Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Hahaa!Mjinga mkubwa wewe tangu lini bangi ikawa chanzo cha kufanyia ibada, yaani hizo dini zenu za mtaani(rastafarians) ndio unaitumia kama hoja?Punguani mkubwa wewe lete fact sio ujinga wa dini za wahuni kama kina Bob Marley za uvutaji wa sumu mwilini.
Kwa jinsi unavyo-panic haraka sio bangi tu hata pombe ni hatari kwako.
Naona umeanza kuwatukana hadi wasio na hatia