumbe wote katika muda wote ambao Mungu angekufa. Kwa mantiki hiyo basi, ni wazi kuwa sifa hii nayo pia ni kigezo muhimu na cha msingi kimachoweza, kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo tu itabainika 'mmoja wao' hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu tunaona vyote vinafundisha kwamba mwenye sifa hiyo (ya kutokufa) ni Mwenyezi Mungu peke yake aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbali mbali kwa majina tofauti. Maandiko yafuatayo ya Qur'ani Tukufu na Biblia Takatifu yanathibitisha ukweli huu:

Biblia:

"Nitasema, Ee Mungu wangu, usiniondoe katikati ya siku zangu; Miaka yako nitangu kizazi hata kizazi. hapo mwanzo uliutia msingi wa nchi, Na mbingu ni kazi ya mikono yako. Hizi zitaharibika, bali Wewe utadumu; Naam, hizi zitachakaa kama nguo; Na kama mavazi utazibadilisha, Nazo zitabadilika. Lakini Wewe U yeye yule; Na miaka yako haitakoma". (Zaburi 102:24-27).

"Mungu akamwambia Musa, MIMI NIKO AMBAYE NIKO; akasema ndivyo utakavyowaambia wana wa Isreili; MIMI NIKO amenituma kwenu" (Kutoka 3:14).

"Ambaye yeye peke yake hapatikani na mauti, amekaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa; wala hakuna mwanadamu aliyemwona, wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye hata milele. Amina". (1 Timotheo 6:16).

Qur'an:

"Wala usimuombe - pamoja na Allah (Mwenyezi Mungu) - Mungu mwingine; hakuna aabudiwaye kwa haki ila Yeye; kila kitu kitakufa isipokuwa yeye (Mwenyezi Mungu basi). Hukumu (Yahova mambo yote) iko kwake, na kwake mtarejezwa (nyote)". (Qur'ani 28:88).

Aidha, kwa sifa yake ya kutokuonekana ni wazi kuwa hakuna yeyote wala chochote (na chenye uwezo wa) kumwua.

"Allah (Mwenyezi Mungu) hakuna Mola ila yeye, (na) ndiye mwenye uhai wa maisha, Msimamia kila jambo..." (Qur'an, 2:255).

Kulingana na shuhdua hizo juu, tunaona wazi kuwa Qur'an Tukufu na Biblia Takatifu vyote kwa pamoja vinafundisha kwamba Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbali mbali kwa majina tofauti ndiye peke yake mwenye uhai wa milele (yu daima) - hafi-na kwa ujumla yeye peke yake ndiye mwenye sifa ya kutokufa. Kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa sifa hii nayo pia inadhihirisha wazi kuwa Allah anayefundishwa na Qur'ani Tukufu ndiye Yehova anayefundishwa na Biblia Takatifu kwa majina tofauti.

Ukweli huu tunaupata katika Qur'an, Torati, Zaburi, Injili
 
0.5nic

Tumeona kupitia Qur’an tukufu na Biblia takatifu jinsi Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti akiikana vikali sifa pungufu ya kutanguliwa na yeyote wala chochote; na kufundisha kwamba Yeye (Mungu) ndiye wa Mwanzo kuwepo na yuko peke yake.

Kwa mafundisho yake hayo; ikadhihirika kuwa Mungu huyo ambaye ndiye Mungu wa kweli, daima hana Mungu wa kumwabudu, hana baba, hana mama, hana mtoto, hana familia, hana mke kwa hiyo hajazaa mtoto. Kwa ujumla, ikadhihirika kwamba ni yeye na peke yake ndiye aliyeepukana mbali kabisa na sifa dhaifu na pungufu ya kuzaa na kuzaliwa.

Aidha, tumeona kwa uchache kwamba mafundisho ya kudai kwamba Mungu ana mke na amezaaa mtoto huko mbinguni siyo mafundisho ya Torati, Zaburi, Injilii wala Manabii, bali ni mafundisho ya Wakristo ambao Mwenyezi Mungu pamoja na kukana vikali jambo hilo (la kuwa na mke na kuzaa mtoto) kama tulivyoona katika Qur’an na Biblia, alifika kuwakemea vikali kwa kufuru yao hiyo katika Qur’an tukufu.

