Ifahamu nchi ya Japan na jiji lake lenye viwanda vingi la Nagoya

Ifahamu nchi ya Japan na jiji lake lenye viwanda vingi la Nagoya

Mkuu hongera sana kwa bandiko zuri kuhusu Japan, hakika umenikumbusha mengi
 
Wanajinyoga sana mkuu, Japan ni miongoni mwa mataifa yanayoongoza kwa watu kujiua kwa kujinyonga ama kujitoa muhanga wanajirusha sana kwenye matreni yanayooenda kasi (Shikansen)

Kuhusu ubaguzi upo sana inawezekana ukawa hujakutana nao sababu ya labda style ya maisha uliyokua unaishi lkn ukichangamana nao wanaubaguzi sana japo hawaonyeshi hadharani
Nashukuru kwa kuongezea nyama, japo binafsi sijawahi kukutana na hiyo kadhia ya kubaguliwa
 
Mkuu kuhusu kuch kuch, Hawa watu sio WAPENDA starehe sana za kujirusha lakini nikuambie hakuna mtu ambae hapendi sex so wanalika tu Kama binadamu wengine.

[emoji2][emoji2] Kuhusu kunyoa vuzi sio kweli mkuu Mimi sijawahi kukutana na hiki unachozungumza.

Kujinyonga? Sijui na sijwahi kusikia Wala kulifuatilia.

Ubaguzi hakuna mkuu na ni kweli ni watu wapole na wanyenyekevu Kama jirani zao wakorea kusini

Mkuu Japan sijawahi kukutana na ishu ya kubaguliwa, Mimi tu Kuna mda nilikuwa nakuwa nao mbali baada ya kuona hatuelewani kilugha natafuta mtu ambae tunaweza kuzungumza na kuelewana

Nimeipenda maelezo yako, ila una bahati njema hujawahi Kukutana na ubaguzi,Wajapani wabaguzi Sana Kwa watu weusi
 
Huu utamaduni wa rush hour nimeshuhudia mara nyingi ukifanyika japo sikutaka kufatilia kiundani binafsi kwanza ulikuwa unaniboa sana, ukifanyika unafanyika mara 2 kwa siku asubuhi na jioni barabara zinafungwa, safari zote zinasimama mpaka wamalize na Kama uko kazini inakubidi uwahi kutoka kabla hawajaanza, kwenye vyakula vyao sikuwa muumini sana Kuna migahama kwa ajili ya vyakula vya kiafrica nilikuwa nakula huko.

Japan haiilipi mishahara mikubwa ukilinganisha na nchi za ulaya labda Kama umeajiriwa na kampuni ya kimataifa nje ya Japan na ukapelekwa pale kufanya kazi tu Mfano:
Kwa mtu asiye na ujuzi yaani kibarua kwa japani unalipwa 1300Yen mpaka 3000Yen kwa saa na masaa ya kufanya kazi inategemea na nguvu zako

Kwa wenye ujuzi wanalipwa vizuri sana zaidi ya 8.28 mill. Yen na miongoni mwa kada zinazolipwa vizuri sana nchini Japan ni walimu wa kiingereza

Kuhusu suala la MAHUSIANO nadhani wajapan mnawachukulia tofauti tu ni Kama Tanzania wapo wenye majivuno na wapo walio wasio na majivuno na tangu niishi Japan sijawahi kuhisi nabaguliwa
Mkuu mimi ni mwalimu wa kingereza nipo bongo, vp nikienda huko nitapata mchongo au wanapewa kipaumbele wazungu zaidi? Mifumo yetu ya elimu inatambulika huko?. Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi ni mwalimu wa kingereza nipo bongo, vp nikienda huko nitapata mchongo au wanapewa kipaumbele wazungu zaidi? Mifumo yetu ya elimu inatambulika huko?. Ahsante.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kijapan na utamaduni wao, maana bila hivo hamtaelewana nao
 
Mkuu naskia wajapani wana sku maalum ya kiadhimisha mkuyenge aka dushe na nikila mwaka maadhimisho hayo hufanyika. Yakweri hayo?
Kweli mkuu tena hii ni sherehe kubwa sana na wanapita mtaani na mitaa inafungwa, linakuwa bonge la mkuyenge linawekwa kwenye vigari halafu wadada baadhi wanaushikilia unazungushwa mitaa wakiwa
 
Back
Top Bottom