Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taasisi ya Mo iko imara sana, tofauti na hizi za kwetu zinazoendeshwa na CCM.Wajumbe hawana tabia ya kupepesa macho.
Wewe kiroboto wa hapo nguriati ukiizarau ,utaongeza au kupunguza nini?Ningeidharau hiyo tuzo iwapo Bwana yule angetunukuwa.
Kwaio JPM ni raisi mstaafu? JF now days imejaa vilaza wa hali ya juu...Tuzo hutolewa kwa head of states wastaafu.
Mungu ibariki hii kamatiHawa ndio ndugu wajumbe. Watu makini wasiokuwa na madoa:
1. Salim Ahmed Salim (Chair)
2. Martti Ahtisaari
3. Aicha Bah Diallo
4. Mohamed ElBaradei
5. Horst Köhler
6. Graça Machel
7. Festus Mogae
8. Mary Robinson
Samia ni raisi wa watanzania wote.Basi labda safari hii raisi Samia wenu atapita, labda walikuwa wanamsubiri, who knows?
Hapa ndio unaona umeongea kwa akili? Tuzo huwa zinatolewa hata kama mtu alishafariki.Kwaio JPM ni raisi mstaafu? JF now days imejaa vilaza wa hali ya juu...
Huyu wa sasa ana kila sifa.Vigezo vinavyotumika:
1. Utawala bora
2. Kuachia uongozi awamu inapoisha
3. Awe amechaguliwa kidemokrasia
4. Achangie katika uongozi kuelekea maendeleo ya kiuchumi
5. Kuwa mfano wa kuigwa katika jamii.
Sasa hapa magufuli anakidhi kigezo kimoja tu, namba 2. Vingine vyote anafeli.
1. Nitajie raisi aliewahi kupewa hii tuzo akiwa marehemu?Hapa ndio unaona umeongea kwa akili? Tuzo huwa zinatolewa hata kama mtu alishafariki.
Wewe Pimbi unawashwa.Wewe kiroboto wa hapo nguriati ukiizarau ,utaongeza au kupunguza nini?
Hili ni swali la kitoto1. Nitajie raisi aliewahi kupewa hii tuzo akiwa marehemu?
Hili linaonesha bado unaishi karne ya 19. Unafahamu kwamba kuna kitu kinaitwa delegation? Unafahamu video conferencing?2.Huyo uliemsema km mwenyekiti anaumwa muda sasa hawezi kusimamia cometee yoyote( i bet umeeenda ku copy list wikipedia ili kukamilisha story yako bila kujua hali ya mwenyekiti unaemsema)
Wewe unafahamu utaratibu wa brain writing unaotumika kukusanya mawazo ya wajumbe kabla ya official gathering?3. Mara ya mwisho mchakato kufanyika ilikua 2020 hii ni 2022 hakuna mchakato mwingine uliofanyika hii ya JPM ww umeitoa wapi?
Chanzo cha kuaminika ni hii habari niliyokuletea maana inao uthibitisho kutokea jikoni.4. Hakuna habari yoyote ya mchakato mpya ktk official website yao au vyanzo vingine vya kuaminika vya habari zaidi ya haka ka post kako ka kipuuzi(Ibrahim Prize for Achievement in African Leadership)
Bangi itakuuaTuzo hutolewa kwa head of states wastaafu.
Imekuaje haijakuua hadi leo?Bangi itakuua
Lissu hajawahi kuwa raisi acha kukulupuka mkuuKwa hiyo hii kamati haikumuona hata Lissu
Hilo iachiwe kamati ingawa mimi namuona ni incompetent.Huyu wa sasa ana kila sifa.
Haya sasa umefurahi.
Unaelewa maana ya kamati?Huyo Salim Ahmed Salim unajua yuko wapi?
Wastaafu tu !!Hiyo tuzo, inatolewa kwa ma Rais wastaafu, au waliopo madarakani?