Endelea kufuatana nami kuelekea kilele cha mfululizo wa baadhi ya sifa kuu muhimu anazotakiwa kuwa nazo Mungu wa kweli kisha punde uone kama kweli Yehova ndiye Mungu anayeabudiwa na Wakristo?


Kuokoa (Mwokozi)

KWA kuzingatia kuwa Yeye peke yake ndiye Muweza wa kila kitu, hapana shaka sifa nyingine muhimu na ya msingi ya Mungu wa kweli ni lazima iwe ni kuokoa (mwokozi). Umuhimu kwa Mungu kuwa na sifa hiyo unatokana na udhaifu mkubwa unaowakabili viumbe wake katika kila hali na katika kila sekunde ya uhai wao, kwa kushindwa kujinusuru au kujinasua katika madimbwi mbalimbali ya matatizo katika maisha yao ya kila siku.

Aidha, udhaifu mwingine ambao ndio mkubwa zaidi kwa viumbe hao, ni ule wa kushindwa kupata kutoka kwa viumbe wengine mwelekeo mzuri na sahihi utakaowawezesha kuepukana mbali kabisa na mateso ya hapa duniani na adhabu kali iumizayo huko kesho akhera (Kiama).

Kwa hiyo, ndio ikawa ni muhimu na lazima awepo Mwokozi mahiri, mwenye nguvu na mwenye uwezo wa kupindukia atakayewasaidia viumbe wake kwa njia mbalimbali wavuke matatizo hayo kwa salama, waishi hapa duniani kwa furaha na amani na kesho akhera awapokee na kuwaweka mahali pema peponi.

Kwa mantiki hiyo, sifa hii (ya kuokoa) nayo pia ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo itabainika mmoja wao hana sifa hiyo. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur’an tukufu na Biblia takatifu tunaona mwenye sifa hiyo ni Mungu yule yule mmoja aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali hadi kwa Nabii wake wa mwisho, Mtume Muhammad (s.a.w.) kwa majina tofauti. Ukweli huu tunaupata katika maandiko ya Qur’an tukufu na Biblia takatifu yafuatayo:

Biblia:

"Mimi, naam, mimi, ni BWANA, zaidi yangu mimi hapana mwokozi. Nimetangaza habari, nimeokoa, nimeonyesha, na hapakuwa Mungu wa kigeni kati yenu, kwa sababu hiyo ninyi ni mashihidi wangu, asema BWANA, mimi ni Mungu". (Isaya 43:11-12)

"Mungu kwetu sisi ni Mungu wa kuokoa’ Na njia za kutoka mautini zina YEHOVA Bwana". (Zaburi 68:20)

Qur’an:

"Na shikamaneni kwa kamba (dini) ya Allah (Mwenyezi Mungu) nyote, wala msiachane. Na kumbukeni neema ya Allah (Mwenyezi Mungu) iliyojuu yenu. (Zamani) mlikuwa maadui, naye akaziunganisha nyoyo zenu; hivyo, kwa neema yake, mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la moto (wa Jahannam), naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Allah (Mwenyezi Mungu) anakubainishieni aya zake ili mpate kuongoka". (Qur. 3:103)

"Na (mtaje) Dhun-Nun (Yunus-Yona) alipoondoka hali amechukiwa, na akadhani ya kwamba hatutamdhikisha. Basi (alipozongwa) aliita katika giza (akasema): Hakuna aabudiwaye isipokuwa wewe, Mtakatifu, hakika mimi, nilikuwa miongoni mwa wenye kudhulumu (nafsi zao). Basi tukampokelea na tukamuokoa katika huzuni ile. Na namna hivyo ndivyo tuwaokoavyo walioamini". (Qur. 21:87-88)

"Na kwa hakika twafanyia ihsani Musa na Haruni. Na tukawaokoa wao na watu wao katika taabu kubwa". (Qur. 37:114-115)

Na kwa yakini Nuhu alitwita (tumnusuru); tukamwitikia kwa vizuri kabisa). Basi waitikiaji wema tulioje sisi! Na tulimuokoa yeye na watu wake katika msiba mkubwa (wa tufani lililogharikisha kila kitu)". (Qur. 37:75-76)

"Kisha kwa yakini tutawatoa, katika kila taifa, wale miongoni mwao waliomuasi zaidi (Allah) Mwingi wa rehema. Tena hakika sisi tunawafahamu sana wanaostahili (wanaostahiki) zaidi kuunguzwa humo. Wala hakuna yeyote katika nyinyi ila ni mwenye kuifikia (hiyo Jahannamu). Ni wajibu wa Mola wako uliokwishahukumiwa. Kisha tutawaokoa wale wamchao Mungu; na tutawaacha madhalimu humo wamepiga magoti". (Qur. 19:69-72)

Kulingana na shuhuda hizo juu za Qur’an tukufu na Biblia takatifu, tunaona kuwa ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti ndiye anayejitangaza kuwa yeye peke yake ndiye mwenye sifa tukufu ya kuokoa (mwokozi). Kwa shuhuda hizo, ni wazi kuwa sifa hii nayo pia inadhihirisha wazi kuwa Allah anayetajwa na Qur’an tukufu ndiye yule yule Yehova, BWANA, Mwenyezi, Baba mtakatifu anayefundishwa na Biblia takatifu.

Kujua (mjuzi wa) kila kitu

Kwa kuzingatia kuwa Yeye ndiye Muumba wa kila kinachoonekana na kisichoonekana, hapana shaka kuwa sifa kuu nyingine na ya msingi ya Mungu wa kweli ni lazima iwe ni kujua kila kitu. Ni Mwenyezi Mungu peke yake ndiye mjuzi wa kila kinachoonekana na kila kisichoonekana katika kila hali.

Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa sifa hii nayo ni kigezo kingine muhimu na cha msingi kinachoweza kuwa hoja ya msingi yakutofautisha Allah na Yehova, iwapo tu itabainika kuwa mmoja wao hana sifa hiyo tukufu. Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur’an tukufu na Biblia takatifu, yote kwa pamoja yanafundisha kwamba mwenye sifa hiyo (ya kujua kila kitu) ni Mungu yule yule mmoja aliyejifunua au kujitambulisha kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti. Maandiko yafuatayo ya Qur’an na Biblia yanaweka bayana ukweli huu:

Biblia:

"Ee BWANA, umenichunguza na kunijua. Wewe wajua kuketi kwangu na kuondoka kwangu, Umelifahamu wazo langu tokea mbali. Umepepeta kwenda kwangu na kulala kwangu, Umeelewa na njia zangu zote. Maana hamna neno ulimini kwangu usilojua kabisa, BWANA. Umenizingira nyuma na mbele, ukaniwekea mkono wako. Maarifa hayo ni ya ajabu, yananishinda mimi, hayadirikiki, siwezi kuyafikia. Niende wapi nijiepushe na roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako? Kama ningepanda mbinguni, Wewe uko; Ningefanya kuzimu kitanda changu, Wewe uko. Ningezitwaa mbawa za asubuhi, Na kukaa pande za mwisho za bahari, Huko nako mkono wako Utaniongoza, Na mkono wako wa kuume utanishika. Kama nikisema, Hakika giza litanifunika, Na nuru inizungukayo ingekuwa usiku; Giza nalo halikufichi kitu". (Zaburi 139:1-12)

"Walakini habari ya siku ile na saa ile hakuna aijuaye, hata malaika walio mbinguni, wala Mwana, ila Baba Peke Yake". (Mathayo 24:36)

"Macho ya BWANA yako kila mahali; Yakimchunguza mbaya na mmema". (Mithali 15:3)

"Kwani macho yake ya juu ya njia za mtu, Naye huiona miendo yake yote. Hapana weusi, wala hilo giza tupu, Wawezapo kujificha watendao udhalimu". (Ayubu 34:21-22)

Qur’an:

"Sema: Oh! Mnamjulisha Allah (Mwenyezi Mungu) dini yenu (kwa uongo)! Na hali Allah (Mwenyezi Mungu anayajua yaliyomo mbinguni na ardhini, Allah (Mwenyezi Mungu) ni Mjuzi wa kila kitu"(Qur. 49:16)

