Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Nasikiaga huko ndiko aliko toka BABA,
nakumbuka miaka kadhaa nilikuja kumzika MAMA (mke wa baba)
Kupitia daraja la magufuli, LUPIRO, KICHANGANI, hadi IKUNGUA....
Tulipo zika tu, nikasepa, hadi leo na baadhi ya ndugu zangu siwajui, hata LUGHA yao siijui kabisaaa!!
ILA NIKISIKIAGA PANAJWA mtima una lipuka,
Na kila wa huko ninaye kutanana naye nahisi kama ni ndugu yang,
HATA PISI ZA HUKO, NIKI KUTANA NAZO, nahofia kupenyeza mdudu,
ISIJE NASA KWA SISTER ikawa TIMBWILI TIMBWILI....

ila pako pouwa, japo njia ni mbaya mno kutoka mikumi to Ifakara....
Kwa huna ndugu wanaoweza kupa historia ya kwenu ?
 
Umenikumbusha siku moja bwana tunakipiga pale uwanjani si wakatufunga goli moja, dakika za lala salama jamaa mmoja akaenda kukaa golini, ukapigwa mpira wakati unataka kutoka nje jamaa akauunganisha kwenye nyavu na watu wakashangilia na mechi ikaisha hapo hapo kwa vurugu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vijana wale wa Kasita na Kwiro walikuwa na fujo za hovyo hovyo sana, sisi tulikuwa tunawachora tu. Cha ajabu walikuwa na ma beef ya kugombania mademu wa St Agnes na Regna Mundi.


"Sisi"
 
Wapogoro wanahamasishana kwenda kwa Nyerere kumpokea kwa shangwe

"Tukamfil bab nyerer, Tukamfil bab nyerer."

Nyerere akaona usinitanie, nduki akala kona na mkutano haukufanyika[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vijana wale wa Kasita na Kwiro walikuwa na fujo za hovyo hovyo sana, sisi tulikuwa tunawachora tu. Cha ajabu walikuwa na ma beef ya kugombania mademu wa St Agnes na Regna Mundi.


"Sisi"
Kwiro ilikua ya Kibabe sana enzi hizo kila term Kuna migomo sio chini ya miwili ukiingia class Kuna viti na meza vya watu wa 5 hivi vingine porini na Ile chemba kule juu inaitwa chemba mavi..... Kuna choo kule juu kulikua kinaitwa Serbia [emoji23][emoji23][emoji23]wadau walikua wanazama serbia na kikopo na boxa au bukta.

Kazi za kupasua kuni duuh. Mimama ya mahenge inagawa burebure tena akijua wewe ni advance level (wanaita secondary sana) unapewa mbususu tuuu. Nilikua naponea kwa nesi mmoja kule hospital no zake nilipoteza sijui hata yupo wapi.

Baridi +Radi mvua zikinyesha ni balaa mvua inanyesha kweli kweli nilikwenda mwaka juzi kama kutalii hakuna tena zile fun moments kama kuvuka kilombero na Pantoni.... Enzi hizo basi mbili tuu Alisaed na Morobest.
 
Miaka gani hiyo? Kwiro pale tulishashindikana 2014 pale namaliza hakukuwa na unyonge kiasi hicho
Nyie madogo ndo mlimtoa kimbunga pale. Alikua anazingua sana. Mimi nilitoka pale 2013 nakumbuka ndo mwaka haya mambo ya kwenda Jeshi yalianza.
 
Kwiro ilikua ya Kibabe sana enzi hizo kila term Kuna migomo sio chini ya miwili ukiingia class Kuna viti na meza vya watu wa 5 hivi vingine porini na Ile chemba kule juu inaitwa chemba mavi..... Kuna choo kule juu kulikua kinaitwa Serbia [emoji23][emoji23][emoji23]wadau walikua wanazama serbia na kikopo na boxa au bukta.

Kazi za kupasua kuni duuh. Mimama ya mahenge inagawa burebure tena akijua wewe ni advance level (wanaita secondary sana) unapewa mbususu tuuu. Nilikua naponea kwa nesi mmoja kule hospital no zake nilipoteza sijui hata yupo wapi.

Baridi +Radi mvua zikinyesha ni balaa mvua inanyesha kweli kweli nilikwenda mwaka juzi kama kutalii hakuna tena zile fun moments kama kuvuka kilombero na Pantoni.... Enzi hizo basi mbili tuu Alisaed na Morobest.
Morobest ile ligi ilimshinda, wamebaki Kidinilo na Al Saedy tu.
 
Kumbe umemaliza Kwiro juzi tu.

Anyway miaka ya 2000 hadi 2010 , Kasita amewakimbiza sana watoto wa Kwiro kwenye soka.
Sawa ila kipindi nimejoin pale advance mpaka namaliza ndio shule ilikuwa ina fujo sana na kwenye michezo hakuna aliyeweza ku battle na sisi.
 
Nyie madogo ndo mlimtoa kimbunga pale. Alikua anazingua sana. Mimi nilitoka pale 2013 nakumbuka ndo mwaka haya mambo ya kwenda Jeshi yalianza.
Alikuwa anazngua yule mzee na watu walishapinda kipindi kile sabb ya shule ilishaanza kuwa ya kifala kwa mambo yake
 
Morobest ile ligi ilimshinda, wamebaki Kidinilo na Al Saedy tu.
Mara ya Kwanza naenda mahenge 2011 nilishangaa sana [emoji23][emoji23]nimezoea mabasi kutoka mikoa yetu ya kazkazini nikisafiri ukikata ticket seat yako ni yako Kuna luxury na semi luxury uwezo wako tuu.

Nimefika Msamvu nikapata ticket ya kesho yake Alisaed nakumbuka ilikua 17000/=mpk mahenge. Nikahakikishiwa kua basi litatoka Dar litafika Msamvu saa 4.

Kesho yake nimefika saa 3 Msamvu tumekaa mpk saa 5:30 hakuna kitu tunaangaliana tuu. Basi limefika tukaambiwa kila mtu abebe mizigo yake basi lipo Ofisini pale mbele kwenye sheli yao. Aisee sasa si mngesema mapema.

Kufika pale naingia ndani ya basi limejaa siti yangu ina mtu kaanzia Dar safari na yeye kakatiwa seat hiyo hiyo aisee nilichoka. Nikashuka nawaambia naona maneno meengi nikaishia kupata seat mwishoni kabisa. Wengine wamekalia vigoda na ndoo katikati. Nikasema amaaa kweli. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Safari ikaanza naona watu wapo bize wananunua mikate tuu sielewi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji50]tukavuka mikumi mbele huko kumbe hamna lami acha tuanze kurushwarushwa nikasema hapa kumekucha. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nauliza tunafika saa ngp wanauliza kwani nashukia wapi nikasema Mahenge wakasema kua mpole sana kwa saa hizi wewe unaweza kufika saa 4 usiku.

Tukafika mang'ora Kuna kona moja hivi basi likazama kwenye matope. Halichomoki. Tukashuka hapo ikachukua kama masaa 2mpk likatoka.

Safari ikaendelea mpk tunatoboa Ifakara saa kumi jioni. Nilikaa na mtoto wa Ifakara girls machipi ye Kashukia kibaoni.

Tumefika Ifoza naskia wanaoenda Mahenge watoe tickets tukatoa nenda kwenye buti uchukue mizigo. Nashangaaaa tuu nini hiki [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tukamfuata yule mtu kufumba na kufumbua tumefaulishwa kwenye lori (canter la kimchongo) wenyewe wanaita mdedea nikasema Kwisha habari yangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ilikua msimu wa mvua mwezi WA 2 hivi basi tumeenda na Lori mpk kivukoni tukavuka na Pantoni maji yalikua mengi sana kule ndani wakati wa kutoka na kuingia inabidi uvue viatu lile sijui ndo gata halifiki mwisho kwenye kingo. Ukitoka uvae viatu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kula saana samaki pale safari ikaendelea giza likaingia story kama zote tumefika mbele dereva analalamika tumekua wazito Ndololo hatoboi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Likaja nyuma yetu Lori kubwa kidogo nakumbuka lilikua fuso wakashauri tuache mizigo kama ni mingi tuingie (tufaulishwe tena) kwenye fuso hasa wanaume tukaingia ndani saa 4 usiku tukatoboa Mahenge. Tumefika tunasubiri sasa canter Ifike huku tunasali kimoyomoyo kuhusu mizigo. Anyway kwenye saa 5 hivi likafika kila kitu kulikua sawa. Tukaingia Shule kumbe wanafunzi mle ndani tulikua 70%
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sawa ila kipindi nimejoin pale advance mpaka namaliza ndio shule ilikuwa ina fujo sana na kwenye michezo hakuna aliyeweza ku battle na sisi.
Mlikuwa mna advantage ya idadi kubwa kuliko your neighbouring school.
 
Kipangaspecial by anychance kuna yeyote alie kuwepo mahenge enzi za Jambazi Samson mndewa?? mwamba alotingisha mahenge.. mpaka mkoa??
 
Wewe bruda mtoro, pale Friary mlikuwa mnasomea upadri au mlikuwa mnajifunza maisha ya ubruda wa Mtakatifu Fransisco wa Asizi ?

Pale Kasita Friary ni kituo cha malezi kuna wanaosomea upadri kama Mimi na wengine ubruda. We mtoto wa Uponera au Isongo.
 
Hadi alipokuja Bwana Agapit Ndorobo , naye akaanzisha miradi mipya ya mashule na kujaza warangi wenzake toka Dodoma kuja kuisimamia as if locals cant do.
Ni kweli at least mhaahamu agapit ndorobo amekaa, ila huko nyuma ilikuwa hatari
 
Wapogoro wanahamasishana kwenda kwa Nyerere kumpokea kwa shangwe

"Tukamfil bab nyerer, Tukamfil bab nyerer."

Nyerere akaona usinitanie, nduki akala kona na mkutano haukufanyika[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom