Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Bila kusahau njia ya Malinyi, Mtimbira
 
Hapo kwenye mvuto umetupiga na kitu kizito mkuu
 
Kumbe ndio maana wapogoro wana tabia ya kujisikia kama wanyakyusa.
 
Wakashina mtua, umeupiga mwingi sana kwenye brief explanation yako.
 
Kwa kumbukumbu zangu Mahenge sio wilaya ila ni mji katika wilaya ya Ulanga na mkuu wa wilaya ni Ngollo Malenya!
 
Naona lawama zipo Kwa viongozi, umeacha kuzungumzia uvivu wa vijana wa huko wanajua kuzalisha tuu, halafu wanakimbia, asilimia kubwa Kuna singo Maza wengi wenye umri mdogo, wanaofaidika hapo mahenge ni wageni Wakat wenyeji wamelala
Bado lawama haziwezi kuacha kutupiwa Kwa viongozi, serikali Ina wajibu wa kupeleka elimu husika Kwa wananchi na kuwaeleza umuhimu wa kujikita ktk utafutaji na kujikomboa kutoka ktk umasikini wa kiuchumi na kifikira he hayo yanafanyika na kama yanafanyika ni Kwa ukubwa upi

Kuna Jamii nyingine zimejikita ktk kuyafanya hayo unayo yaeleza Kwa sababu ni Jamii ambazo bado zipo ktk ulimwengu Giza wa kiutambuzi ila Endapo wakifikishiwa elimu kwa kina Kwa namna Moja au nyingine lazima watajitoa ktk hicho kivuli Cha ujinga wa matendo Yao
 
Barabara ya kwenda Mahenge itakuwa bora hivi karibuni kuna mradi mkubwa sana wa kuchimba Graphite unakwenda kule Mahenge katika vijiji vya Mdindo, Kisewe na kuna barabara itajengwa kuja kutokea kijiji cha Chikuti pale!
Siasa tu, utekelezaji sifuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…