DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Mbona marasta ndo watu wenye Akili na utu na Afya njema hapa Tanzania?
Jambo hatari ni ngono na Pombe
Jambo hatari ni ngono na Pombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mwenye jina lako ni MAWEED,unadhani kuna kupona hapo.Wewe ni mvuta bangi na kua makini sana mkono wa sheria hauko mbali kukishika mjinga mkubwa wewe.Wewe hujui chochote kuhusu bangi halafu unalazimisha mabishano..
Ngoja tukuachie uzi wako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji2960][emoji2960]Mimi ni mwanaume mjinga mkubwa wewe.
Rastas ni siri yao hizo hali za hallucinations mtu hawezi sema ni aibu,wana force tu.Pombe pia na ngono zembe ni chanzo cha kifo kibaya mno cha maumivu.Mbona marasta ndo watu wenye Akili na utu na Afya njema hapa Tanzania?
Jambo hatari ni ngono na Pombe
Sasa ndio umejibu nini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji2960][emoji2960]View attachment 2572763
Zwazwa tena mkuu! Utakua umevuta ma pushabu, yanakufanya uonekane shoga[emoji2960] pole sana! Nakushauri uache bangi sio nzuri kwako na kizazi chakoWewe zwazwa tangu lini moshi mkali kama wa bangi inhaling yake ikawa normal to a human body?
Kushabu ni masalia yanayotoka pale unapoanza kuichambua bangi ili uiweke kwenye rizla ndio uvute. Sasa swala la ushoga linaingiaje hapa. Wewe kama ni mvutaji au mpambe wa ma pusha nakushauri acha bangi haraka sana kabla haujajutia.Zwazwa tena mkuu! Utakua umevuta ma pushabu, yanakufanya uonekane shoga[emoji2960] pole sana! Nakushauri uache bangi sio nzuri kwako na kizazi chako
Bangi haina madharaRastas ni siri yao hizo hali za hallucinations mtu hawezi sema ni aibu,wana force tu.Pombe pia na ngono zembe ni chanzo cha kifo kibaya mno cha maumivu.
Skia we bwabwa,usikadirie watu mchicha mwiba we,wanakukanda et...Wewe mwenye jina lako ni MAWEED,unadhani kuna kupona hapo.Wewe ni mvuta bangi na kua makini sana mkono wa sheria hauko mbali kukishika mjinga mkubwa wewe.
Ndio maana nakusisitiza, kama kichwa chako chepesi/kina wenge bila hata kuvuta, usijaribu utakuwa chizi kabisa. Vinginevyo faida zake ni nyingi ikitumika vizuriHallucinataions yaani kusikia sauti na vitu ambayo in real world havipo.
Unaijua bangi wewe ? Sema ulikua unavuta makapi A.K.A kushabu unaita ni bangi..Bangi ni hatari mno ndugu, wewe hujui ndugu yangu ndio maana unaisapoti nimevuta bangi mwenyewe bila ya kuvutishwa naijua bangi inside and out.
Jamaaa toka amemezeshwa hyo kemikali THC basi kila baada ya neno moja anaweka THC aiseee.. sorry naomba unifahamishe hyo kemikali ya THC inapatikana kwenye kitu gani tena ukiacha kwenye Bangi.THC sio kemikali bwege wewe,au hujui kua THC ni kemikali inayoleta hallucinations taahira mkubwa wewe yaani huoni kua nimeitaja THC kwenye thread yangu?
Haya kuhusu sigara ni dhahiri kua inaua mapafu kama bangi mana mapafu ni a very delicate organ isiyotaka moshi uingie ndani yake.
Vilevile kwa pombe zote hasa gin na whisky hizi zinaunguza figo na maini mwisho wake ni kifo cha maumivu makubwa mno.
Wewe ndio nikushauri uiache, rejea reply yangu ya kwanza kabisa, haiwezi ku react sawa kwa watumiaji wote ila kwa wewe ime react ikakufanya shoga hivyo iache haraka, uokoke umrudie Muumba wako! Sawa kinajanaKushabu ni masalia yanayotoka pale unapoanza kuichambua bangi ili uiweke kwenye rizla ndio uvute. Sasa swala la ushoga linaingiaje hapa. Wewe kama ni mvutaji au mpambe wa ma pusha nakushauri acha bangi haraka sana kabla haujajutia.
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] nilidhani ni mimi tu nimegundua huyu jamaa ni mdada la sivyo ni shoga, sio mzima, nimesadikiBinti ungepumzika kwanza,maana sio kwa povu.
Wewe ni taahira na zwazwa yaani huoni kua ubongo wa binadamu wote ni the same,na wote tuna kemikali inayoitwa dopamain ambayo ukivuta bangi huzalishwa kwa wingi na kupelekea ubongo kutekeleza reaction za mwili zaidi ya inavyotakiwa?Wewe ndio nikushauri uiache, rejea reply yangu ya kwanza kabisa, haiwezi ku react sawa kwa watumiaji wote ila kwa wewe ime react ikakufanya shoga hivyo iache haraka, uokoke umrudie Muumba wako! Sawa kinajana
Wewe ni taahira kabisa na unavyoendelea kupost na kureply huu uzi unaendelea kuthibitisha kiasi gani una hasira za kijinga.Mimi ni mwanaume tena dume la mbegu.[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115] nilidhani ni mimi tu nimegundua huyu jamaa ni mdada la sivyo ni shoga, sio mzima, nimesadiki
Ni kwenye bangi tu ndugu.Jamaaa toka amemezeshwa hyo kemikali THC basi kila baada ya neno moja anaweka THC aiseee.. sorry naomba unifahamishe hyo kemikali ya THC inapatikana kwenye kitu gani tena ukiacha kwenye Bangi.
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Nimevuta bangi zote ya Arusha na Kilimanjaro. Pia nimewahi vuta bangi yenyewe bila kushabu na kwa kushabu pia.Reaction ni ile ile ndugu.Trust me.Unaijua bangi wewe ? Sema ulikua unavuta makapi A.K.A kushabu unaita ni bangi..
Pole sana!
Sent from my Pixel 3 using JamiiForums mobile app