Ifahamu bangi na madhara yake

Ifahamu bangi na madhara yake

Mimi...nimetumia CPZ, nikatumia harloperidol na Resperidone...niktumia carpmazapine na harloperidol...saiv natumia harloperidol na sodium Volproate and Valproic acid...

Yote hayo nivuta bangi...bangi imeharibu maisha yangu yoote....
 
Safi umeuliza swali zuri hizo dawa hazina side effects, kiufupi ni nzuri mno na zimenisaidia kupunguza hallucinations na bado nazitumia mpaka dokta atakaporidhika na maendeleo yangu
Hizi dawa..jiandae kutumia hadi unakufa...usije Acha Dawa kwakujiona umepona
 
Mimi...nimetumia CPZ, nikatumia harloperidol na Resperidone...niktumia carpmazapine na harloperidol...saiv natumia harloperidol na sodium Volproate and Valproic acid...

Yote hayo nivuta bangi...bangi imeharibu maisha yangu yoote....
Bangi sio kwa ajili yako
 
Back
Top Bottom