Rcrusso Jr
Senior Member
- Jul 26, 2020
- 184
- 421
- Thread starter
-
- #21
Wapogoro huwa wana tabia fulani za kijinga au kipuuzi. Tulikuwa tukihitaji vitu fulani kwao sasa badae walipojua na mwenyeji wetu ni mpogoro wakaanza figisu, yani hawapendani wao kwa wao ndio mana mgeni rahisi kufanikiwa kule kwao.Mpogoro katoka kwao mahenge huko, kuja dar...
Kurudi ndio anawasimulia wenzie kuwa yeye ni mjanja saanna,
"kondakta kusema, ubungu, ubungu nikabanishi, njwii, mpaka manzese kumkomoa dereva" 😂 🤣
Yaani akimaaisha konda gari ilipofika ubungo akatangaza kituo, yeye hakushuka akabana kwenye gari, kaenda kushukia manzese kwa kumkomoa dereva. 😂
Niwe tu mkweli kwa nilivyo wafahanu japo kwa uchache..Tabia za wapogoro zikoje na tamaduni zao nataka kuoa upogoroni
Nadhani kuna fursa za ardhi kubwa kwa mkulima "quickly catchup"Mkuu huu uchambuzi wako ni wakawaida sanaa. Yaan kwa mgeni amabe ume target kumvutia aitambue hiyo wilaya basi naona bado
Kwakweli mabinti wamebarikiwana sio wachoyo hata kidogo kama wewe ni mtu wa kimasihara badi utawakula sana na wana mizigo.Watamu balaa nimemkumbuka "Ester wangu" katoto ka kipogoro kapole kweli, wana ubosi fulani hawapendi tabu.
ndio mana nikaomba kwa wengine waongezee mkuu..Mkuu huu uchambuzi wako ni wakawaida sanaa. Yaan kwa mgeni amabe ume target kumvutia aitambue hiyo wilaya basi naona bado
Ningemwambia huna Shafti hiyo.Nakufira hadi kumoyo
tusaidie kaka ukweli kuhusu nyie... kwa nini hakuna maendeleo kwenu?? kuanzia maisha mpaka miundo mbinu na mfumo mzima wa uongozi??Wapogoro tupo juu hadi umefunguliwa uzi duh...haya bwana, ngoja niende Mwaya nikatafute mahitaji yangu
Fact tweusi tupole tufupi.Kuna mtoto mmoja alikuwa anaitwa hadija NI mpogolo.mtoto ana kalio alafu ni black
Sio kwa Hobie mbumbumbu wewe hayo majoka yana nguvu ya asili ....huwa wana hobi za kufuga vitu vya ajabu mkuu
Hao sio nyoka wa KAWAIDA kwenye Hayo masanduku Hayo ni MAJINI ambayo Ndio huwapa utawala na mali Wana wa ulimwenguni!!!huwa wana hobi za kufuga vitu vya ajabu mkuu
Mpogoro katoka kwao mahenge huko, kuja dar...
Kurudi ndio anawasimulia wenzie kuwa yeye ni mjanja saanna,
"kondakta kusema, ubungu, ubungu nikabanishi, njwii, mpaka manzese kumkomoa dereva" [emoji23] [emoji1787]
Yaani akimaaisha konda gari ilipofika ubungo akatangaza kituo, yeye hakushuka akabana kwenye gari, kaenda kushukia manzese kwa kumkomoa dereva. [emoji23]