binti mwambeso
Member
- May 25, 2022
- 36
- 116
Nasie tunaoishi mashambani kwenye mapagala hii inatuhusu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu ni kila kitu.acha usihiri na uchawi,hakuna lolote hao viumbe tumeshi nao miaka na miaka katika kila hali, vyovyote itakavyokuwa nature ndo huamuaUsiku Kipindi cha mawingu ambako nyota na mbalamwezi hazionekani ni hatari sana kwa usalama wa maisha. Na pia sa nyingine huwa ni bahati sana katika maisha yako.
Umeshawahi kujiuliza ni kwanini unaota ndoto usiku unakImbizwa lakini huna mbio? Pia ushawahi jiuliza kwanini unaota unakula chakula usiku?
Kuna kitu kinaitwa sleep paralysis, ambayo kwa watu wengi tunaamini ni jinamizi linatukaba.
JONGOO:
Huyu umwonapo nyumbani basi katika ulimwengu wa kiroho huwa anaashiria amani na upendo vitatawala katika maisha yako.
SISIMIZI:
Hawa uwaonapo nyumbani kwako basi jua mikosi inakunyemelea na iko njiani either iwe kwako au kwa wanafamilia wako.
TANDU:
Huyu tandu kwanza ni mdudu wa kipekee, ukimchukua tandu ukatafuta majani ya mlonge longe, majani mabichi ya tumbaku na ndulele ukavichoma kwa pamoja yale majivu yake yachukue na uende nayo kwenye lolote tafuta na mafuta ya kondoo uchanganye na damu kidogo, unanyunyiza pale kwenye kaburi huku ukinena maneno unayotaka yampate mbaya wako. Basi nakuhakikishia miguu ya tandu yote kama iko mia baada ya siku mia tarajia taarifa.
Hivyo tandu umwonapo kwako jua kabisa anaakisi mabaya, na pia umezungukwa na marafiki wabaya na uko hatarini
POPO:
Popo umuonapo nyumbani mara kwa mara basi elewa hio ni ishara ya namna kifo chako kitavyokuwa! Naam utajuaje namna ya kifo chako, chukia samaki hawa perege wadogo wapake samli na unga wa muhogo kisha tupa sehemu ambapo wanajining'niza, alafu sema maneno haya leo ndotoni nataka nataka nione mwisho wa miamba ya dunia. Nenda kalale kisha utaota namna utavyokufa iwe ni kwa presha, ukimwi au ajali n.k
Hivyo umwonapo popo nyumbani kwako jua kifo kinakunyemelea.
N.B Nenda kayafanyie kazi haya maneno yangu utakuja kuamini na kuleta mrejesho
Sasa ni Saa saba za usiku nasikia bundi linalia hapa nje, ngoja nitoke nijue kulikoni!
Mpo jiraniHiyo ya bundi hata mimi hapa naskia..
Ila ni kwa mbali sana
Jirani na nani mkuu ?Mpo jirani
Mleta uzi, mnasikia sauti ya bundiJirani na nani mkuu ?
Sizani kama tupo jirani... Ila mda nasoma uzi wake even me kuna bundi alikua analia njee hivyo niliweka umakini sana katika uzi wakeMleta uzi, mnasikia sauti ya bundi
Itakuwa mwangwi wa bundi kwenye uzi,😂Sizani kama tupo jirani... Ila mda nasoma uzi wake even me kuna bundi alikua analia njee hivyo niliweka umakini sana katika uzi wake
Niliogopa sana daahItakuwa mwangwi wa bundi kwenye uzi,😂
Kama unaamini katika yesu unaachaje kuamini katika hawa wadudu niliokutajia? Ebu mtafute mchungaji wako muulize ishara ya tandu nyumbani ni nini alafu ndio utaelewa.Yesu ni kila kitu.acha usihiri na uchawi,hakuna lolote hao viumbe tumeshi nao miaka na miaka katika kila hali, vyovyote itakavyokuwa nature ndo huamua
Rudia kusoma bandiko langu kwa umakini na ujaribu kuelewa sio kutaka kuja kubishana tu wakati binadamu wote tuna asili zetu.Hah sisimizi mpaka tunawala kwenye mchuzi wa samaki uliolala,popo nao Kila siku usiku tunapishana nao mda wa kwenda kulala wao ndy wanatoka,
Hao wote uliotaja hauwezi kuwatenga na maisha yetu !!!!
Kuna baadhi ya wadudu wanatokana a mazingira na hawahusiani kabisa na ulichoandikaUsiku Kipindi cha mawingu ambako nyota na mbalamwezi hazionekani ni hatari sana kwa usalama wa maisha. Na pia sa nyingine huwa ni bahati sana katika maisha yako.
Umeshawahi kujiuliza ni kwanini unaota ndoto usiku unakImbizwa lakini huna mbio? Pia ushawahi jiuliza kwanini unaota unakula chakula usiku?
Kuna kitu kinaitwa sleep paralysis, ambayo kwa watu wengi tunaamini ni jinamizi linatukaba.
JONGOO:
Huyu umwonapo nyumbani basi katika ulimwengu wa kiroho huwa anaashiria amani na upendo vitatawala katika maisha yako.
SISIMIZI:
Hawa uwaonapo nyumbani kwako basi jua mikosi inakunyemelea na iko njiani either iwe kwako au kwa wanafamilia wako.
TANDU:
Huyu tandu kwanza ni mdudu wa kipekee, ukimchukua tandu ukatafuta majani ya mlonge longe, majani mabichi ya tumbaku na ndulele ukavichoma kwa pamoja yale majivu yake yachukue na uende nayo kwenye lolote tafuta na mafuta ya kondoo uchanganye na damu kidogo, unanyunyiza pale kwenye kaburi huku ukinena maneno unayotaka yampate mbaya wako. Basi nakuhakikishia miguu ya tandu yote kama iko mia baada ya siku mia tarajia taarifa.
Hivyo tandu umwonapo kwako jua kabisa anaakisi mabaya, na pia umezungukwa na marafiki wabaya na uko hatarini
POPO:
Popo umuonapo nyumbani mara kwa mara basi elewa hio ni ishara ya namna kifo chako kitavyokuwa! Naam utajuaje namna ya kifo chako, chukia samaki hawa perege wadogo wapake samli na unga wa muhogo kisha tupa sehemu ambapo wanajining'niza, alafu sema maneno haya leo ndotoni nataka nataka nione mwisho wa miamba ya dunia. Nenda kalale kisha utaota namna utavyokufa iwe ni kwa presha, ukimwi au ajali n.k
Hivyo umwonapo popo nyumbani kwako jua kifo kinakunyemelea.
N.B Nenda kayafanyie kazi haya maneno yangu utakuja kuamini na kuleta mrejesho
Sasa ni Saa saba za usiku nasikia bundi linalia hapa nje, ngoja nitoke nijue kulikoni!
Umesoma bandiko langu ukalielewa lakini?Kuna baadhi ya wadudu wanatokana a mazingira na hawahusiani kabisa na ulichoandika
Mfano mbu, tunajua mazalia yake yanasababishwa na nii
Jongoo hawa wanapwnda kukaa vhini ya vuungu vya maua au kwenye bustani zetu za maua na unapofanya fumigation huwa wanapotea
Tandu nao wana mazingira ambayo ni favourable kwao
Na wadudu wote hawa huingia ndani wakioata upenyo ndio maana tunashauriwa kuweka mazingira yetu safi na kufanya fumigation mara kwa mara
Haya mengine ni imani tu ambazo hazina ukweli