Ifahamu kamati iliyompiga chini Magufuli kwenye tuzo za Mo Ibrahim

Ifahamu kamati iliyompiga chini Magufuli kwenye tuzo za Mo Ibrahim

Wangekuwa wanatoa na sababu za waluoshindwa na walioshinda, ningetamani kujua sana za nini kilifanya wasimpe jiwe.
Vigezo vinavyotumika:

1. Utawala bora
2. Kuachia uongozi awamu inapoisha
3. Awe amechaguliwa kidemokrasia
4. Achangie katika uongozi kuelekea maendeleo ya kiuchumi
5. Kuwa mfano wa kuigwa katika jamii.

Hapa unaweza kuona magufuli hawezi kupenya.
 
Ohh ina maana kumbe Magufuli alikuwa ni mmoja wa waliofikiriwa kupewa tuzo? Kwa maana kama hiyo Tume ilimkataa ina maana aliingia kwenye kundi la washindi, hivyo Magufuli alikuwa ni moja kati wa Viongozi bora kabisa Afrikani!
Kila kiongozi anayetoka madarakani kwa afrika anaingizwa kwenye consideration.
 
Kwa mtu mwenye akili kichwani atabaini kuwa "kile kitendo tu Cha kumuingiza kwenye nomination tayari inaonesha kuwa waandaaji somehow walikuwa wanamuappriciate"
Kila head of state wa Afrika anapotoka anaingizwa kwasababu tuzo inajadiliwa kila mwaka.
 
Vigezo vinavyotumika:

1. Utawala bora
2. Kuachia uongozi awamu inapoisha
3. Awe amechaguliwa kidemokrasia
4. Achangie katika uongozi kuelekea maendeleo ya kiuchumi
5. Kuwa mfano wa kuigwa katika jamii.

Sasa hapa magufuli anakidhi kigezo kimoja tu, namba 2. Vingine vyote anafeli.
Ujinga mtupu, tupe chanzo cha hichi usemacho
 
Magu character alikuwa nazo ila Kuna sehemu aliyumba hasa kwenye hisia kuziweka mbele
 
Back
Top Bottom