Ifahamu nchi ya Japan na jiji lake lenye viwanda vingi la Nagoya

Ifahamu nchi ya Japan na jiji lake lenye viwanda vingi la Nagoya

Mwanangu hongera kwanza kwa kusoma nje binafsi nimefarijika sana kuona umechukua mda wako kuwa unawajuza vijana wenzako wa Tanzania kuhusu fursa mbalimbali zilizoko huko ng'ambo.

Umeandika vizuri na andiko limeeleza kwa mapana sana lakini napata mashaka na hawa vijana wetu huku nyumbani, hawajawahi na hawana uthubutu wa kuchangamkia fursa za kimataifa pamoja na kuwa na elimu za vyuo bado ni waoga, hawajiamini na hizo elimu zao nadhani Kuna tatizo la mfumo wa elimu hapa nchini

Hata ukiangalia wale wanaofanya kazi kimataifa waliotoka hapa nchini wengi wao wamesoma shule nzuri za binafsi au nje ya nchi, nashukuru kwa maandiko yako usiache kufanya hivo pale unapopata mda Mimi ni msomaji mzuri wa maandiko yako na kuona namna gani ya kuweza kumpa mwanangu elimu nzuri ya chuo ili awe na uwezo wa kimataifa.
 
Mwanangu hongera kwanza kwa kusoma nje binafsi nimefarijika sana kuona umechukua mda wako kuwa unawajuza vijana wenzako wa Tanzania kuhusu fursa mbalimbali zilizoko huko ng'ambo.

Umeandika vizuri na andiko limeeleza kwa mapana sana lakini napata mashaka na hawa vijana wetu huku nyumbani, hawajawahi na hawana uthubutu wa kuchangamkia fursa za kimataifa pamoja na kuwa na elimu za vyuo bado ni waoga, hawajiamini na hizo elimu zao nadhani Kuna tatizo la mfumo wa elimu hapa nchini

Hata ukiangalia wale wanaofanya kazi kimataifa waliotoka hapa nchini wengi wao wamesoma shule nzuri za binafsi au nje ya nchi, nashukuru kwa maandiko yako usiache kufanya hivo pale unapopata mda Mimi ni msomaji mzuri wa maandiko yako na kuona namna gani ya kuweza kumpa mwanangu elimu nzuri ya chuo ili awe na uwezo wa kimataifa.
Heshima yako mama, tuko pamoja mama yangu
 
Hapana mkuu. Nilisema kama unatumia njia kuu ya train. Jina lake linaunganishwa na maneno mawili yenye maana. Neno la kwanza ni Yama=Mlima/milima. Kama unajua kusoma Kanji ni: 山口

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona unanitesa hebu sema bhana au nikupe mji😄😄?
 
Asante mkuu kwa kutujuza ya huko kwa wenzetu,

Vp siri ya mafanikio yako kuishi, kusoma na kupata ajira ughaibuni, au ni mambo ya connection tu?

Na vipi nikija huko Japan kuna fursa ya kuichapa Injili ya Bwana Yesu au ndio hivyo kuwa ni wapinga Kristo.

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Habari yako mtumishi wa mungu, Mimi niliondoka hapo Tz baada ya kumaliza kidato cha sita kipindi hicho serikali ilikuwa na makubaliano na baadhi ya nchi ili kusomesha vijana wake kwenye kozi ambazo ni kipaumbele kwa nchi niliondoka katika mgongo huo na nililipiwa kila kitu na nchi ya Ubelgiji kwenye masomo yangu na tangu kipindi hicho sijarudi.

Kuhusu makanisa, wajapan Wana utamaduni wao wa asili wa kidini wapo wanaoamini kwenye dini ya SHINTO dini inayohusiana na utamaduni maarufu wa kijapan na wengine Buddhism

Makanisa nchini Japan yapo lakini waumini ni wachache sana mjini Tokyo Kuna Lifehouse Tokyo, Mimi nilikuwa nasali Japan Lutheran Church hapohapo Tokyo mengine ambayo yapo karibu hapo ni Tokyo Baptist Church waumini ni wachache sana hasahasa wageni
 
Japan ni nchi iliyopiga hatua kubwa sana kitechnolojia na kimaendeleo. Wazungu wenyewe wakifika Japan wanashangaa.
 
Nimependa ulivyoekezea hakika umeandika kwa nia nzuri,Mungu akubariki.Mimi binafsi nimekuwa na shauku yakufika japan siku moja,mwaka Jana nilijichanganya kidogo tu ilikua niende huko,ila bado sijakata tamaa huenda wakati mwingine na Mimi nikashuhudia hata kwa kuwa Mimi pia ni muumini wakusafiri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom