[emoji28][emoji28][emoji28]Mpogoro katoka kwao mahenge huko, kuja dar...
Kurudi ndio anawasimulia wenzie kuwa yeye ni mjanja saanna,
"kondakta kusema, ubungu, ubungu nikabanishi, njwii, mpaka manzese kumkomoa dereva" [emoji23] [emoji1787]
Yaani akimaaisha konda gari ilipofika ubungo akatangaza kituo, yeye hakushuka akabana kwenye gari, kaenda kushukia manzese kwa kumkomoa dereva. [emoji23]
By the time nipo Mahenge ilikuwa nadra sana kusikia matukio ya uhalifu, yaani nadra mnooo.Kipangaspecial by anychance kuna yeyote alie kuwepo mahenge enzi za Jambazi Samson mndewa?? mwamba alotingisha mahenge.. mpaka mkoa??
Mimi mzamiaji tu.Pale Kasita Friary ni kituo cha malezi kuna wanaosomea upadri kama Mimi na wengine ubruda. We mtoto wa Uponera au Isongo.
Sema anawabeba sana warangi wenzake.Ni kweli at least mhaahamu agapit ndorobo amekaa, ila huko nyuma ilikuwa hatari
Hii nilisikia pia hata kwa waluguru pia nao hawapendaniWapogoro huwa wana tabia fulani za kijinga au kipuuzi. Tulikuwa tukihitaji vitu fulani kwao sasa badae walipojua na mwenyeji wetu ni mpogoro wakaanza figisu, yani hawapendani wao kwa wao ndio mana mgeni rahisi kufanikiwa kule kwao.
Miaka ipi hiyo? Mbna maajabu khaaah.Sijui kwa siku hizi, kipindi hicho simu zilikuwa zinaruhusiwa tena tukifika darasani mwalimu anasema zimeni simu au weka silent la sivyo nitakutoa darasani, ila o level walikuwa hawaruhusiwi kuingia na simu darasani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mbavu cnaa, khaaah.Nambie mkuu.
Nipo nakatisha ticket za mabasi ya kwenda Mahenge huko Burundi. Tukielewana vizuri naweza nikawa nakupa ticket za bure.
Usiulize uhusiano wa Mahenge na Burundi, wewe elewa mabasi yapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi hoi, bas kaka angu alipata tabu sana, duuuh.Mara ya Kwanza naenda mahenge 2011 nilishangaa sana [emoji23][emoji23]nimezoea mabasi kutoka mikoa yetu ya kazkazini nikisafiri ukikata ticket seat yako ni yako Kuna luxury na semi luxury uwezo wako tuu.
Nimefika Msamvu nikapata ticket ya kesho yake Alisaed nakumbuka ilikua 17000/=mpk mahenge. Nikahakikishiwa kua basi litatoka Dar litafika Msamvu saa 4.
Kesho yake nimefika saa 3 Msamvu tumekaa mpk saa 5:30 hakuna kitu tunaangaliana tuu. Basi limefika tukaambiwa kila mtu abebe mizigo yake basi lipo Ofisini pale mbele kwenye sheli yao. Aisee sasa si mngesema mapema.
Kufika pale naingia ndani ya basi limejaa siti yangu ina mtu kaanzia Dar safari na yeye kakatiwa seat hiyo hiyo aisee nilichoka. Nikashuka nawaambia naona maneno meengi nikaishia kupata seat mwishoni kabisa. Wengine wamekalia vigoda na ndoo katikati. Nikasema amaaa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safari ikaanza naona watu wapo bize wananunua mikate tuu sielewi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji50]tukavuka mikumi mbele huko kumbe hamna lami acha tuanze kurushwarushwa nikasema hapa kumekucha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nauliza tunafika saa ngp wanauliza kwani nashukia wapi nikasema Mahenge wakasema kua mpole sana kwa saa hizi wewe unaweza kufika saa 4 usiku.
Tukafika mang'ora Kuna kona moja hivi basi likazama kwenye matope. Halichomoki. Tukashuka hapo ikachukua kama masaa 2mpk likatoka.
Safari ikaendelea mpk tunatoboa Ifakara saa kumi jioni. Nilikaa na mtoto wa Ifakara girls machipi ye Kashukia kibaoni.
