Ifahamu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na Majukumu yake

Ifahamu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na Majukumu yake

Nina swali na ushauri
Swali: Kwanini namba za msailiwa wa kuandika (written interview)anapewa namba mapema?
Wasiwasi wangu upo hapa kama msailiwa ana mtu utumishi asiye mwaminifu anaweza Fanya namna Ili mtu wake apite au afaulu usaili wa kuandika .
Ushauri:Namba za wasailiwa hasa wa written wapewe namba siku ya usaili tena waokote namba randomly kama wanavyochezesha draw za ratiba za Mpira wa miguu.
 
Nina swali na ushauri
Swali: Kwanini namba za msailiwa wa kuandika (written interview)anapewa namba mapema?
Wasiwasi wangu upo hapa kama msailiwa ana mtu utumishi asiye mwaminifu anaweza Fanya namna Ili mtu wake apite au afaulu usaili wa kuandika .
Ushauri:Namba za wasailiwa hasa wa written wapewe namba siku ya usaili tena waokote namba randomly kama wanavyochezesha draw za ratiba za Mpira wa miguu.
Yaaan uokoteleze namba then uifanyie mtihani si mie nikiona namba iliyofaulu sana kesho kwenye oral nakuja nasema ni mie ndo nilifanyia hiyo mtihani utanikatalia???? Wakati kwenye system haipo??? We jamaaa waza Tena kitu kingine
 
Kazi yoyote inayohusu mafuta na gesi (petroleum) watangazieni wote waliosomea mafuta na gesi na mwaite wote wafanye usaili atakayepita ndio huyohuyo.

Kazi hizi: Production, Reservoir, Drilling, Petroleum, Exploration, Quality Assurance and Control.

Hizo kazi watu wa kozi zote za petroleum au mafuta na gesi wanaweza kuzifanya.

Ondoeni kigezo cha engineering registration bord (ERB) kwa kozi za mafuta na gesi (petroleum). Wekeni kigezo cha COMMON QUALIFICATION SYSTEM kinachoratibiwa na EWURA na PURA. EWURA na PURA pekee ndio wenye uwezo wa kudhibiti kozi za mafuta na gesi (petroleum).
 
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 29(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 (iliyorejewa 2019) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma na kuanzishwa rasmi tarehe 1 Machi, 2010.

Majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni;
  • Kutafuta wataalamu wenye ujuzi maalum na kuandaa mfumo wa kuhifadhi taarifa (kanzidata) za wataalamu hao ili kurahisisha utaratibu wa kuwaajiri pindi wanapohitajika;
  • Kuandaa orodha ya wahitimu wa Vyuo Vikuu na wataalamu wenye weledi kwa madhumuni ya kurahisisha rejea na ujazaji wa nafasi wazi za ajira katika Utumishi wa Umma;
  • Kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma;
  • Kuhusisha wataalamu maalum kwa ajili ya kufanya usaili kulingana na mahitaji;
  • Kutoa ushauri kwa waajiri kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na ajira; na
  • Kufanya kazi nyingine yoyote inayoendana na majukumu yake kadri itakavyoelekezwa na Waziri.
Oooh Usailiwa TMDA Dom Leo hakika ninepita, nasubur Oral tu. Mungu anipe nafasi hii hakika.
 
1.Kwa nini nafasi moja mnaita watu 3000+?lengo huwa ni nini?
2.huwa mnatumia mbinu gani kuweza kusahihisha karatasi za watu 5000+ ndani ya siku moja na kutoa majibu siku hiyo hiyo?huwa kuna umakini kweli hapo?
Hao 3000 wote wana sifa mkuu ndo maana wanaitwa na kusahisha nadhani ni simple tu ukiwa na panel ya watu 10 mbona wanamalizq mapema kaka
 
Nina swali na ushauri
Swali: Kwanini namba za msailiwa wa kuandika (written interview)anapewa namba mapema?
Wasiwasi wangu upo hapa kama msailiwa ana mtu utumishi asiye mwaminifu anaweza Fanya namna Ili mtu wake apite au afaulu usaili wa kuandika .
Ushauri:Namba za wasailiwa hasa wa written wapewe namba siku ya usaili tena waokote namba randomly kama wanavyochezesha draw za ratiba za Mpira wa miguu.
Bora hii ya saa hivi kipindi cha nyuma ilikua shida sana kupata namba Duce pale Utumishi wanabandika Asubuhi mnapigania namba kama wehu na wengine wanachana
 
Back
Top Bottom