Ifahamu ishara ya tandu, jongoo, sisimizi na popo nyumbani kwako!

Ifahamu ishara ya tandu, jongoo, sisimizi na popo nyumbani kwako!

Usipoishi na sisimizi popo bundi mjusi nnge wewe ni tatizo hawa ni viumbe kama wewe wanapenda kukaa sehemu salama.hata wewe mahali ulipo ukiona sio salama kwako hama.mawazo ya mtoa mada ni upotoshaji wenye nia ovu au ndio njia yake ya kujitafutia
 
Kwaio sisimizi wakifata mabaki ya misosi na hapo inakuaje boss
 
Hiyo ya bundi hata mimi hapa naskia..
Ila ni kwa mbali sana
Tuache imani hizi jamani,kuwepo na popo nyumbani ni kwamba wanatafuta hifadhi tu sehemu ya kificho na usiku wanatoka kwenda kutafuta mawindo na kwa kuwa bundi usiku huo naye anatafuta mawindo yake ambayo ni popo hivi inamlazimu kutua juu ya nyumba ili popo wakitoka tu awadake kirahisi
 
Usiku Kipindi cha mawingu ambako nyota na mbalamwezi hazionekani ni hatari sana kwa usalama wa maisha. Na pia sa nyingine huwa ni bahati sana katika maisha yako.

Umeshawahi kujiuliza ni kwanini unaota ndoto usiku unakImbizwa lakini huna mbio? Pia ushawahi jiuliza kwanini unaota unakula chakula usiku?

Kuna kitu kinaitwa sleep paralysis, ambayo kwa watu wengi tunaamini ni jinamizi linatukaba.

JONGOO:
Huyu umwonapo nyumbani basi katika ulimwengu wa kiroho huwa anaashiria amani na upendo vitatawala katika maisha yako.

SISIMIZI:
Hawa uwaonapo nyumbani kwako basi jua mikosi inakunyemelea na iko njiani either iwe kwako au kwa wanafamilia wako.

TANDU:
Huyu tandu kwanza ni mdudu wa kipekee, ukimchukua tandu ukatafuta majani ya mlonge longe, majani mabichi ya tumbaku na ndulele ukavichoma kwa pamoja yale majivu yake yachukue na uende nayo kwenye lolote tafuta na mafuta ya kondoo uchanganye na damu kidogo, unanyunyiza pale kwenye kaburi huku ukinena maneno unayotaka yampate mbaya wako. Basi nakuhakikishia miguu ya tandu yote kama iko mia baada ya siku mia tarajia taarifa.
Hivyo tandu umwonapo kwako jua kabisa anaakisi mabaya, na pia umezungukwa na marafiki wabaya na uko hatarini

POPO:
Popo umuonapo nyumbani mara kwa mara basi elewa hio ni ishara ya namna kifo chako kitavyokuwa! Naam utajuaje namna ya kifo chako, chukia samaki hawa perege wadogo wapake samli na unga wa muhogo kisha tupa sehemu ambapo wanajining'niza, alafu sema maneno haya leo ndotoni nataka nataka nione mwisho wa miamba ya dunia. Nenda kalale kisha utaota namna utavyokufa iwe ni kwa presha, ukimwi au ajali n.k

Hivyo umwonapo popo nyumbani kwako jua kifo kinakunyemelea.
N.B Nenda kayafanyie kazi haya maneno yangu utakuja kuamini na kuleta mrejesho

Sasa ni Saa saba za usiku nasikia bundi linalia hapa nje, ngoja nitoke nijue kulikoni!
Sasa ukishakufa Mrejesho utauketaje ?
 
Kuna wakati kiroho.
Tandu huashiria mwanamke anayepambania ndoa kwa kuharibu nyingine.
Popo huashiria uchawi wa kuruka.
Jongoo huashiria mtu asiye na ubaya lakini anayechukiwa.
Sisimizi huashiria msiba na hasa wakibeba chakula.au kama mlikuwa mna mgonjwa atapata nafuu.
 
Hayo unayosema ni ya kweli au unachangamsha genge? Lakini hapa sijawazungumzia bundi, nimewazungumzia sisimizi, tandu, popo na jongoo!
Sasa hawa unazungumzia kuwaona kwenye ndoto au katika uhalisia??
 
Usiku Kipindi cha mawingu ambako nyota na mbalamwezi hazionekani ni hatari sana kwa usalama wa maisha. Na pia sa nyingine huwa ni bahati sana katika maisha yako.

Umeshawahi kujiuliza ni kwanini unaota ndoto usiku unakImbizwa lakini huna mbio? Pia ushawahi jiuliza kwanini unaota unakula chakula usiku?

Kuna kitu kinaitwa sleep paralysis, ambayo kwa watu wengi tunaamini ni jinamizi linatukaba.

JONGOO:
Huyu umwonapo nyumbani basi katika ulimwengu wa kiroho huwa anaashiria amani na upendo vitatawala katika maisha yako.

SISIMIZI:
Hawa uwaonapo nyumbani kwako basi jua mikosi inakunyemelea na iko njiani either iwe kwako au kwa wanafamilia wako.

TANDU:
Huyu tandu kwanza ni mdudu wa kipekee, ukimchukua tandu ukatafuta majani ya mlonge longe, majani mabichi ya tumbaku na ndulele ukavichoma kwa pamoja yale majivu yake yachukue na uende nayo kwenye lolote tafuta na mafuta ya kondoo uchanganye na damu kidogo, unanyunyiza pale kwenye kaburi huku ukinena maneno unayotaka yampate mbaya wako. Basi nakuhakikishia miguu ya tandu yote kama iko mia baada ya siku mia tarajia taarifa.
Hivyo tandu umwonapo kwako jua kabisa anaakisi mabaya, na pia umezungukwa na marafiki wabaya na uko hatarini

POPO:
Popo umuonapo nyumbani mara kwa mara basi elewa hio ni ishara ya namna kifo chako kitavyokuwa! Naam utajuaje namna ya kifo chako, chukia samaki hawa perege wadogo wapake samli na unga wa muhogo kisha tupa sehemu ambapo wanajining'niza, alafu sema maneno haya leo ndotoni nataka nataka nione mwisho wa miamba ya dunia. Nenda kalale kisha utaota namna utavyokufa iwe ni kwa presha, ukimwi au ajali n.k

Hivyo umwonapo popo nyumbani kwako jua kifo kinakunyemelea.
N.B Nenda kayafanyie kazi haya maneno yangu utakuja kuamini na kuleta mrejesho

Sasa ni Saa saba za usiku nasikia bundi linalia hapa nje, ngoja nitoke nijue kulikoni!
CHukua maji tia kwenye ungo simama mlango wa chooni alfajiri kunywa kisha jimwagie halafu NENA maneno yatatokea.....USHIRIKINA TU HAKUNA LOLOTE
 
Back
Top Bottom