"Je! Huoni kwamba Allah (Mwenyezi Mungu) anajua vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini? Haupatikani mmong’ono wa watu watatu ila yeye huwa ni wanne wao, wala wa wachache kuliko hao wala zaidi ila yeye huwa pamoja nao (kwa ujuzi wake), popote walipo; kisha siku ya kiama atawaambia waliyoyatenda. Hakika Allah (Mwenyezi Mungu) ni Mjuzi wa kila kitu". (Qur. 58:7)

"Yeye ndiye Allah (Mwenyezi Mungu) ambaye hakuna aabudiwaye kwa haki isipokuwa Yeye tu. Anayeyajua yaliyofichikana na yaliyo dhahiri. Mwenye kuneemesha neema kubwa kubwa na Mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo". (Qur. 59:22)

"Na hakika Mola wako atawapa hao wote malipo ya vitendo vyao sawa sawa. Bila shaka Yeye anazo khabari za (yote) wanayoyatenda". (Qur. 11:111)

Kulingana na shuhuda hizo juu za Qur’an tukufu na Biblia takatifu, tunaona wazi kuwa mwenye sifa hiyo (ya kujua kila kitu) ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja anayetajwa na Qur’an tukufu kwa jina lake kuu la Allah na ambaye amefundishwa na Biblia kwa majina ya Yehova, Mwenyezi, BWANA, YAHU, na Baba Mtakatifu.

Utakatifu

Kwa kuzingatia Yeye ameepukana mbali na udhaifu na upungufu wa kila namna hasa kwa vile hafanani na yeyote katika viumbe wake, hapana shaka Mungu wa kweli ni lazima awe na sifa ya Utakatifu.

Yeye daima ni Mtakatifu aliyetakasika na kila sifa ya upungufu na udhaifu. Yeye (Mungu) hali, hanywi, haendi choo, hasinzii, halali, hazai, hazaliwi, hafi, hasahau, hakosei, hashindwi na kadhalika. Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa sifa hii nayo ni kigezo kingine muhimu kinachoweza kuwa hoja ya msingi ya kutofautisha Allah na Yehova iwapo itabainika mmoja wao hana sifa hiyo tukufu.

Hata hivyo, tusomapo maandiko ya Qur’an tukufu na Biblia takatifu hatumuoni mwingine mwenye sifa hiyo isipokuwa Mwenyezi Mungu peke yake aliyejifunua kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti.

Maandiko yafuatayo yanaweka bayana ukweli huu:

Biblia:

"Mtukuzeni BWANA, Mungu wetu; Sujuduni mkiukabili mlima wake mtakatifu; Maana BWANA, Mungu wetu, ndiye Mtakatifu". (Zaburi 99:9)

"Tena, mtu mkubwa mmoja alimwuliza, akisema, Mwalimu mwema, nifanye nini ili nipate kuurithi uzima wa milele? Yesu akamwambia, Mbona unaniita mwema? Hakuna aliye mwema ila mmoja, naye ndiye Mungu". (Luka 18:18-19)

Qur’an:

"Na (kumbukeni) Allah (Mwenyezi Mungu) atakaposema: Ewe Isa bin Maryam! Je wewe uliwaambia watu "nifanyeni mimi na mama yangu kuwa waungu badala ya Allah (Mwenyezi Mungu(? Aseme (Nabii Isa) Wewe umetakasika na kuwa na mshirika…" (Qur. 5:116)

"Na (juu ya hivi) wamemfanyia Allah (Mwenyezi Mungu) majini kuwa washirika wake, hali Yeye ndiye aliyewaumba (si majini). Na wanamsingizia (Mwenyezi Mungu) kuwa ana watoto wa kiume na wa kike. (Wakasema haya) pasipo kujua. Ameepukana (Mwenyezi Mungu) na upungufu , na yu juu kuliko wanayomsifu nayo". (Qur. 6:100)

Kulingana na shuhuda hizo juu, tunaona wazi kuwa Qur’an tukufu na Biblia takatifu vyote pamoja vinafundisha kuwa ni Mwenyezi Mungu yule yule mmoja aliyejifunua kwa Manabii wake mbalimbali kwa majina tofauti ndiye mwenye sifa hiyo ya Utakatifu (aliye mwema, aliye mbali na sifa zote dhaifu na pungufu). Kwa shuhuda hizo za Qur’an tukufu na Biblia takatifu, ni wazi kuwa sifa hiyo nayo pia inadhihirisha wazi kuwa Allah wa kwenye Qur’an tukufu ndiye Mungu yule yule aliyejitambulisha kwa mara ya kwanza kwa Nabii Musa (a.s.) kwa jina la Yehova ambalo hakuwahi kujifunua kwa jina hilo kwa Nabii Isa ama Yesu (a.s.).

