Ifahamu kamati iliyompiga chini Magufuli kwenye tuzo za Mo Ibrahim

Ifahamu kamati iliyompiga chini Magufuli kwenye tuzo za Mo Ibrahim

Kwa hiyo kulikuwa na mchujo? Unaweza kuweka waliopita kwenye huo mchujo?
Rais aliyemaliza muda wake na kukabidhi madaraka kwa aliyeshinda uchaguzi wa kidemokrasia kihalali ndiye ambaye huwa anajadiliwa kama utawala wake ulikuwa na vigezo vya kuweza yeye kutunukiwa hiyo nishani ya Mo Ibrahim !! Magufuli hata hakujadiliwa kwa sababu alikuwa bado madarakani !! Mkapa na Kikwete hawakuipata hiyo tuzo kwa sababu hawakukidhi vigezo. !! Great thinkers gani huwa wana ushabiki wa Simba na Yanga ?? Na hata kama Magufuli angemaliza muda wake sidhani kama angekidhi vigezo huo ndio ukweli. !
 
Lisu siyo kiongozi bali ni mwanaharakati. He has no sense at all, na it seems ana matatizo ya akili. Yaani huwezi kuwa mpinzani kipindi kile serikali inapigania kurekebisha mikataba ya madini then gafla anageukia upande wa wenye migodi tena yupo serious kabisa.

..unapigania madini kwa ripoti feki "professorial rubish"?

..ndio maana mpaka leo ripoti za Maprofesa zimefichwa.

..Na hakuna hata mmoja aliyetajwa ktk ripoti amechukuliwa hatua.

..hatujui acacia / barrick wametuibia kiasi gani, tunabahatisha tu.

..hata kinachodaiwa tumepewa hakijulikani kiwango chake. Na kwanini tumepewa. Na kama ndio haki yetu au tumepunjwa.
 
Hawa ndio ndugu wajumbe. Watu makini wasiokuwa na madoa:

1. Salim Ahmed Salim (Chair)
2. Martti Ahtisaari
3. Aicha Bah Diallo
4. Mohamed ElBaradei
5. Horst Köhler
6. Graça Machel
7. Festus Mogae
8. Mary Robinson
Hao team upinde wakafe mbele..
 
Hawa ndio ndugu wajumbe. Watu makini wasiokuwa na madoa:

1. Salim Ahmed Salim (Chair)
2. Martti Ahtisaari
3. Aicha Bah Diallo
4. Mohamed ElBaradei
5. Horst Köhler
6. Graça Machel
7. Festus Mogae
8. Mary Robinson
Sisi hatuna haja na tuzo kwa magufuli. Wenyewe watz tuna tuzo kwake.
Ni kupambana na wapinga maendeleo na kuiletea nchi yetu maendeleo ya kweli.
 
Sisi hatuna haja na tuzo kwa magufuli. Wenyewe watz tuna tuzo kwake.
Ni kupambana na wapinga maendeleo na kuiletea nchi yetu maendeleo ya kweli.
Watz gani wampe tuzo mtu aliyeiba uchaguzi mkuu 2020?
 
Hawa ndio ndugu wajumbe. Watu makini wasiokuwa na madoa:

1. Salim Ahmed Salim (Chair)
2. Martti Ahtisaari
3. Aicha Bah Diallo
4. Mohamed ElBaradei
5. Horst Köhler
6. Graça Machel
7. Festus Mogae
8. Mary Robinson
kamati ilifanya uamuzi sahihi. makofi kwao.
 
Sasa Magufuli alikuwa mstaafu?,au mlimuona ni tishio mkaona mfanye yenu mkiongonzwa na yule wa kuchekacheka
Lowassa mwenyewe anaitwa waziri mkuu mstaafu. Anayeingia ni kila mtu aliyewahi kuwa mkuu wa serikali Afrika.
 
Rais aliyemaliza muda wake na kukabidhi madaraka kwa aliyeshinda uchaguzi wa kidemokrasia kihalali ndiye ambaye huwa anajadiliwa kama utawala wake ulikuwa na vigezo vya kuweza yeye kutunukiwa hiyo nishani ya Mo Ibrahim !! Magufuli hata hakujadiliwa kwa sababu alikuwa bado madarakani !! Mkapa na Kikwete hawakuipata hiyo tuzo kwa sababu hawakukidhi vigezo. !! Great thinkers gani huwa wana ushabiki wa Simba na Yanga ?? Na hata kama Magufuli angemaliza muda wake sidhani kama angekidhi vigezo huo ndio ukweli. !

Nafikiri umeelekeza maelezo yako kwa wrong person, labda ungemwambia hayo mleta Mada, siyo mimi niliyeleta hii Mada!
 
Vigezo mojawapo ni pamoja na
Utwala Bora unao zingatia Sheria na haki za binadamu.
Utwala unozingatia na kuendelea demokrasia.
Kutokomeza au kupunguza umasikini kwa wananchi.
Kukuza uchumi.
Kupambana na ufisadi.
Kiongozi awe amechaguliwa na watu kwa njia ya kidemokrasia .nk
 
Wa sasa hata kufikiriwa tu kushindanishwa hatafikiriwa.Maana uwezo wake unamashaka
 
Back
Top Bottom