Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Jimbo katoliki la Mahenge (kwa Kilatini Dioecesis Mahengensis) ni mojawapo kati ya majimbo 34 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Roma.

Makao makuu yake yako Mahenge katika mkoa wa Morogoro.

Kikanisa linahusiana na jimbo kuu la Dar-es-Salaam.

Askofu wake ni Agapiti Ndorobo.


Historia​


MaaskofuEdit

Sasa ushahidi kuhusu kauli yako ni upi hapo?
 
Maaskofu
Patrick Iteka
Nikasius Kipengele
Elias Mchonde
wote walifariki wakiwa ni maskofu wa Jimbo hilo.
Historia inaonyesha hilo ndilo jimbo linaloongoza Tanzania kwa maaskofu kufariki wakiwa madarakani
Lakini baada ya hapo Agapiti Ndorobo kakaa muda mrefu . Haina maana kwamba wakifa ni mkosi ama kurogwa ...

Tatizo la makasisi/màaskofu ni kutozingatia lishe bora matokeo yake wote huandamwa na magonjwa ya WAJINGA kama vile Moyo, sukari, ini, figo, mapafu, kansa
 
Lakini baada ya hapo Agapiti Ndorobo kakaa muda mrefu . Haina maana kwamba wakifa ni mkosi ama kurogwa ...

Tatizo la makasisi/màaskofu ni kutozingatia lishe bora matokeo yake wote huandamwa na magonjwa ya WAJINGA kama vile Moyo, sukari, ini, figo, mapafu, kansa

hapo kwenye maaskofu kutozingatia lishe bora sikubaliani na wewe.
Nilihudhuria misa ya daraja takatifu la uaskofu ya Askofu agapiti ndorobo nikitokea jimbo kuu Dodoma kama mseminaristi
Kusema kweli kule Mahenge suala la ushirikina kwenye vifo vya maaskofu waliopita lilikuwa linazungumzwa
 
hapo kwenye maaskofu kutozingatia lishe bora sikubaliani na wewe.
Nilihudhuria misa ya daraja takatifu la uaskofu ya Askofu agapiti ndorobo nikitokea jimbo kuu Dodoma kama mseminaristi
Kusema kweli kule Mahenge suala la ushirikina kwenye vifo vya maaskofu waliopita lilikuwa linazungumzwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Lakini baada ya hapo Agapiti Ndorobo kakaa muda mrefu . Haina maana kwamba wakifa ni mkosi ama kurogwa ...

Tatizo la makasisi/màaskofu ni kutozingatia lishe bora matokeo yake wote huandamwa na magonjwa ya WAJINGA kama vile Moyo, sukari, ini, figo, mapafu, kansa
Kuna waliofariki kwa ajali hapo, hilo halihusiana na msosi japo mapadre wetu kwa misosi sio wachovu.
 
hapo kwenye maaskofu kutozingatia lishe bora sikubaliani na wewe.
Nilihudhuria misa ya daraja takatifu la uaskofu ya Askofu agapiti ndorobo nikitokea jimbo kuu Dodoma kama mseminaristi
Kusema kweli kule Mahenge suala la ushirikina kwenye vifo vya maaskofu waliopita lilikuwa linazungumzwa
So Ndorobo ni dawa ya vigagula vya kipogoro ?
 
Mahenge ni wilaya inayopatikana kusini mwa mkoa wa Morogoro na kabila la Wapogoro ndio wanapatikana huko. Ikiwa eneo la juu (Mlimani) na hali ya hewa ya ubaridi na mvua mvua.

Wilaya hii ina vivutio na siri nyingi mno, kihistoria,kiserikali na hata kidini (Je, umewahi kuisikia Wilaya hii na unapata picha gani juu yake?)

Vivutio; kwa upande wa vivutio kuna;
1. Kabila lenyewe linalopatikana huko (wapogoro) asili yao na lugha yao,tamaduni na style yao ya maisha. (kuoana ndugu mradi wasitike nababu mmoja) Uzuri wa wanawake wao wana miili yenye nguvu mno..

2. Ardhi na landscape yake, jinsi kulivyo na miinuko na misitu na vile ambavyo mji umechongwa.

3. Majengo ya mjerumani (boma) ambalo linatumika kama ofisi kuu za serikali (wilayani) na jengo la mkuu wa wilaya . Lakini pia majengo ya wamisionari (kanisa katoliki la tatu kwa ukubwa la tanzania lilojengwa kwa mawe tupu na mji wake ikijumuisha na shule zilojengwa na wao)

4. Misitu na miti pekee, na alama zilowekwa juu ya milima na misituni na wakoloni, hivyo ni baadhi.

Siri zilizoko;
1. Kuna madini ya aina mbali mbali yanayopatikana na kuchimbwa huko (rubi, spinal, greentomalin, uno, dhahabu na hata almasi)

2. Kutokana ni mji wa kikoloni, Mjerumani na Muingereza walikuwako huko hivyo alama zao juu ya milima na misitu zinamaana fulani, je ni ipi?

3. Kwanini wilaya hii licha ya kuwa na vyote hivi lakini bado imefungwa kimawasiliano ya barabara??? njia ni mbovu lakini pia haitoki inatoka kwa njia za mikato pekee.

4. Toka miaka viongozi wake wamekuwa wakinifaidisha wao, maajabu maendeleo yao pia yamekuwa hayaonekani sio kwa wao tu hata kwa ndugu zao (viongozi walowahi kutoka huko kwa uchache Late Amati liyumba aliwahi kuwa BOT, Late Mama Celina kombani alikuwa mbunge kabla CCM hawakumpa asante ya kumuweka mwanae kuwa mbunge baada ya mama yake Bw. Goodluck Mlinga ambae ameshindwa kuchukua jimbo mara baada ya miaka mitano kuisha .Sasa linashikiliwa na Bw. Almasi.

Je, kwanini hakuna maendeleo?

Je, kwanini viongozi wa huko ni kama wanaogopwa na wapogoro?

Je, kwanini mpaka leo barabara ni ya vumbi na kuna muda inakuwa mbaya na chafu kabisa?? kama unaogopa mlima kitonga basi usiendeshe kwenda Mahenge kuna mlima unaitwa ndororo ni hatari mno..

Kwa nini Viongozi wanaweza kaa msimu mzima wakaenda tembelea jimbo mara moja? especially walopita!!

Mimi nimeeleza vitu baadhi, waeza jazia vingine vile unafahamu kuhusu mji huu pia kuweza kualika kiongozi unae mjua aje ajibu baadhi ya hoja. Pia hata kueleza maswahibu au vituko ulivyowahi kutana navyo kwa mji huu maana na hata uchawi upo na wanatumia live.

cc: Goodlucky Mlinga
cc: Mkuu wilaya Mahenge Ulanga na mkurugenzi wake..
cc: Mbunge wa sasa Bw. Almasi
Nimefika Mahenge miaka ya nyuma kidogo. ni mji mdogo uliopo mlimani, kuna seminari, Kanisa la RC ni jimbo kuu la Mahenge kama sijakosea, pembeni ya Kanisa `kuu ipo sekondari maarufu na ya siku nyingi ya Kwiro, pale sokoni wamejaa Wanyakyusa, tatizo la Mahenge ni sawa na tatizo la kwa akina Zitto yaani Kigoma, wengi wao wanaamini sana mambo ya uchawi na hawataki kujenga kwao kuhofia kurogwa, hivyo ndio wanadai, lakini mimi sababu kuu ya kudumaa kwa miji ya aina ya Mahenge ambayo inalingana nayo kama vile Liwale, Kilosa, ni kutokuwa na barabara kuu zenye viwango vya lami, kwani maendelo huletwa na muunganiko wa barabara zinazopitika wakati wote yaani za kiwango cha lami .
 
Sasa najua kwanini mzee hataki kwenda kwao ....,me mpogoro aseee ila sijui kama wapogoro wana makalio makubwa[emoji1787]
 
Yeah ukiacha udzungwa hiyo ni Kilombero, mahenge pia kuna sehemu yaitwa man'guls kuna sanduku kabisa lina kufuli kubwa wote wanaogopa kufungua, wazungu huwa wanakuja kila baada ya miaka mitatu wanasindikizwa na askari wanasubir nje jamaa wanaenda fungua chini.
Yaani wazungu wafungue huko chini halafu wabongo wasijue?
 
Ruby si ndo inasemekan riziman amehodhi eneo lote na wachimbaj wametolewa nduki......
 
Nimefika Mahenge miaka ya nyuma kidogo. ni mji mdogo uliopo mlimani, kuna seminari, Kanisa la RC ni jimbo kuu la Mahenge kama sijakosea, pembeni ya Kanisa `kuu ipo sekondari maarufu na ya siku nyingi ya Kwiro, pale sokoni wamejaa Wanyakyusa, tatizo la Mahenge ni sawa na tatizo la kwa akina Zitto yaani Kigoma, wengi wao wanaamini sana mambo ya uchawi na hawataki kujenga kwao kuhofia kurogwa, hivyo ndio wanadai, lakini mimi sababu kuu ya kudumaa kwa miji ya aina ya Mahenge ambayo inalingana nayo kama vile Liwale, Kilosa, ni kutokuwa na barabara kuu zenye viwango vya lami, kwani maendelo huletwa na muunganiko wa barabara zinazopitika wakati wote yaani za kiwango cha lami .
Upo sahihi sana.
 
Back
Top Bottom