Ndombe Mubele
JF-Expert Member
- May 19, 2019
- 242
- 529
Hapo kwenye Alana za wakoloni zinaonyesha sehemu walikoficha Mali zao wakati wanaondoka nchini baada ya kututawala Kuna Vitu kama madini walificha na kuweka Alana zao ili baadae waje wavichukue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro na kabila la Wapogoro ndio wanapatikana huko.Ikiwa eneo la juu (Mlimani) na hali ya hewa ya ubaridi na mvua mvua.
Wilaya hii ina vivutio na siri nyingi mno, kihistoria,kiserikali na hata kidini (Je, umewahi kuisikia Wilaya hii na unapata picha gani juu yake?)
Vivutio; kwa upande wa vivutio kuna;
1. Kabila lenyewe linalopatikana huko (wapogoro) asili yao na lugha yao,tamaduni na style yao ya maisha. (kuoana ndugu mradi wasitike nababu mmoja) Uzuri wa wanawake wao wana miili yenye nguvu mno..
2. Ardhi na landscape yake, jinsi kulivyo na miinuko na misitu na vile ambavyo mji umechongwa.
3. Majengo ya mjerumani (boma) ambalo linatumika kama ofisi kuu za serikali (wilayani) na jengo la mkuu wa wilaya . Lakini pia majengo ya wamisionari (kanisa katoliki la tatu kwa ukubwa la tanzania lilojengwa kwa mawe tupu na mji wake ikijumuisha na shule zilojengwa na wao)
4. Misitu na miti pekee, na alama zilowekwa juu ya milima na misituni na wakoloni, hivyo ni baadhi.
Siri zilizoko;
1. Kuna madini ya aina mbali mbali yanayopatikana na kuchimbwa huko (rubi, spinal, greentomalin, uno, dhahabu na hata almasi)
2. Kutokana ni mji wa kikoloni, Mjerumani na Muingereza walikuwako huko hivyo alama zao juu ya milima na misitu zinamaana fulani, je ni ipi?
3. Kwanini wilaya hii licha ya kuwa na vyote hivi lakini bado imefungwa kimawasiliano ya barabara??? njia ni mbovu lakini pia haitoki inatoka kwa njia za mikato pekee.
4. Toka miaka viongozi wake wamekuwa wakinifaidisha wao, maajabu maendeleo yao pia yamekuwa hayaonekani sio kwa wao tu hata kwa ndugu zao (viongozi walowahi kutoka huko kwa uchache Late Amati liyumba aliwahi kuwa BOT, Late Mama Celina kombani alikuwa mbunge kabla CCM hawakumpa asante ya kumuweka mwanae kuwa mbunge baada ya mama yake Bw. Goodluck Mlinga ambae ameshindwa kuchukua jimbo mara baada ya miaka mitano kuisha .Sasa linashikiliwa na Bw. Almasi.
Je, kwanini hakuna maendeleo?
Je, kwanini viongozi wa huko ni kama wanaogopwa na wapogoro?
Je, kwanini mpaka leo barabara ni ya vumbi na kuna muda inakuwa mbaya na chafu kabisa?? kama unaogopa mlima kitonga basi usiendeshe kwenda Mahenge kuna mlima unaitwa ndororo ni hatari mno..
Kwa nini Viongozi wanaweza kaa msimu mzima wakaenda tembelea jimbo mara moja? especially walopita!!
Mimi nimeeleza vitu baadhi, waeza jazia vingine vile unafahamu kuhusu mji huu pia kuweza kualika kiongozi unae mjua aje ajibu baadhi ya hoja. Pia hata kueleza maswahibu au vituko ulivyowahi kutana navyo kwa mji huu maana na hata uchawi upo na wanatumia live.
cc: Goodlucky mlinga
cc: Mkuu wilaya mahenge ulanga na mkurugenzi wake..
cc: Mbunge wa sasa Bw.Almasi
Ugali una bei juu kuliko waliWali sahani buku, mgahawani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo kanisani walikuja wenyewe kulifanyia ukarabati wakatoa madirisha na milango ya zamani wakaweka vipya.Hivyo vya zamani ndivyo mali yenyewenakubaliana na wewe kwa maana hata lile kanisa tukawa tunaambiwa chini kuna vitu na misalaba yote ilowekwa milimani kuna vitu chini... ila hiyo barabara inayojengwa inajengwa wapi mkuu mana hakuna lami kule.. nasikia tu kuna njia ya songea inatobolewa.. madini yapo mengi mno..
Kwani hata akificha zinachukulika?
Kumbuka sio kila kilichofichwa kulikuwa ni mali ndg.
