Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Hahaaaa
 
Hahaaa ndio nimejua Leo kuwa Kuna Hilo tamko [emoji28][emoji28][emoji28]

Yaani wanalinda Mali zao ktk ardhi Ambayo sio Yao na hawana operation yoyote Ile ya maana endelevu kuhusu mali hizo
 
Hio namba 1 kuna mtu kamuoa mama yake mzazi na kamzalisha mtoto mmoja.
Thus kwao KILA nyumba moja pana mgonjwa wa kifafa sababu ya kuoana watu wa nasaba moja.
Duhh [emoji28][emoji119]
 
Hahaaa ndio nimejua Leo kuwa Kuna Hilo tamko [emoji28][emoji28][emoji28]

Yaani wanalinda Mali zao ktk ardhi Ambayo sio Yao na hawana operation yoyote Ile ya maana endelevu kuhusu mali hizo
Kwa MAWAZO yako unafikiri Haya makanisa makubwa ya parokia na mission yaliyokwisha jengwa kwenye milima na mapori ni ya nini!!?zaidi ya kulinda UTAJIRI wa madini iliyopo eneo husika!!?

Unafikiri wamejenga Ili WEWE uende mbinguni kwa yesu kristo!!? UNAFIKIRI mitume 12 walihitaji yesu awajengee majengo Ndio wamwamini kama hao wa katoliki wafanyavyo!!!?


Niishie hapo wasije nitafuta hao watawa!naomba uimbe wimbo Huu;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA"!!
 
Wazungu janja janja sana unakuta eti Mzungu yupo Morogoro analima nyanya mwingine yupo rungwe eti analima parachichi na makazi yao hukohuko porini.
Wengine wanajifanya wafadhili wanakarabati majengo ya maofisi na mashule
 
Hivi si ndio pale wanauza karanga hadi usiku wa manane utawakuta wadada barabarani wameshika nailoni zina karanga ndani? Pia nilisikia story kuhusu hao wadada wanaokesha barabarani hadi usiku mwingi sana
 
You have to know that Mimi hayo yote na yajua najua Namna dini zilivyo anzishwa zilikuwa ni package iliyopo ktk siasa za kale , dini ni siasa inayo tumika kutawala watu yote hayo Nina yajua

Nilicho shangaa ni hiyo sheria uliyo nitajia
 
Hahaaa ndio nimejua Leo kuwa Kuna Hilo tamko

Yaani wanalinda Mali zao ktk ardhi Ambayo sio Yao na hawana operation yoyote Ile ya maana endelevu kuhusu mali hizo
Kwa MAWAZO yako unafikiri Haya makanisa makubwa ya parokia na mission yaliyokwisha jengwa kwenye milima na mapori ni ya nini!!?zaidi ya kulinda UTAJIRI wa madini iliyopo eneo husika!!?

Unafikiri wamejenga Ili WEWE uende mbinguni kwa yesu kristo!!? UNAFIKIRI mitume 12 walihitaji yesu awajengee majengo Ndio wamwamini kama hao wa katoliki wafanyavyo!!!?


Niishie hapo wasije nitafuta hao watawa!naomba uimbe wimbo Huu;-

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe KATIBA MPYA
You have to know that Mimi hayo yote na yajua najua Namna dini zilivyo anzishwa zilikuwa ni package iliyopo ktk siasa za kale , dini ni siasa inayo tumika kutawala watu yote hayo Nina yajua

Nilicho shangaa ni hiyo sheria uliyo nitajia
Mkuu hao sheria haipo but hufanya makubaliano ya Siri!!
 
Big up mkuu.. umemsaidia kifikra
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…