Tumefika Ifoza naskia wanaoenda Mahenge watoe tickets tukatoa nenda kwenye buti uchukue mizigo. Nashangaaaa tuu nini hiki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukamfuata yule mtu kufumba na kufumbua tumefaulishwa kwenye lori (canter la kimchongo) wenyewe wanaita mdedea nikasema Kwisha habari yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikua msimu wa mvua mwezi WA 2 hivi basi tumeenda na Lori mpk kivukoni tukavuka na Pantoni maji yalikua mengi sana kule ndani wakati wa kutoka na kuingia inabidi uvue viatu lile sijui ndo gata halifiki mwisho kwenye kingo. Ukitoka uvae viatu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kula saana samaki pale safari ikaendelea giza likaingia story kama zote tumefika mbele dereva analalamika tumekua wazito Ndololo hatoboi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Likaja nyuma yetu Lori kubwa kidogo nakumbuka lilikua fuso wakashauri tuache mizigo kama ni mingi tuingie (tufaulishwe tena) kwenye fuso hasa wanaume tukaingia ndani saa 4 usiku tukatoboa Mahenge. Tumefika tunasubiri sasa canter Ifike huku tunasali kimoyomoyo kuhusu mizigo. Anyway kwenye saa 5 hivi likafika kila kitu kulikua sawa. Tukaingia Shule kumbe wanafunzi mle ndani tulikua 70%
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mi nimesoma advanced pale 2007/2009, na sio kwamba shule nyingine za gavoo walikuwa wanaruhusu, hata shule niliyosoma ya o level simu ilikuwa ni kosa la kukufukuzisha shule, ila pale Kwiro simu tulikuwa tunaruhusiwa kuwa nazoMiaka ipi hiyo? Mbna maajabu khaaah.
Siku hizi shule zote za GVT hawaruhusu Cm.
Mwambie tuliwekewa kabisa na sehemu za kuchaji Kule Dining Hall. Yaani Head master anauliza wanafunzi kama Kuna mtu anauza vocha za Tigo [emoji23][emoji23][emoji23]Mi nimesoma advanced pale 2007/2009, na sio kwamba shule nyingine za gavoo walikuwa wanaruhusu, hata shule niliyosoma ya o level simu ilikuwa ni kosa la kukufukuzisha shule, ila pale Kwiro simu tulikuwa tunaruhusiwa kuwa nazo
Nitamuuliza Mwl Mapunda kama unachosema ni cha kweli au unawapotosha wapwa.Mi nimesoma advanced pale 2007/2009, na sio kwamba shule nyingine za gavoo walikuwa wanaruhusu, hata shule niliyosoma ya o level simu ilikuwa ni kosa la kukufukuzisha shule, ila pale Kwiro simu tulikuwa tunaruhusiwa kuwa nazo
Hapa diningMwambie tuliwekewa kabisa na sehemu za kuchaji Kule Dining Hall. Yaani Head master anauliza wanafunzi kama Kuna mtu anauza vocha za Tigo [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli kabisa. Alichosema mkuu Kuna wakati hapo Kwiro sim ziliruhusiwa niliyokua Form 6 ndo zilikatazwa.Nitamuuliza Mwl Mapunda kama unachosema ni cha kweli au unawapotosha wapwa.
Kama hiyo miaka alikuwepo muulize atakwambiaNitamuuliza Mwl Mapunda kama unachosema ni cha kweli au unawapotosha wapwa.
Kama amesoma hivi karibuni anaweza akadhani tunachangamsha kijiweMwambie tuliwekewa kabisa na sehemu za kuchaji Kule Dining Hall. Yaani Head master anauliza wanafunzi kama Kuna mtu anauza vocha za Tigo [emoji23][emoji23][emoji23]
Nmefika Mahenge, kwa kweli ni sehemu ina mndhari nzuri sana.Mahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro na kabila la Wapogoro ndio wanapatikana huko. Ikiwa eneo la juu (Mlimani) na hali ya hewa ya ubaridi na mvua mvua.
Wilaya hii ina vivutio na siri nyingi mno, kihistoria,kiserikali na hata kidini (Je, umewahi kuisikia Wilaya hii na unapata picha gani juu yake?)
Vivutio; kwa upande wa vivutio kuna;
1. Kabila lenyewe linalopatikana huko (wapogoro) asili yao na lugha yao,tamaduni na style yao ya maisha. (kuoana ndugu mradi wasitike nababu mmoja) Uzuri wa wanawake wao wana miili yenye nguvu mno..
2. Ardhi na landscape yake, jinsi kulivyo na miinuko na misitu na vile ambavyo mji umechongwa.
3. Majengo ya mjerumani (boma) ambalo linatumika kama ofisi kuu za serikali (wilayani) na jengo la mkuu wa wilaya . Lakini pia majengo ya wamisionari (kanisa katoliki la tatu kwa ukubwa la tanzania lilojengwa kwa mawe tupu na mji wake ikijumuisha na shule zilojengwa na wao)
4. Misitu na miti pekee, na alama zilowekwa juu ya milima na misituni na wakoloni, hivyo ni baadhi.
Siri zilizoko;
1. Kuna madini ya aina mbali mbali yanayopatikana na kuchimbwa huko (rubi, spinal, greentomalin, uno, dhahabu na hata almasi)
2. Kutokana ni mji wa kikoloni, Mjerumani na Muingereza walikuwako huko hivyo alama zao juu ya milima na misitu zinamaana fulani, je ni ipi?
3. Kwanini wilaya hii licha ya kuwa na vyote hivi lakini bado imefungwa kimawasiliano ya barabara??? njia ni mbovu lakini pia haitoki inatoka kwa njia za mikato pekee.