Isipokuwa kuna samaki mmoja anaitwa mkunga amefanana na kambale,huyo hawamlii kabisaWanakula nyama zote ni walafi wa nyama, iwe nyoka, kenge, ngedere, kenge, kwao wali ni sawa na chips mjini
Hizo barabara wanazijengea wapMahenge pekee Ina site 300 za hazina zilizofichwa kipindi cha vita ya pili,kwa mujibu wa ramani za site zote nchini.
Waisrael wanajenga barabara ya lami wanatafuna hizo hazina balaa.
Mbunge wenu Almas ni mmojawapo anaewaachia hayo mashimoSuala zima la maendeleo ni ya njii hii ni la Serikali, hata Mikoa ya Kusini pia ilisahaulika. Wilaya ya Mahenge ilikuwa kubwa sana hadi ikagawanywa Malinyi ijitegemee.
Lastly madini ya njii hii yanavunwa tu hayatoi mrejesho maeneo husika...sehemu pekee utapata Luby ni Mahenge tu lakini tumeachiwa mashino kule
Mahenge siyo Wilaya ni makao makuu ya wilaya ya UlangaMahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro na kabila la Wapogoro ndio wanapatikana huko.Ikiwa eneo la juu (Mlimani) na hali ya hewa ya ubaridi na mvua mvua.
Wilaya hii ina vivutio na siri nyingi mno, kihistoria,kiserikali na hata kidini (Je, umewahi kuisikia Wilaya hii na unapata picha gani juu yake?)
Vivutio; kwa upande wa vivutio kuna;
1. Kabila lenyewe linalopatikana huko (wapogoro) asili yao na lugha yao,tamaduni na style yao ya maisha. (kuoana ndugu mradi wasitike nababu mmoja) Uzuri wa wanawake wao wana miili yenye nguvu mno..
2. Ardhi na landscape yake, jinsi kulivyo na miinuko na misitu na vile ambavyo mji umechongwa.
3. Majengo ya mjerumani (boma) ambalo linatumika kama ofisi kuu za serikali (wilayani) na jengo la mkuu wa wilaya . Lakini pia majengo ya wamisionari (kanisa katoliki la tatu kwa ukubwa la tanzania lilojengwa kwa mawe tupu na mji wake ikijumuisha na shule zilojengwa na wao)
4. Misitu na miti pekee, na alama zilowekwa juu ya milima na misituni na wakoloni, hivyo ni baadhi.
Siri zilizoko;
1. Kuna madini ya aina mbali mbali yanayopatikana na kuchimbwa huko (rubi, spinal, greentomalin, uno, dhahabu na hata almasi)
2. Kutokana ni mji wa kikoloni, Mjerumani na Muingereza walikuwako huko hivyo alama zao juu ya milima na misitu zinamaana fulani, je ni ipi?
3. Kwanini wilaya hii licha ya kuwa na vyote hivi lakini bado imefungwa kimawasiliano ya barabara??? njia ni mbovu lakini pia haitoki inatoka kwa njia za mikato pekee.
4. Toka miaka viongozi wake wamekuwa wakinifaidisha wao, maajabu maendeleo yao pia yamekuwa hayaonekani sio kwa wao tu hata kwa ndugu zao (viongozi walowahi kutoka huko kwa uchache Late Amati liyumba aliwahi kuwa BOT, Late Mama Celina kombani alikuwa mbunge kabla CCM hawakumpa asante ya kumuweka mwanae kuwa mbunge baada ya mama yake Bw. Goodluck Mlinga ambae ameshindwa kuchukua jimbo mara baada ya miaka mitano kuisha .Sasa linashikiliwa na Bw. Almasi.
Je, kwanini hakuna maendeleo?
Je, kwanini viongozi wa huko ni kama wanaogopwa na wapogoro?
Je, kwanini mpaka leo barabara ni ya vumbi na kuna muda inakuwa mbaya na chafu kabisa?? kama unaogopa mlima kitonga basi usiendeshe kwenda Mahenge kuna mlima unaitwa ndororo ni hatari mno..
Kwa nini Viongozi wanaweza kaa msimu mzima wakaenda tembelea jimbo mara moja? especially walopita!!
