Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hapana.Kwa Mwalimu nani, huenda tulikuwa wote
Sasa mimi nipo darasani napata sms ya njoo ule wali samaki napata wapi akili ya kupambana na vitoto na kusumbuana😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makubwaaaa khaaah
Kheeeeh kwan zaman walikua wanaruhusu CM??Sasa mimi nipo darasani napata sms ya njoo ule wali samaki napata wapi akili ya kupambana na vitoto na kusumbuana[emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui kwa siku hizi, kipindi hicho simu zilikuwa zinaruhusiwa tena tukifika darasani mwalimu anasema zimeni simu au weka silent la sivyo nitakutoa darasani, ila o level walikuwa hawaruhusiwi kuingia na simu darasaniKheeeeh kwan zaman walikua wanaruhusu CM??
Sie Kwiro boys tulikuwa tunaita Kwiro university 😂😂😂Kheeeeh kwan zaman walikua wanaruhusu CM??
Hao naona umefanya chips yai mixer nyama kuku.Wakarimu sana na wana umoja, ila shida yao moja hawapendi kuona mwenzao kafanikiwa hawachelewi kukuloga. Machizi wengi wa huku wengi wao walilogwa na ndgu zao. Kwahyo uchawi upo na ukihisiwa basi unapelekwa kwa wataalamu unanyolewa nywele zote wanaamini hutakuwa na nguvu tena, na ukitaka kurudia uchawi tn basi utakufa. Unafiki pia haupo nyuma
Hadi alipokuja Bwana Agapit Ndorobo , naye akaanzisha miradi mipya ya mashule na kujaza warangi wenzake toka Dodoma kuja kuisimamia as if locals cant do.Kuna kipindi huko nyuma kanisa katoliki lilikuwa na changamoto ya kufaeiki kwa maaskofu wake wanaoteuliwa kuongoza jimbo kuu la Mahenge
Wewe bruda mtoro, pale Friary mlikuwa mnasomea upadri au mlikuwa mnajifunza maisha ya ubruda wa Mtakatifu Fransisco wa Asizi ?Uzi umenirudisha 1996-1999 nikisomea upadri kukaa Kasita Friary pembeni ya Kasita seminary. Kimasiara sana watoto wa Uponera village. Siku mkitoka out kwa Mama Choma anatuficha Askofu asitukamate. Igota,
Lupiro , itete Mtimbira Kalengakero mpaka Malinyi mchaga Mimi nimekatiza nchi khaaa. Tanzania nzuri sana.
Sio hadithi ni kisa cha kweli.hii hadithi mliwahi kuisikia na chanzo kilikuwa kiongozi wa kanisa katoloki wa hukohuko Mahenge.
Ulimla jichoKuna mtoto mmoja alikuwa anaitwa hadija NI mpogolo.mtoto ana kalio alafu ni black
Nambie mkuu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee hapana.
Usikute hata hujawahi ajiriwa JF Ina waongoHiyo wilaya sina ham nayo[emoji27] niliajriwa huko aisee unaweza kuhisi hauko Tanzania
But nashukuru kuajiriwa mazingira mabaya kama hayo ndo kulipelekea niache kazi now nimejiajir na na maisha yangu supper but hiyo Wilaya [emoji119][emoji119][emoji119]
Kiboko yenu kwenye soka walikuwa Kasita Seminary.Sie Kwiro boys tulikuwa tunaita Kwiro university [emoji23][emoji23][emoji23]
Huo ufuska haupo upogoroni.Ulimla jicho
Halafu serikali ikisema 80% ya vijana wana ajira wanaanza kulia lia, kumbe kuna wengine ajira wanazikataa.Usikute hata hujawahi ajiriwa JF Ina waongo
Miaka gani hiyo? Kwiro pale tulishashindikana 2014 pale namaliza hakukuwa na unyonge kiasi hichoKiboko yenu kwenye soka walikuwa Kasita Seminary.
Kumbe umemaliza Kwiro juzi tu.Miaka gani hiyo? Kwiro pale tulishashindikana 2014 pale namaliza hakukuwa na unyonge kiasi hicho
Umenikumbusha siku moja bwana tunakipiga pale uwanjani si wakatufunga goli moja, dakika za lala salama jamaa mmoja akaenda kukaa golini, ukapigwa mpira wakati unataka kutoka nje jamaa akauunganisha kwenye nyavu na watu wakashangilia na mechi ikaisha hapo hapo kwa vurugu😂😂😂Kiboko yenu kwenye soka walikuwa Kasita Seminary.