Kalembwani yule mganga aliyekuwa anawanyoa watu vichwa Eti ni wachawi?Malinyi kwa Kalembwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kalembwani yule mganga aliyekuwa anawanyoa watu vichwa Eti ni wachawi?Malinyi kwa Kalembwani
Yap uko sahihiKalembwani yule mganga aliyekuwa anawanyoa watu vichwa Eti ni wachawi?
Hiyo inayopita Chikuti ni kwa ajili ya kukwepa ukali wa safu za milima ya Mahenge scarps(Ndororo) kuja kutokea Tobora.hapana mkuu ilisemekana itapita sehemu inaitwa chikuti..ambapo ni chini ya mlima ndororo na tulioneshwa ramani.. so malinyi ni ngumu mana songea ni kusini
Bibi Kalembwana wa Ihowanja Malinyi.Kalembwani yule mganga aliyekuwa anawanyoa watu vichwa Eti ni wachawi?
Kuna bar kadhaa naona zimefunguliwa za kutosha. Kuna moja Ipo Nawenge kwenye majabali ya mawe. Kuna night club moja matata inaitwa Exchange ni balaa.Hivi wale watz kweli maana Sasa 12 jioni Giza hata halijaanza wako mawindoni
Hapo SasaMzungu anatambika mkuu??
Huko ni mwendo wa Noah Ifakara - ChitaMiaka ya nyuma usafiri ulikuwa changamoto sana huko. Gari nyingi zilikuwa ni lori aina ya fuso, canter, landrover 109, na pickups.
Hivyo ili mpandishe huko, hizo gari lazima zijaze mzigo wa kutosha! Halafu abiria ndiyo mnakaa juu ya mabomba.
Na usafiri huo huo wa malori, ulikuwa pia ni common kwa safari za Ifakara - Mbingu - Mngeta - Chita mpaka Mlimba. Sijui kwa miaka ya sasa. Huenda basi aina ya Tata zikawa nyingi zaidi.
Sisi hao watoto tulikuwa hatuna hiyana nao, tulikuwa na wamama na wadada wa mtaa maana tulikuwa tunapewa misosi ya nguvu na wali kule ndo chakula kikuuMimi nilikuwa nawavizia wale watoto wa maarifa pale juu karibu na kanisa la Jimbo. Nasikia siku hizi eti wamepageuza na kuanzisha shule ya sekondari.
Sio siri tuliacha watoto wengi sana pale, nakumbuka vijana wengi walikuwa wanabaki huko baada ya kunogewa na mapenzi ya kipogoroMuende mkachukue mbegu zenu sasa.
Nimepanda sana fuso maana mabasi yalikuwa hayapandi ule mlima kipindi hicho, sijui ile barabara imeshatengenezwa siku hizi!?Miaka ya nyuma usafiri ulikuwa changamoto sana huko. Gari nyingi zilikuwa ni lori aina ya fuso, canter, landrover 109, na pickups.
Hivyo ili mpandishe huko, hizo gari lazima zijaze mzigo wa kutosha! Halafu abiria ndiyo mnakaa juu ya mabomba.
Na usafiri huo huo wa malori, ulikuwa pia ni common kwa safari za Ifakara - Mbingu - Mngeta - Chita mpaka Mlimba. Sijui kwa miaka ya sasa. Huenda basi aina ya Tata zikawa nyingi zaidi.
Umeandika: "Mahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro..."Mahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro na kabila la Wapogoro ndio wanapatikana huko. Ikiwa eneo la juu (Mlimani) na hali ya hewa ya ubaridi na mvua mvua.
Wilaya hii ina vivutio na siri nyingi mno, kihistoria,kiserikali na hata kidini (Je, umewahi kuisikia Wilaya hii na unapata picha gani juu yake?)
Vivutio; kwa upande wa vivutio kuna;
1. Kabila lenyewe linalopatikana huko (wapogoro) asili yao na lugha yao,tamaduni na style yao ya maisha. (kuoana ndugu mradi wasitike nababu mmoja) Uzuri wa wanawake wao wana miili yenye nguvu mno..