Mimi nimeeleza vitu baadhi, waeza jazia vingine vile unafahamu kuhusu mji huu pia kuweza kualika kiongozi unae mjua aje ajibu baadhi ya hoja. Pia hata kueleza maswahibu au vituko ulivyowahi kutana navyo kwa mji huu maana na hata uchawi upo na wanatumia live.
cc: Goodlucky mlinga
cc: Mkuu wilaya mahenge ulanga na mkurugenzi wake..
cc: Mbunge wa sasa Bw.Almasi
WhyIsipokuwa kuna samaki mmoja anaitwa mkunga amefanana na kambale,huyo hawamlii kabisa
Madini yote yanayopatikana huko Tunduru chanzo chake ni Mahenge kwenye mbuga ya Selous,hio wilaya nimekaa miaka miwili kuna dada mmoja anaitwa Nanka hivi yupogo ?nakubaliana na wewe kwa maana hata lile kanisa tukawa tunaambiwa chini kuna vitu na misalaba yote ilowekwa milimani kuna vitu chini... ila hiyo barabara inayojengwa inajengwa wapi mkuu mana hakuna lami kule.. nasikia tu kuna njia ya songea inatobolewa.. madini yapo mengi mno..
Mila na desturi zao hawaruhusiwi kumla huyo samaki,nimekaa kule tulikuwa tunachimba spinal na asilimia kubwa ya hayo madini wageni ndio wanafaidika nayo
Mbona hujasema kwamba kuna Junior Seminari ya St Francis maarufu kama Kasita Seminari ambayo imezalisha vipanga mbalimbali wanaokimbiza kwenye sekta nyingi hapa nchini.Mahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro na kabila la Wapogoro ndio wanapatikana huko.Ikiwa eneo la juu (Mlimani) na hali ya hewa ya ubaridi na mvua mvua.
Wilaya hii ina vivutio na siri nyingi mno, kihistoria,kiserikali na hata kidini (Je, umewahi kuisikia Wilaya hii na unapata picha gani juu yake?)
Vivutio; kwa upande wa vivutio kuna;
1. Kabila lenyewe linalopatikana huko (wapogoro) asili yao na lugha yao,tamaduni na style yao ya maisha. (kuoana ndugu mradi wasitike nababu mmoja) Uzuri wa wanawake wao wana miili yenye nguvu mno..
2. Ardhi na landscape yake, jinsi kulivyo na miinuko na misitu na vile ambavyo mji umechongwa.
3. Majengo ya mjerumani (boma) ambalo linatumika kama ofisi kuu za serikali (wilayani) na jengo la mkuu wa wilaya . Lakini pia majengo ya wamisionari (kanisa katoliki la tatu kwa ukubwa la tanzania lilojengwa kwa mawe tupu na mji wake ikijumuisha na shule zilojengwa na wao)
4. Misitu na miti pekee, na alama zilowekwa juu ya milima na misituni na wakoloni, hivyo ni baadhi.
Siri zilizoko;
1. Kuna madini ya aina mbali mbali yanayopatikana na kuchimbwa huko (rubi, spinal, greentomalin, uno, dhahabu na hata almasi)
2. Kutokana ni mji wa kikoloni, Mjerumani na Muingereza walikuwako huko hivyo alama zao juu ya milima na misitu zinamaana fulani, je ni ipi?
3. Kwanini wilaya hii licha ya kuwa na vyote hivi lakini bado imefungwa kimawasiliano ya barabara??? njia ni mbovu lakini pia haitoki inatoka kwa njia za mikato pekee.
4. Toka miaka viongozi wake wamekuwa wakinifaidisha wao, maajabu maendeleo yao pia yamekuwa hayaonekani sio kwa wao tu hata kwa ndugu zao (viongozi walowahi kutoka huko kwa uchache Late Amati liyumba aliwahi kuwa BOT, Late Mama Celina kombani alikuwa mbunge kabla CCM hawakumpa asante ya kumuweka mwanae kuwa mbunge baada ya mama yake Bw. Goodluck Mlinga ambae ameshindwa kuchukua jimbo mara baada ya miaka mitano kuisha .Sasa linashikiliwa na Bw. Almasi.
Je, kwanini hakuna maendeleo?
Je, kwanini viongozi wa huko ni kama wanaogopwa na wapogoro?
Je, kwanini mpaka leo barabara ni ya vumbi na kuna muda inakuwa mbaya na chafu kabisa?? kama unaogopa mlima kitonga basi usiendeshe kwenda Mahenge kuna mlima unaitwa ndororo ni hatari mno..
Kwa nini Viongozi wanaweza kaa msimu mzima wakaenda tembelea jimbo mara moja? especially walopita!!
