Ifahamu Mahenge (Ulanga, Morogoro) na siri zake

Ninachojua kuhusu haya maeneo Tajwa na Watu wake ni Washirikina, Wafitini, wana Roho Mbaya halafu ni Wanadiki wa Kutukuka.
 
Mengi waliweka Ulinzi wa majini wakayaroga majini yasiweze kuondoka maeneo hayo Ili kuficha mali hadi wao au vizazi vyao ndivyo vije kutoa.
Wao huja kama wawekezaji, wakulima, wafadhili,nk.
Hizo Imani tu Kwa mswahili mzungu na majini wapi na wapi
 
Huu uzi unanikumbusha utenzi darasa la tatu miaka ya 90's

Kwetu ukitoka mwenge
Huendelea mahenge
Ila mwakani upange
Kuja kututembelea

Mwenye beti zote za huu utenzi azishushe hapa nikumbuke enzi zangu za Elimu ya shule ya msingi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Unafahamu kwamba Obotte alifichwa kule Sali? Pogoro ni wasiri wakati huohuo ni wanafiki.
 
Unafahamu kwamba Obotte alifichwa kule Sali? Pogoro ni wasiri wakati huohuo ni wanafiki.
Wanafki kwenye nini ?

Kwanini miaka ya baada ya Uhuru Nyerere alipenda sana kuwatumia wapogoro pale usalama wa taifa ?
 
Upo mang'ula A au B
Dah! Hayo maeneo ya Mang'ula A, Mang'ula B, Mwaya, Mgudeni, Kisawasawa, Kiberege, Signal (Ziginali), Sonjo, Mkula, Kidatu, Nyandeo, Mkamba, Ruaha, Ifakara yote, Mahenge, Malinyi, Mngeta kurudi nyuma, nk. Nimepiga sana mishe huko miaka ya 1990's.
 
Uko ndo yanaenda magari yanaitwa KILAMSA?
Nlipanda siku moja na abiria wa uko tukashuka chalinze pale kuna lodge inaitwa MBUTA nkamla kimasihara tukasafiri kesho yake 😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…