Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 17,003
Mahenge nachopendea Hali ya hewa na mazingira na Huwa nafikia Kyle hotelin juu kabisaaa.Wapogoro tupo juu hadi umefunguliwa uzi duh...haya bwana, ngoja niende Mwaya nikatafute mahitaji yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahenge nachopendea Hali ya hewa na mazingira na Huwa nafikia Kyle hotelin juu kabisaaa.Wapogoro tupo juu hadi umefunguliwa uzi duh...haya bwana, ngoja niende Mwaya nikatafute mahitaji yangu
Hivi wale watz kweli maana Sasa 12 jioni Giza hata halijaanza wako mawindoniRiverside bar hatari sana pale
Mlima mwingine unaitwa Mbangayao, upo kwa mbele kidogo ukitoka pale shule ya wa wasichana ya Kanisa la RC.Yaani Ndororo hiyo Molina inatisha Sana, Kona nyingi na vidaraja yaana mazingira yanatisha. Alafu ukitoka Mahenge kuelekea Mwaya kupitia Ilonga Kuna Milima mingine pia Ina Kona nyingi Ni hatari Sana, Ila Sasa madereva wa Kidnilo exp Wana roho ngumu Sana, wanavyopandisha hiyo Milima Kama una roho ndogo, utatamani ushuke. Hali ya hewa Kule Mahenge Ni nzuri Sana
Ni eneo Gani.. nikifika naishiaga hotelin Kule mlimani.. na mie nikaone maajabuHivi wale watz kweli maana Sasa 12 jioni Giza hata halijaanza wako mawindoni
hapana mkuu ilisemekana itapita sehemu inaitwa chikuti..ambapo ni chini ya mlima ndororo na tulioneshwa ramani.. so malinyi ni ngumu mana songea ni kusiniBarabara ya kwenda Songea itapita Malinyi kwa kuingilia pale Lupiro.
Kipande kibovu ni kutoka Ifakara mpaka Mahenge Ulanga,ila kiufupi kule ni mbaliDsm to Mahenge unachangiwa kwa kiasi kikubwa na ubovu wa barabara, otherwise Mahenge to Dsm sio umbali wa 12 hours or more.
panaitwa saint Agness now daysMimi nilikuwa nawavizia wale watoto wa maarifa pale juu karibu na kanisa la Jimbo. Nasikia siku hizi eti wamepageuza na kuanzisha shule ya sekondari.
😄😄 Mbona Kuna mchangiaji humu kasema wameenda hewani 😄😄Fact tweusi tupole tufupi.
Hio bar mmiliki ni mwanamke wa kichagaa, ila wachimbaji wanapapenda sababu ndio sehemu kidogo inaonekana kwa hapo townBado ipo hiyo bar ya wachimba madini ?
Mbangayao [emoji2][emoji2][emoji2] kama unaelekea Edmund RiseMlima mwingine unaitwa Mbangayao, upo kwa mbele kidogo ukitoka pale shule ya wa wasichana ya Kanisa la RC.
sasa kuna sehemu ngoja niwape kodi,, inaitwa kwa dit rich, kuna sehemu ukiingia ndani kama uko dar panaitwa club exchange ,kuna hiyo river side, kuna stone pub, na ku moja ipo panaitwa safari road nimesahau jina .. hutajutia kama una taka mambo yale na lile baridi kule si mchezo... wapogoro wana mvuto si masihara..Hio bar mmiliki ni mwanamke wa kichagaa, ila wachimbaji wanapapenda sababu ndio sehemu kidogo inaonekana kwa hapo town
Sasa buhigwe si Ni Burundi Kule 😄Sasa kama ulishindwa kuishi Mahenge utaweza kuishi Buhigwe ?
Baadae Nasikia lile joka walikuja kulikamata wakalipiga miti vibaya Sana mkuu.Yaani ni bonge la joka sio mchezo...
Si ndio yule dada wa kipogoro aliyeolewa na mjukuu wa malkia, alishtukia mchezo, walitaka kumtoa kafara kwa lile joka, akamtonya mjukuu wa malkia, wote wakasepa....
Nadhani Kuna moja upande state lorge, ukiingia ndani ilivyonakishiwa Morogoro mjini hakuna. Jamaa kawekeza kweli Ila wateja ndiyo kiduchu. Sidhani Kama ataweza rudisha fedha aliyowekeza palesasa kuna sehemu ngoja niwape kodi,, inaitwa kwa dit rich, kuna sehemu ukiingia ndani kama uko dar panaitwa club exchange ,kuna hiyo river side, kuna stone pub, na ku moja ipo panaitwa safari road nimesahau jina .. hutajutia kama una taka mambo yale na lile baridi kule si mchezo... wapogoro wana mvuto si masihara..
Acha ni screenshot Hii comment.. wiki mbili zijazo naenda.. ingawa mwilii Huwa unauma nikipigia ubovu wa road kutokea ifakara kwenda mahengesasa kuna sehemu ngoja niwape kodi,, inaitwa kwa dit rich, kuna sehemu ukiingia ndani kama uko dar panaitwa club exchange ,kuna hiyo river side, kuna stone pub, na ku moja ipo panaitwa safari road nimesahau jina .. hutajutia kama una taka mambo yale na lile baridi kule si mchezo... wapogoro wana mvuto si masihara..
Where? In Barkingham Palace? That's a hoax.Hivi unajua malkia wa UK anajoka kubwa Sana la nini
Unanichanganya, kati ya maeneo yote tz nikitembea lazima niache chat, nimeshindwa mahenge tu.. mmewezaje au nakuwa busy nikiwa Kule ila hapana au sijui machaka ?Yeah kwiro boys tuliwahi pewa hifadhi pale shuleni kwa ajili ya research ila alooh mji mtamu ule kwa wale viumbe kam wewe ni mvuvi
Mbona wako karibu na mbuga za wanyama. Kwa nini wale wanyama wasio liwa?Wanakula nyama zote ni walafi wa nyama, iwe nyoka, kenge, ngedere, kenge, kwao wali ni sawa na chips mjini
Ekari inasoma TSH ngapiNadhani kuna fursa za ardhi kubwa kwa mkulima "quickly catchup"