Gonga tano gonga tato TUNDU LISUUUUU!!!Mwamba wa Kanda ya kati humjui au unajichetua TUNDU ANTIPAS MNGWAI LISU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gonga tano gonga tato TUNDU LISUUUUU!!!Mwamba wa Kanda ya kati humjui au unajichetua TUNDU ANTIPAS MNGWAI LISU
Kaskazini MremaMwamba wa kanda ya ziwa ni Nyerere
Kusini ni Mkapa
Kaskazini ni Sokoine
Huyo atakuwa mwamba wako na mkeo si ndio alitamka chalamila ashughulikiwe sasa vpHuu mwamba ndiyo rimoti inayopanga safu ya viongozi wa kisiasa.. nani aingie au nani atoke.
Anayekwenda kinyume na muongozo wa rimoti anapumzishwa mazima kama jiwe.
Adui wa taifa huyu.Huu mwamba ndiyo rimoti inayopanga safu ya viongozi wa kisiasa.. nani aingie au nani atoke.
Anayekwenda kinyume na muongozo wa rimoti anapumzishwa mazima kama jiwe.
Kwako Sumaye is nobody?Kibajaji Lusunde Livingston na Dr. Kasheku Joseph Msukuma umewaruka au umeoverlook 🐒
Kigoma Zitto, zamani alikuwa Kaborou wa CHADEMA kabla hajaunga mkono juhudi.Mwamba wa Kigoma aka Tumbiri
Nyerere ni nchi nzimaMagufuli anamzidi Nyerere? Membe anamzidi Mkapa? Lowasa anawazidi Sokoine na Mrema?
Nyerere ni mwamba wa nchi nzimaMwamba wa kanda ya ziwa ni Nyerere
Kusini ni Mkapa
Kaskazini ni Sokoine
🤣kwa hisia kali zaidBila ya SPUNDA HASHIM listi ni batili
Ulishawahi kumuona?Kwamba Oscar Kambona hayumo??
Bila uwepo wa Maalim Seif Sharif Hamad (RIP) huu uzi ni batili, laabda ni uzi wa mwanaCCM