Huyo ni engener wa computer science,ni zaidi ya IT.Kwa para hiyo ya mwisho inathibitisha kauli yako, kwamba unapenda sana starehe!!
Kwoo mkuu, wewe ni IT au software developer, au fani gani hasa!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu utamaduni wa rush hour nimeshuhudia mara nyingi ukifanyika japo sikutaka kufatilia kiundani binafsi kwanza ulikuwa unaniboa sana, ukifanyika unafanyika mara 2 kwa siku asubuhi na jioni barabara zinafungwa, safari zote zinasimama mpaka wamalize na Kama uko kazini inakubidi uwahi kutoka kabla hawajaanza, kwenye vyakula vyao sikuwa muumini sana Kuna migahama kwa ajili ya vyakula vya kiafrica nilikuwa nakula huko.Vp experience ya rush hour, vyakula vya kijapani (mf. Sushi, sahimi, okonomiaki, natto n.k) na phobia yao kwa watu weusi?!
Pia ni vyema kuwajuza kuhusu maslai yanayotoka na kufanya kazi kwenye nchi tajiri kama Japan.
Hongera sana kwa kuacha damu yako, binti atakuwa alikutunuku nijuavyo ni aghalabu kwa binti wa kijapani kizaa nawatu weusi!!
Kweli mkuu, huyo samaki Mimi alinishinda kabisakatika moja ya kitu kinachonivutia kuhusu wajapani ni vyakula vyao.
huwa nafatilia sana videos zinazozungumzia vyakula vya kijapani toka kwa vloggers mbalimbali kule youtube. wajapan wanakula sana seafood na vyakula vya kiasili hususani vegetables.
utaratibu wao wa kupika ni ule wa kuchemsha badala ya kukangaa rosti kama tunavyopendelea sisi wabantu. jambo lingine katika mapishi yao, huwa hawapendi chakula kiive sana.
Safi sanaQUOTE="Parabora, post: 35292364, member: 558260"]Mbona natoa matumizi mkuu[emoji2]
Ndiyo MAPENZI ya ki-brazil yalinifanya route za hapo zisikatike😄😄, ilikuaje kuwaje mpaka ukarudi? Ama ulirudi kuwekeza?Ha ha haa, vzr sana mkuu. Kumbe ulikuwa unafika Iwakuni! Hapo Iwakuni kuna 'small military base' ya wamarekani. Kwaiyo ni sehemu flani ambayo kuna interaction kubwa na foreigners hasa wamarekani. Mimi niko bongo kwa sasa, mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo MAPENZI ya ki-brazil yalinifanya route za hapo zisikatike[emoji1][emoji1], ilikuaje kuwaje mpaka ukarudi? Ama ulirudi kuwekeza?
😃😃 Vizuri mkuu umerudisha pesa nyumbani usaidie kujenga uchumiMkuu, nimerudi mazima. Sina plan yeyote ya kurudi kule labda itokee tu.... Nilikaa kule miaka 5 mpk nikawa nakiongea kijapani ila kwa sasa baadhi ya vocabulary zinapotea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuuliza google ni tofauti na kumuuliza mtu aliyeishi huko, we jibu maswali kwa mfano majibu yako yawe labda wali plate 1 dola 70 au yen 46 ili tuelewe vizur au bei ya samaki kilo 1 dola 30
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hukuyaelewa zaidi yaleaandikoMkuu kuna nyuzi zako nimeona umeandika kuhusu maswala ya kutaka kujitoa TUGHE,Na nyingine umeandika kwamba last year(2019) ulikua umefikisha miaka sita toka uoe na mwanamke uliemuoa ulikutana nae ukiwa unatoka field baada ya kumaliza chuo.Na hiyo field ulifanyia mgodini hapa hapa bongo?
Sijui imekaaje hiyo,??[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeiona wapi mkuuMjep nimeona Fukuoka nikakukumbuka
Kwenye Uzi huko limeandikwa.Umeiona wapi mkuu
Ngoja nilitafute japo uegoma kuni quoteKwenye Uzi huko limeandikwa.
MjepHiroshima hapo utalala na kujifunza historian ya hapo kesho yake safari tena ya masaa 3 mpaka 6 mapaka Nagasaki kupitia Fukuoka na Kitakyushu ni miji mizuri kwa sasa na inapendeza na shughuli za maisha huko zinaendelea Kama kawaida na mambo mengine yote yaliyopita yamebaki historia tu.
Wanajinyoga sana mkuu, Japan ni miongoni mwa mataifa yanayoongoza kwa watu kujiua kwa kujinyonga ama kujitoa muhanga wanajirusha sana kwenye matreni yanayooenda kasi (Shikansen)Mkuu kuhusu kuch kuch, Hawa watu sio WAPENDA starehe sana za kujirusha lakini nikuambie hakuna mtu ambae hapendi sex so wanalika tu Kama binadamu wengine.
😃😃 Kuhusu kunyoa vuzi sio kweli mkuu Mimi sijawahi kukutana na hiki unachozungumza.
Kujinyonga? Sijui na sijwahi kusikia Wala kulifuatilia.
Ubaguzi hakuna mkuu na ni kweli ni watu wapole na wanyenyekevu Kama jirani zao wakorea kusini
Mkuu Japan sijawahi kukutana na ishu ya kubaguliwa, Mimi tu Kuna mda nilikuwa nakuwa nao mbali baada ya kuona hatuelewani kilugha natafuta mtu ambae tunaweza kuzungumza na kuelewana
Ahsante mkuu nieona