Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Wakarimu sana na wana umoja, ila shida yao moja hawapendi kuona mwenzao kafanikiwa hawachelewi kukuloga. Machizi wengi wa huku wengi wao walilogwa na ndgu zao. Kwahyo uchawi upo na ukihisiwa basi unapelekwa kwa wataalamu unanyolewa nywele zote wanaamini hutakuwa na nguvu tena, na ukitaka kurudia uchawi tn basi utakufa. Unafiki pia haupo nyuma
Hao naona umefanya chips yai mixer nyama kuku.
 
Uzi umenirudisha 1996-1999 nikisomea upadri kukaa Kasita Friary pembeni ya Kasita seminary. Kimasiara sana watoto wa Uponera village. Siku mkitoka out kwa Mama Choma anatuficha Askofu asitukamate. Igota,
Lupiro , itete Mtimbira Kalengakero mpaka Malinyi mchaga Mimi nimekatiza nchi khaaa. Tanzania nzuri sana.
Wewe bruda mtoro, pale Friary mlikuwa mnasomea upadri au mlikuwa mnajifunza maisha ya ubruda wa Mtakatifu Fransisco wa Asizi ?
 
Hiyo wilaya sina ham nayo[emoji27] niliajriwa huko aisee unaweza kuhisi hauko Tanzania
But nashukuru kuajiriwa mazingira mabaya kama hayo ndo kulipelekea niache kazi now nimejiajir na na maisha yangu supper but hiyo Wilaya [emoji119][emoji119][emoji119]
Usikute hata hujawahi ajiriwa JF Ina waongo
 
Nasikiaga huko ndiko aliko toka BABA,
nakumbuka miaka kadhaa nilikuja kumzika MAMA (mke wa baba)
Kupitia daraja la magufuli, LUPIRO, KICHANGANI, hadi IKUNGUA....
Tulipo zika tu, nikasepa, hadi leo na baadhi ya ndugu zangu siwajui, hata LUGHA yao siijui kabisaaa!!
ILA NIKISIKIAGA PANAJWA mtima una lipuka,
Na kila wa huko ninaye kutanana naye nahisi kama ni ndugu yang,
HATA PISI ZA HUKO, NIKI KUTANA NAZO, nahofia kupenyeza mdudu,
ISIJE NASA KWA SISTER ikawa TIMBWILI TIMBWILI....

ila pako pouwa, japo njia ni mbaya mno kutoka mikumi to Ifakara....
 
Kiboko yenu kwenye soka walikuwa Kasita Seminary.
Umenikumbusha siku moja bwana tunakipiga pale uwanjani si wakatufunga goli moja, dakika za lala salama jamaa mmoja akaenda kukaa golini, ukapigwa mpira wakati unataka kutoka nje jamaa akauunganisha kwenye nyavu na watu wakashangilia na mechi ikaisha hapo hapo kwa vurugu😂😂😂
 
Back
Top Bottom