4. Toka miaka viongozi wake wamekuwa wakinifaidisha wao, maajabu maendeleo yao pia yamekuwa hayaonekani sio kwa wao tu hata kwa ndugu zao (viongozi walowahi kutoka huko kwa uchache Late Amati liyumba aliwahi kuwa BOT, Late Mama Celina kombani alikuwa mbunge kabla CCM hawakumpa asante ya kumuweka mwanae kuwa mbunge baada ya mama yake Bw. Goodluck Mlinga ambae ameshindwa kuchukua jimbo mara baada ya miaka mitano kuisha .Sasa linashikiliwa na Bw. Almasi.
Je, kwanini hakuna maendeleo?
Je, kwanini viongozi wa huko ni kama wanaogopwa na wapogoro?
Je, kwanini mpaka leo barabara ni ya vumbi na kuna muda inakuwa mbaya na chafu kabisa?? kama unaogopa mlima kitonga basi usiendeshe kwenda Mahenge kuna mlima unaitwa ndororo ni hatari mno..
Kwa nini Viongozi wanaweza kaa msimu mzima wakaenda tembelea jimbo mara moja? especially walopita!!
Mimi nimeeleza vitu baadhi, waeza jazia vingine vile unafahamu kuhusu mji huu pia kuweza kualika kiongozi unae mjua aje ajibu baadhi ya hoja. Pia hata kueleza maswahibu au vituko ulivyowahi kutana navyo kwa mji huu maana na hata uchawi upo na wanatumia live.
cc: Goodlucky Mlinga
cc: Mkuu wilaya Mahenge Ulanga na mkurugenzi wake..
cc: Mbunge wa sasa Bw. Almasi
Yupo kwiro tangu 2006.Kama hiyo miaka alikuwepo muulize atakwambia
Hii ndio simulizi sahihi sasa ya wakati huoMara ya Kwanza naenda mahenge 2011 nilishangaa sana [emoji23][emoji23]nimezoea mabasi kutoka mikoa yetu ya kazkazini nikisafiri ukikata ticket seat yako ni yako Kuna luxury na semi luxury uwezo wako tuu.
Nimefika Msamvu nikapata ticket ya kesho yake Alisaed nakumbuka ilikua 17000/=mpk mahenge. Nikahakikishiwa kua basi litatoka Dar litafika Msamvu saa 4.
Kesho yake nimefika saa 3 Msamvu tumekaa mpk saa 5:30 hakuna kitu tunaangaliana tuu. Basi limefika tukaambiwa kila mtu abebe mizigo yake basi lipo Ofisini pale mbele kwenye sheli yao. Aisee sasa si mngesema mapema.
Kufika pale naingia ndani ya basi limejaa siti yangu ina mtu kaanzia Dar safari na yeye kakatiwa seat hiyo hiyo aisee nilichoka. Nikashuka nawaambia naona maneno meengi nikaishia kupata seat mwishoni kabisa. Wengine wamekalia vigoda na ndoo katikati. Nikasema amaaa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safari ikaanza naona watu wapo bize wananunua mikate tuu sielewi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji50]tukavuka mikumi mbele huko kumbe hamna lami acha tuanze kurushwarushwa nikasema hapa kumekucha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nauliza tunafika saa ngp wanauliza kwani nashukia wapi nikasema Mahenge wakasema kua mpole sana kwa saa hizi wewe unaweza kufika saa 4 usiku.
Tukafika mang'ora Kuna kona moja hivi basi likazama kwenye matope. Halichomoki. Tukashuka hapo ikachukua kama masaa 2mpk likatoka.
Safari ikaendelea mpk tunatoboa Ifakara saa kumi jioni. Nilikaa na mtoto wa Ifakara girls machipi ye Kashukia kibaoni.
Tumefika Ifoza naskia wanaoenda Mahenge watoe tickets tukatoa nenda kwenye buti uchukue mizigo. Nashangaaaa tuu nini hiki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tukamfuata yule mtu kufumba na kufumbua tumefaulishwa kwenye lori (canter la kimchongo) wenyewe wanaita mdedea nikasema Kwisha habari yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilikua msimu wa mvua mwezi WA 2 hivi basi tumeenda na Lori mpk kivukoni tukavuka na Pantoni maji yalikua mengi sana kule ndani wakati wa kutoka na kuingia inabidi uvue viatu lile sijui ndo gata halifiki mwisho kwenye kingo. Ukitoka uvae viatu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kula saana samaki pale safari ikaendelea giza likaingia story kama zote tumefika mbele dereva analalamika tumekua wazito Ndololo hatoboi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Likaja nyuma yetu Lori kubwa kidogo nakumbuka lilikua fuso wakashauri tuache mizigo kama ni mingi tuingie (tufaulishwe tena) kwenye fuso hasa wanaume tukaingia ndani saa 4 usiku tukatoboa Mahenge. Tumefika tunasubiri sasa canter Ifike huku tunasali kimoyomoyo kuhusu mizigo. Anyway kwenye saa 5 hivi likafika kila kitu kulikua sawa. Tukaingia Shule kumbe wanafunzi mle ndani tulikua 70%
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Basi anajua kuwa simu wanafunzi kipindi hicho tulikuwa tunaruhisiwa kuwa nazoYupo kwiro tangu 2006.