Mimi nimeeleza vitu baadhi, waeza jazia vingine vile unafahamu kuhusu mji huu pia kuweza kualika kiongozi unae mjua aje ajibu baadhi ya hoja. Pia hata kueleza maswahibu au vituko ulivyowahi kutana navyo kwa mji huu maana na hata uchawi upo na wanatumia live.
cc: Goodlucky mlinga
cc: Mkuu wilaya mahenge ulanga na mkurugenzi wake..
cc: Mbunge wa sasa Bw.Almasi
Hebu weka na picha basi ili tujikumbushe. Nimeishi kwa miaka mingi sana huko Mahenge na pia Malinyi.Mahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro na kabila la Wapogoro ndio wanapatikana huko.Ikiwa eneo la juu (Mlimani) na hali ya hewa ya ubaridi na mvua mvua.
Wilaya hii ina vivutio na siri nyingi mno, kihistoria,kiserikali na hata kidini (Je, umewahi kuisikia Wilaya hii na unapata picha gani juu yake?)
Vivutio; kwa upande wa vivutio kuna;
1. Kabila lenyewe linalopatikana huko (wapogoro) asili yao na lugha yao,tamaduni na style yao ya maisha. (kuoana ndugu mradi wasitike nababu mmoja) Uzuri wa wanawake wao wana miili yenye nguvu mno..
2. Ardhi na landscape yake, jinsi kulivyo na miinuko na misitu na vile ambavyo mji umechongwa.
3. Majengo ya mjerumani (boma) ambalo linatumika kama ofisi kuu za serikali (wilayani) na jengo la mkuu wa wilaya . Lakini pia majengo ya wamisionari (kanisa katoliki la tatu kwa ukubwa la tanzania lilojengwa kwa mawe tupu na mji wake ikijumuisha na shule zilojengwa na wao)
4. Misitu na miti pekee, na alama zilowekwa juu ya milima na misituni na wakoloni, hivyo ni baadhi.
Siri zilizoko;
1. Kuna madini ya aina mbali mbali yanayopatikana na kuchimbwa huko (rubi, spinal, greentomalin, uno, dhahabu na hata almasi)
2. Kutokana ni mji wa kikoloni, Mjerumani na Muingereza walikuwako huko hivyo alama zao juu ya milima na misitu zinamaana fulani, je ni ipi?
3. Kwanini wilaya hii licha ya kuwa na vyote hivi lakini bado imefungwa kimawasiliano ya barabara??? njia ni mbovu lakini pia haitoki inatoka kwa njia za mikato pekee.
4. Toka miaka viongozi wake wamekuwa wakinifaidisha wao, maajabu maendeleo yao pia yamekuwa hayaonekani sio kwa wao tu hata kwa ndugu zao (viongozi walowahi kutoka huko kwa uchache Late Amati liyumba aliwahi kuwa BOT, Late Mama Celina kombani alikuwa mbunge kabla CCM hawakumpa asante ya kumuweka mwanae kuwa mbunge baada ya mama yake Bw. Goodluck Mlinga ambae ameshindwa kuchukua jimbo mara baada ya miaka mitano kuisha .Sasa linashikiliwa na Bw. Almasi.
Je, kwanini hakuna maendeleo?
Je, kwanini viongozi wa huko ni kama wanaogopwa na wapogoro?
Je, kwanini mpaka leo barabara ni ya vumbi na kuna muda inakuwa mbaya na chafu kabisa?? kama unaogopa mlima kitonga basi usiendeshe kwenda Mahenge kuna mlima unaitwa ndororo ni hatari mno..
Kwa nini Viongozi wanaweza kaa msimu mzima wakaenda tembelea jimbo mara moja? especially walopita!!
Mimi nimeeleza vitu baadhi, waeza jazia vingine vile unafahamu kuhusu mji huu pia kuweza kualika kiongozi unae mjua aje ajibu baadhi ya hoja. Pia hata kueleza maswahibu au vituko ulivyowahi kutana navyo kwa mji huu maana na hata uchawi upo na wanatumia live.
cc: Goodlucky mlinga
cc: Mkuu wilaya mahenge ulanga na mkurugenzi wake..
cc: Mbunge wa sasa Bw.Almasi
Unatokea Mahenge sehemu gani mtua ?Jina mahenge limenikumbusha wimba wa enzi hizo.tumetoka kwetu mahengeeee tumekuja dar es salaaaaamaaaaa[emoji345][emoji346]
Sio nyani hata panya wakikaa vibaya wanalazwa mbereee.Pia wapogoro wanakula nyani.
"Nakufira hadi kumoyo" (nakupenda kutoka moyoni in Kipogoro language.)
SangulaJina mahenge limenikumbusha wimba wa enzi hizo.tumetoka kwetu mahengeeee tumekuja dar es salaaaaamaaaaa[emoji345][emoji346]