Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Sawa mkuuMkuu...usiharibu utamu wa stori....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuMkuu...usiharibu utamu wa stori....
Daraja kajenga kikwete, limekamilika awamu ya maguinapitika?? alooh tumishukuru kukuta daraja la muheshimiwa Magufuli pale kilombero unless otherwise we could use panton kama miaka hiyo...
Vp hujawahi fika mbona fresh tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila mahenge khaaaah.
Dsm to Mahenge unachangiwa kwa kiasi kikubwa na ubovu wa barabara, otherwise Mahenge to Dsm sio umbali wa 12 hours or more.I remember the journey from Dar es salaam to mahenge! Tanzania kubwa nikafika saa 12 jioni Kama naenda Mbeya kumbe morogoro [emoji137][emoji137][emoji137]
Barabara ya kwenda Songea itapita Malinyi kwa kuingilia pale Lupiro.inapitika?? alooh tumishukuru kukuta daraja la muheshimiwa Magufuli pale kilombero unless otherwise we could use panton kama miaka hiyo...
[emoji3][emoji3][emoji3] umenikumbusha mambui [emoji3][emoji3]kweli ndugu..kuna watu wanatembea peku huko wanavaa mashuks meipe wanajiita mbui.. wana gimbo ina sura ya mtu.. tembea uone .. tuliona vingi mno
Muende mkachukue mbegu zenu sasa.Umenikumbusha kipindi hicho nasoma Kwiro boys, tulikuwa tunalelewa na wamama wa kipogolo kwa kuwahonga ada ya shule
Kalembwani alihamishia ofisi zake Kiberege maeneo ya Mkasu kabla haujavuka daraja la mto Kiberege kama unatokea Kidatu upande wa kulia.Malinyi kwa Kalembwani
Mlikaa vipi kwenye machuma wakati njia nzima imejaa miti ambayo inaweza kuku kill.Hebu weka na picha basi ili tujikumbushe. Nimeishi kwa miaka mingi sana huko Mahenge na pia Malinyi.
Tena enzi zile za kupandisha mlima Ndororo na landrover 109! Huku ikiwa imejaza mzigo wa kutosha kutoka Ifakara, halafu abiria mnakaa juu ya machuma.
[emoji3][emoji3][emoji3]Hii ngoma tamu sana aisee! Wana style yao moja hivi ya kwenda nyuma na mbele, wakicheza unaweza ukadhani jamaa hawana shida yoyote ile hapa duniani.
Huwa wanaenjoy mpaka basi.
Miaka ya nyuma usafiri ulikuwa changamoto sana huko. Gari nyingi zilikuwa ni lori aina ya fuso, canter, landrover 109, na pickups.Mlikaa vipi kwenye machuma wakati njia nzima imejaa miti ambayo inaweza kuku kill.
Enzi hizo tukishuka zetu pale kivukoni kutoka Mahenge mida ya saa nne nne hivi, tulikuwa tunanunua samaki (perege kwa jina maarufu 'ngarangi'), halafu tunaingia zetu kwenye Pantoni, tunavuka upande wa pili na gari letu, haoo Ifakara!!!inapitika?? alooh tumishukuru kukuta daraja la muheshimiwa Magufuli pale kilombero unless otherwise we could use panton kama miaka hiyo...
Mimi nilikuwa nawavizia wale watoto wa maarifa pale juu karibu na kanisa la Jimbo. Nasikia siku hizi eti wamepageuza na kuanzisha shule ya sekondari.Umenikumbusha kipindi hicho nasoma Kwiro boys, tulikuwa tunalelewa na wamama wa kipogolo kwa kuwahonga ada ya shule
nimefika Mwaya, Chipalagui...Epanko ni Rubi yachimbwa.. ila kuna maeneo mengine ambayo nilibahatika kufika ... Lukande, ketaketa,mwaya na hata huko mbele kama una enda selous kunaitwa ibuyu
Bado ipo hiyo bar ya wachimba madini ?Riverside bar hatari sana pale
ukweli kabisa wanapenda majungu kuliko kaziWapogoro huwa wana tabia fulani za kijinga au kipuuzi. Tulikuwa tukihitaji vitu fulani kwao sasa badae walipojua na mwenyeji wetu ni mpogoro wakaanza figisu, yani hawapendani wao kwa wao ndio mana mgeni rahisi kufanikiwa kule kwao.
Naenda sana mahenge, ila nikifikilia barabara naumwaa 😁😁Riverside bar hatari sana pale
msalimie yule mwalimu aliyecha kazi akaamua kuuza nafakaWapogoro tupo juu hadi umefunguliwa uzi duh...haya bwana, ngoja niende Mwaya nikatafute mahitaji yangu