Ifahamu ishara ya tandu, jongoo, sisimizi na popo nyumbani kwako!

Mtoa mada vp kuhusu bundi alishawahi kuishi hadi kutaga mayai juu ya paa la nyumba yangu
 
Yesu ni kila kitu.acha usihiri na uchawi,hakuna lolote hao viumbe tumeshi nao miaka na miaka katika kila hali, vyovyote itakavyokuwa nature ndo huamua
 
Kwa hiyo kama tumekaa wapangaji Kumi kwenye nyumba moja uswahilini tukamuona Popo kwa pamoja wote tunakufa🄹🄹🄹🄹
Nadhani hujasoma bandiko langu vizuri. Ebu rudia kusoma na uelewe upya!
 
Mtoa mada vp kuhusu bundi alishawahi kuishi hadi kutaga mayai juu ya paa la nyumba yangu
Hayo unayosema ni ya kweli au unachangamsha genge? Lakini hapa sijawazungumzia bundi, nimewazungumzia sisimizi, tandu, popo na jongoo!
 
Yesu ni kila kitu.acha usihiri na uchawi,hakuna lolote hao viumbe tumeshi nao miaka na miaka katika kila hali, vyovyote itakavyokuwa nature ndo huamua
Kama unaamini katika yesu unaachaje kuamini katika hawa wadudu niliokutajia? Ebu mtafute mchungaji wako muulize ishara ya tandu nyumbani ni nini alafu ndio utaelewa.
 
Hah sisimizi mpaka tunawala kwenye mchuzi wa samaki uliolala,popo nao Kila siku usiku tunapishana nao mda wa kwenda kulala wao ndy wanatoka,
Hao wote uliotaja hauwezi kuwatenga na maisha yetu !!!!
 
Huu ni ulozišŸ™Œ
Eti kumwaga makaburinišŸ¤”
Huu ni utumwa🤣
Maarifa haya kaa nayo,
Ya Biblia YananitoshašŸ˜Ž
Sasa unaamini biblia lakini ishara ninazokupa huziamini? Wakati bibilia inawazungumzia wachawi.
 
Hah sisimizi mpaka tunawala kwenye mchuzi wa samaki uliolala,popo nao Kila siku usiku tunapishana nao mda wa kwenda kulala wao ndy wanatoka,
Hao wote uliotaja hauwezi kuwatenga na maisha yetu !!!!
Rudia kusoma bandiko langu kwa umakini na ujaribu kuelewa sio kutaka kuja kubishana tu wakati binadamu wote tuna asili zetu.
 
Kuna baadhi ya wadudu wanatokana a mazingira na hawahusiani kabisa na ulichoandika

Mfano mbu, tunajua mazalia yake yanasababishwa na nii

Jongoo hawa wanapwnda kukaa vhini ya vuungu vya maua au kwenye bustani zetu za maua na unapofanya fumigation huwa wanapotea

Tandu nao wana mazingira ambayo ni favourable kwao

Na wadudu wote hawa huingia ndani wakioata upenyo ndio maana tunashauriwa kuweka mazingira yetu safi na kufanya fumigation mara kwa mara

Haya mengine ni imani tu ambazo hazina ukweli
 
Umesoma bandiko langu ukalielewa lakini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…