Kwa uchache, hizi ni baadhi tu ya siku kuu za Mungu wa kweli nilizojaaliwa kuziainisha tangu katika matoleo yaliyopita ya gazeti hili. Na zipo sifa nyingine nyingi ambazo zimeelezwa wazi na Qur’an tukufu na Biblia takatifu zinazozidi kudhihirisha wazi zaidi kwamba Allah anayetajwa na Qur’an tukufu ndiye yule yule Yehova anayefundishwa na Biblia takatifu, Mungu wa Nabii Ibrahimu, Ismaili, Ishaka, Yakobo na Mitume na Manabii wake wengine wote aliowatuma duniani.

Baadhi ya sifa kuu ambazo sikuzibainisha ni kama ile ya tukufu (Zaburi 92:8 na Qur’an 67:2), kutokuchangia Uungu wake wala sifa zake na yeyote wala na chochote (Isaya 44:4-6 na Qur’an 6:162) na kadhalika.

Mara nyengine apendapo Muumba nitaanza kumwelezea Mungu anayeabudiwa na Wakristo, asili yake, desturi zake na ibada zake.

Ambapo tutaona kama kweli Mungu huyo ndiye Yehova?
 
Summed up in Romans 14:8, "If we live, we live for the Lord; and if we die, we die for the Lord. So, whether we live or die, we belong to the Lord."
 
Why do we live to die? What the purpose of living? Why we end up dying?
Your welcome to answer these questions (biologically, philosophically, spiritually e.t.c).
 
Then tukiishamuabudu anapata nini!??anaongezeka ukubwa au anapata ujiko kwa wenzie sjui kina nani hao?
Ngoja niendelee kusoma huu uzi ili nione jibu lake.
swali la msingi sana hili.
 
"nimewaumba majini na watu ili mpate kuja kuniabudu" quran
kwa kwel apo naona haiyoshi kwakuwa ukishamuabudu then sasa ukiendelea na izo then utaambiwa unakufuru mungu ukiendelea utajikuta unarudi kwenye quantum apo shida sanaa
 
Cheka, lia, furahia, chukia, piga, pigwa, tukana, jifunze, busara, oa, olewa, kuwa peke ako, tafuta marafiki, fanya kazi, fuata taratibu, iba ibiwa, chepuka, umiza watu kimapenzi, yani takataka zote za kidunia ukiweza fanya tu. Mwisho wa siku unakufa, hakuna cha ziada

Tusidanganyane kuna maisha baada ya kifo, ukifa umekufa, unaoza, mzunguko unaendelea hivyo yani.

Tupo ili tuishi.

Ova.
haiwezekan
 
Na ndo mana nikiamua kufanya kitu nafanya kwa bidii ama kwa kupata maximum enjoyment
 
Tunaishi ili kufurahia maisha,fanya bidii zooote ule maisha matam,ukifeli ndo inafata tunakufa ili turutubishe udongo kwaajili ya mimea watayo kula wengine ili wale bata.usipoteze mda kwenye kujiumiza kichwa kuhusu vitabu flan vya kale kwani ni vitu vilivyojitokeza wakati tayari maisha yapo,lengo ndo lilikuwa kujifariji,kwamba huenda kuna mtu tunamfurahisha!!!!
 
Akili za kipuuzi sana mnazo baadhi yenu humu

"wasidhani nimewaumba kwa mchezomchezo... "

"Na wala sikuwaumba wanaadamu na majini ila ni kwa lengo la kuniabudu (Allah) "

"tunakuteremsheni kwenye ardhi huko mkaishi na tutawaletea muongozo ... "

"na haikua maisha ya Dunia ila ni starehe ya mda mfupi sana"

Yaani mtu anajiona eti hapa duniani kapata sehemu ya kustarehe, wakati anajijua hasa kwamba anamda mchache sana

Mimi nawafananisha watu wa aina hii ni watu wenye akili na tafakuri ndogo mnoooo kuwahi kutokea ulimwenguni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom