Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Wapogoro kiasili ni "user friendly" na Ikulu/ TISS kwasababu wana sifa kubwa moja- unafiki.

Yaani aweza kukusikiliza na kucheka sana nawe au kujifanya hakusikilizi lakini kumbe amekurekodi kila ulokisema.
 
Nimeipenda hiyo
 
Wapogoro kiasili ni "user friendly" na Ikulu/ TISS kwasababu wana sifa kubwa moja- unafiki.

Yaani aweza kukusikiliza na kucheka sana nawe au kujifanya hakusikilizi lakini kumbe amekurekodi kila ulokisema.
Aisee kumbe ndio maana wapo huko sana kitambo.
 
Wapogoro mpo, njooni kuna mada yenu hapa mpaka wali wenu unazungumzwa hapa
 
Na ieleweke Mali zote ni za Mtanzania.
 
Naomba mwenye Picha za majengo ya Zamani Huko Upogoroni na Hiyo milima mikali na hizo historical Sites jijue nianzie wapi cwez kufa maskini Mimi
 
Wapogoro kiasili ni "user friendly" na Ikulu/ TISS kwasababu wana sifa kubwa moja- unafiki.

Yaani aweza kukusikiliza na kucheka sana nawe au kujifanya hakusikilizi lakini kumbe amekurekodi kila ulokisema.
Aiseeeeh. Kwamba Tiss ndio inapenda watu wa aina hiyo?
 
๐—ก๐—ฎ๐—ต๐—ถ๐˜๐—ฎ๐—ท๐—ถ ๐—ธ๐˜‚๐—ท๐—ฎ ๐—ธ๐˜‚๐˜๐—ฎ๐—ณ๐˜๐—ฎ ๐—ต๐—ฎ๐˜‡๐—ถ๐—ป๐—ฎ ๐˜‡๐—ถ๐—น๐—ถ๐˜‡๐—ผ ๐—ณ๐—ถ๐—ฐ๐—ต๐˜„๐—ฎ ๐—ต๐˜‚๐—ธ๐—ผ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