Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Tuzo hutolewa kwa head of states wastaafu.Kwa hiyo hii kamati haikumuona hata Lissu
Kama ni hivyo huyo MAGUFULI anahusika vipi hapo?Tuzo hutolewa kwa head of states wastaafu.
Lkn Lissu ni rais wa nyoyo za watu mstaafu,Tuzo hutolewa kwa head of states wastaafu.
Inatolewa kwa mtu yeyote aliyewahi kuwa kiongozi mkuu wa serikali.Hiyo tuzo, inatolewa kwa ma Rais wastaafu, au waliopo madarakani?
Tuzo hutolewa hata kama mtu alishafariki.Kama ni hivyo huyo MAGUFULI anahusika vipi hapo?
Hilo unajua wewe.SAS si mgonjwa
Lissu bado hajastaafu kwenye hicho cheo.Lkn Lissu ni rais wa nyoyo za watu mstaafu,
KweliHilo unajua wewe.
Lisu siyo kiongozi bali ni mwanaharakati. He has no sense at all, na it seems ana matatizo ya akili. Yaani huwezi kuwa mpinzani kipindi kile serikali inapigania kurekebisha mikataba ya madini then gafla anageukia upande wa wenye migodi tena yupo serious kabisa.Lkn Lissu ni rais wa nyoyo za watu mstaafu,
Vigezo vinavyotumika:Tozo, Panya Road , ugumu wa maisha.
Sidhani kama kuna mtu anaweza penya.
Usijitoe ufahamu wewe dogo.. ripoti ya Osoro ilikuwa ya kweli? Kwanini magufuli alikuja kuachia yale makinikia?Lisu siyo kiongozi bali ni mwanaharakati. He has no sense at all, na it seems ana matatizo ya akili. Yaani huwezi kuwa mpinzani kipindi kile serikali inapigania kurekebisha mikataba ya madini then gafla anageukia upande wa wenye migodi tena yupo serious kabisa.