Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ndo wanazingua kwahiyo wamekuja kutuchora tuHapa tutapata changamoto ya kutojibiwa kama ilivyo changamoto ya ucheleweshaji wa Placement
Yaaan uokoteleze namba then uifanyie mtihani si mie nikiona namba iliyofaulu sana kesho kwenye oral nakuja nasema ni mie ndo nilifanyia hiyo mtihani utanikatalia???? Wakati kwenye system haipo??? We jamaaa waza Tena kitu kingineNina swali na ushauri
Swali: Kwanini namba za msailiwa wa kuandika (written interview)anapewa namba mapema?
Wasiwasi wangu upo hapa kama msailiwa ana mtu utumishi asiye mwaminifu anaweza Fanya namna Ili mtu wake apite au afaulu usaili wa kuandika .
Ushauri:Namba za wasailiwa hasa wa written wapewe namba siku ya usaili tena waokote namba randomly kama wanavyochezesha draw za ratiba za Mpira wa miguu.
Oooh Usailiwa TMDA Dom Leo hakika ninepita, nasubur Oral tu. Mungu anipe nafasi hii hakika.Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 29(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 (iliyorejewa 2019) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma na kuanzishwa rasmi tarehe 1 Machi, 2010.
Majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni;
- Kutafuta wataalamu wenye ujuzi maalum na kuandaa mfumo wa kuhifadhi taarifa (kanzidata) za wataalamu hao ili kurahisisha utaratibu wa kuwaajiri pindi wanapohitajika;
- Kuandaa orodha ya wahitimu wa Vyuo Vikuu na wataalamu wenye weledi kwa madhumuni ya kurahisisha rejea na ujazaji wa nafasi wazi za ajira katika Utumishi wa Umma;
- Kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma;
- Kuhusisha wataalamu maalum kwa ajili ya kufanya usaili kulingana na mahitaji;
- Kutoa ushauri kwa waajiri kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na ajira; na
- Kufanya kazi nyingine yoyote inayoendana na majukumu yake kadri itakavyoelekezwa na Waziri.
Umejuaje umepita mzee?Oooh Usailiwa TMDA Dom Leo hakika ninepita, nasubur Oral tu. Mungu anipe nafasi hii hakika.
Unazijua cut point lakini?Oooh Usailiwa TMDA Dom Leo hakika ninepita, nasubur Oral tu. Mungu anipe nafasi hii hakika.
Jobless anawatisha utumishi we muache tu😅😅Umejuaje umepita mzee?
Cut point 86🤣Unazijua cut point lakini?
😂😂😂😂Ngoja wamfurahishe na cut point aanze kulia hahhhJobless anawatisha utumishi we muache tu😅😅
😂😂😂😂afu yeye kapata 85 hahhh hawezi kuamini macho yakeCut point 86🤣
Hao 3000 wote wana sifa mkuu ndo maana wanaitwa na kusahisha nadhani ni simple tu ukiwa na panel ya watu 10 mbona wanamalizq mapema kaka1.Kwa nini nafasi moja mnaita watu 3000+?lengo huwa ni nini?
2.huwa mnatumia mbinu gani kuweza kusahihisha karatasi za watu 5000+ ndani ya siku moja na kutoa majibu siku hiyo hiyo?huwa kuna umakini kweli hapo?
Subiri wahusika wanijibuHao 3000 wote wana sifa mkuu ndo maana wanaitwa na kusahisha nadhani ni simple tu ukiwa na panel ya watu 10 mbona wanamalizq mapema kaka
😂😂😂au sio?Subiri wahusika wanijibu
Bora hii ya saa hivi kipindi cha nyuma ilikua shida sana kupata namba Duce pale Utumishi wanabandika Asubuhi mnapigania namba kama wehu na wengine wanachanaNina swali na ushauri
Swali: Kwanini namba za msailiwa wa kuandika (written interview)anapewa namba mapema?
Wasiwasi wangu upo hapa kama msailiwa ana mtu utumishi asiye mwaminifu anaweza Fanya namna Ili mtu wake apite au afaulu usaili wa kuandika .
Ushauri:Namba za wasailiwa hasa wa written wapewe namba siku ya usaili tena waokote namba randomly kama wanavyochezesha draw za ratiba za Mpira wa miguu.
Baada ya kukaguliwa na askari unachukua namba yako kiulaini mbona Haina usumbufu.Bora hii ya saa hivi kipindi cha nyuma ilikua shida sana kupata namba Duce pale Utumishi wanabandika Asubuhi mnapigania namba kama wehu na wengine wanachana