2. Ardhi na landscape yake, jinsi kulivyo na miinuko na misitu na vile ambavyo mji umechongwa.
3. Majengo ya mjerumani (boma) ambalo linatumika kama ofisi kuu za serikali (wilayani) na jengo la mkuu wa wilaya . Lakini pia majengo ya wamisionari (kanisa katoliki la tatu kwa ukubwa la tanzania lilojengwa kwa mawe tupu na mji wake ikijumuisha na shule zilojengwa na wao)
4. Misitu na miti pekee, na alama zilowekwa juu ya milima na misituni na wakoloni, hivyo ni baadhi.
Siri zilizoko;
1. Kuna madini ya aina mbali mbali yanayopatikana na kuchimbwa huko (rubi, spinal, greentomalin, uno, dhahabu na hata almasi)
2. Kutokana ni mji wa kikoloni, Mjerumani na Muingereza walikuwako huko hivyo alama zao juu ya milima na misitu zinamaana fulani, je ni ipi?
3. Kwanini wilaya hii licha ya kuwa na vyote hivi lakini bado imefungwa kimawasiliano ya barabara??? njia ni mbovu lakini pia haitoki inatoka kwa njia za mikato pekee.
4. Toka miaka viongozi wake wamekuwa wakinifaidisha wao, maajabu maendeleo yao pia yamekuwa hayaonekani sio kwa wao tu hata kwa ndugu zao (viongozi walowahi kutoka huko kwa uchache Late Amati liyumba aliwahi kuwa BOT, Late Mama Celina kombani alikuwa mbunge kabla CCM hawakumpa asante ya kumuweka mwanae kuwa mbunge baada ya mama yake Bw. Goodluck Mlinga ambae ameshindwa kuchukua jimbo mara baada ya miaka mitano kuisha .Sasa linashikiliwa na Bw. Almasi.
Je, kwanini hakuna maendeleo?
Je, kwanini viongozi wa huko ni kama wanaogopwa na wapogoro?
Je, kwanini mpaka leo barabara ni ya vumbi na kuna muda inakuwa mbaya na chafu kabisa?? kama unaogopa mlima kitonga basi usiendeshe kwenda Mahenge kuna mlima unaitwa ndororo ni hatari mno..
Kwa nini Viongozi wanaweza kaa msimu mzima wakaenda tembelea jimbo mara moja? especially walopita!!
Mimi nimeeleza vitu baadhi, waeza jazia vingine vile unafahamu kuhusu mji huu pia kuweza kualika kiongozi unae mjua aje ajibu baadhi ya hoja. Pia hata kueleza maswahibu au vituko ulivyowahi kutana navyo kwa mji huu maana na hata uchawi upo na wanatumia live.
cc: Goodlucky Mlinga
cc: Mkuu wilaya Mahenge Ulanga na mkurugenzi wake..
cc: Mbunge wa sasa Bw. Almasi
Una maana Makamu wa Rais wa Tanzania anatoka Burundi?Sasa buhigwe si Ni Burundi Kule 😄
Pia wapogoro wanakula nyani.
"Nakufira hadi kumoyo" (nakupenda kutoka moyoni in Kipogoro language.)
HaaSasa kama ulishindwa kuishi Mahenge utaweza kuishi Buhigwe ?
Zombe Yupo Mkambalani MorogoroNakumbuka kisa cha Wachimbaji wa madini wa Mahengee walivyoliwa kichwa na zombee... daah[emoji24]
Ekari inasoma TSh 60,000 kam unapewa shamba ukachane msitu
Malinyi kwa Kalembwani
Hapo kwenye Alana za wakoloni zinaonyesha sehemu walikoficha Mali zao wakati wanaondoka nchini baada ya kututawala Kuna Vitu kama madini walificha na kuweka Alana zao ili baadae waje wavichukue