kagera wapo milion 3 Kilimanjaro milion 1 tafakariiWatu wa Kagera na Misifa yote ile kumbe ni Masikini Tu hawa,Hakuna Masikini anaejenga Ghorofa...niwasikie Tena
Mbinga penyewe, songea pagumu hatariHadi leo kwa anaenipanga kimaisha siwezi kumshauri aanzie hapa DSM bora akajikite Mbeya, Njombe, mwanza, Kahama, mafinga, katoro, Tunduma, sehemu ambayo sikuielewa Songea mzunguko uko chini kidogo Mbinga au kwa mtwara masasi.
We umeyaona kweli kwa macho yako? Au umeona kwenye takwimu kama mm!Swali la ajabu! Yako Tanga.
Hii comment kuna watu itawatesa sana.Yaani ukijumlisha majengo ya ghorofa ya Mikoa yote Tanzania bado haifikii kwa Dar..
Aisee Dar ndio Tanzania asikwambie mtu.
Yako Tanga.yako wapi haya?
Utatutweza tozo ukajenge huko?Singida 7
Mwanza na Arusha wanalingana almost sawa kwa ukubwa ila Mbeya bado padogoKumbe ishu ya jiji au mji na maghorofa ni vitu vyenye uhusiano kwa mbali sana ndo natambua leo
Just imagine Mwanza na Mbeya hakuna maghorofa mengi wanazidiwa mpaka na Arusha lakini ndo majiji makubwa ukiacha Dar
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Mapema mwezi wa 8 2022 Kulifanyija sensa ya watu na makazi na matokeo take kutoelewa mwezi wa 10.
Kwa Mujibu wa Matokeo ya sensa,Mikoa 10 ambayo Ina majengo mengi ya maghorofa kwa maana ya makazi, biashara na Taasisi Ni Kama ifuatavyo:
1. Dar es Salaam-32,219
2. Arusha-7,180
3. Tanga-4,282
4. Kilimanjaro-3,540
5. Mwanza-2,481
6. Pwani-1,885
7. Dodoma-1,461
8. Morogoro-1,331
9. Mbeya-1,073
10. Kagera-702.
My Take.
Hii inaonesha pia Hali za maisha za Wananchi wa maeneo husika.
View attachment 2427153
Source:NBS
Ni ajabu kwani? Kilimanjaro maghorofa Mengi yapo wilayani, Vijijin sio pale mjini tu kama ilivyo mwanzaKilimanjaro wana maghorofa mengi kushinda Mwanza?
Umeona Kilimanjaro inavyokimbiza? Kamkoa kadogo lakini hâta mwanza haifui dafuUmeona eeeh!!
Watu hudhani Kilimanjaro ni pale Moshi mjini tu,hawajui Kilimanjaro Vijijin/wilayani maghorofa ni Mengi kuliko mjiniNdio kwani wewe unaonaje kwenye hizo takwimu? [emoji23][emoji23]
Hamjui Kilimanjaro, Kilimanjaro sio pale Moshi mjini tu, Kilimanjaro wilayani/vijijin Kuna majengo na makazi mazuri kuliko mjiniusikute wamehesabia na zile gorofa za kuhifadhia majani makavu ya ng"ombe na mbuzi!
Naam mfano huko Kilimanjaro mijengo ya kifahari IPO Vijijin na wilayani kuliko mjiniHayo maghorofa msifikiri lazima yawepo cbd ya jiji au mji kuna watu wana mijengo migombani huko ila cbd ni hoi
Yapo vijijiniKilimanjaro wana maghorofa mengi kushinda Mwanza?
Kuwa na gorofa nyingi au chache husababishwa na mazingira au geographia ya sehemu husika utaleta vichekesho kwa wenye akili mfano unalo eneo au unakaa ndani ya eneo la hekari 2 then unajenga gorofa hii haipendeziwatu wa arusha na kujitutumua kwao kote mitandaoni, kumbe kamkoa kao kana tugorofa 7180 tu. aisee acheni dar ibaki kuwa dar.