Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Very interesting
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeanza 🤣😁Mkuu hii gari ni rebadged version ya Forthing Yacht ya Mchina.
Na ndio maana hata picha yako hapo inaonesha maandishi ya kichina kwenye kuta na vibao vya matangazo. Ikionesha hii gari ipo china na sio Iran.
(Japo unaweza kusema mitaa kuwa na maandishi ya kichina sio uthibitisho kuwa hapo ni china)
Iran hapaswi kupewa credit ya manufacturing kwenye products ambayo hajatengeneza.
View attachment 2965226
Kwani wachina hawawezi kununua Gari za Iran?Mkuu hii gari ni rebadged version ya Forthing Yacht ya Mchina.
Na ndio maana hata picha yako hapo inaonesha maandishi ya kichina kwenye kuta na vibao vya matangazo. Ikionesha hii gari ipo china na sio Iran.
(Japo unaweza kusema mitaa kuwa na maandishi ya kichina sio uthibitisho kuwa hapo ni china)
Iran hapaswi kupewa credit ya manufacturing kwenye products ambayo hajatengeneza.
View attachment 2965226
www.instagram.com
Tutajie majina ya haya magari sisi wengine tunataka tuwe tuna hakiki hizi taarifa ili kupima authenticity ya hii mada.
Ulijua kuna akina Nape na Mwigulu huko?Hawa Mbwa kumbe wako vizuri sana.
Sio mchezo ndio maana kumbe USA hawapati usingizi
Huku tunaweza kufuatilia tu jinsi mkuu wa nchi anavyo tukanwaSisi tusione na vikwazo tunateseka sana tofauti na walio na vikwazo inafikirisha hii
Kabisaaa... Nilifikiri makonda ndo rais Kumbe ni Bashiru AllyUlijua kuna akina Nape na Mwigulu huko?
Kule hakuna chawa ni kazkazi tu mazeeHawa Mbwa kumbe wako vizuri sana.
ah ah ushawastua waja sasa siungekausha tu mwamba...wana walishalishwa tango na wakalimeza zimazimaMkuu hii gari ni rebadged version ya Forthing Yacht ya Mchina.
Na ndio maana hata picha yako hapo inaonesha maandishi ya kichina kwenye kuta na vibao vya matangazo. Ikionesha hii gari ipo china na sio Iran.
(Japo unaweza kusema mitaa kuwa na maandishi ya kichina sio uthibitisho kuwa hapo ni china)
Iran hapaswi kupewa credit ya manufacturing kwenye products ambayo hajatengeneza.
View attachment 2965226
Ajabu sanaHuku tunaweza kufuatilia tu jinsi mkuu wa nchi anavyo tukanwa
Huyu jamaa niwakuwanae makini sana, linapokuja swala la Urusi, Korea kaskazini, na Iran. Anakuwa muongo muongo mnoUmeanza 🤣😁
😂🤣😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁Huyu jamaa niwakuwanae makini sana, linapokuja swala la Urusi, Korea kaskazini, na Iran. Anakuwa muongo muongo mno
Kwani wachina hawawezi kununua Gari za Iran?
Pitia hapa ujiridhishe
Login • Instagram
Welcome back to Instagram. Sign in to check out what your friends, family & interests have been capturing & sharing around the world.www.instagram.com
View: https://www.instagram.com/p/C1sPH88IWMP/
Duh! Hatariii sana. Nilikuwa nawachukulia easy sana.Kule hakuna chawa ni kazkazi tu mazee