Ifahamu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na Majukumu yake

Ifahamu Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma na Majukumu yake

Yaaan uokoteleze namba then uifanyie mtihani si mie nikiona namba iliyofaulu sana kesho kwenye oral nakuja nasema ni mie ndo nilifanyia hiyo mtihani utanikatalia???? Wakati kwenye system haipo??? We jamaaa waza Tena kitu kingine
Wewe msailiwa utaona wapi namba iliyofaulu zaidi kama wewe si mfanyakazi wa utumishi au una mtu utumishi?
 
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 29(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 (iliyorejewa 2019) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma na kuanzishwa rasmi tarehe 1 Machi, 2010.

Majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni;
  • Kutafuta wataalamu wenye ujuzi maalum na kuandaa mfumo wa kuhifadhi taarifa (kanzidata) za wataalamu hao ili kurahisisha utaratibu wa kuwaajiri pindi wanapohitajika;
  • Kuandaa orodha ya wahitimu wa Vyuo Vikuu na wataalamu wenye weledi kwa madhumuni ya kurahisisha rejea na ujazaji wa nafasi wazi za ajira katika Utumishi wa Umma;
  • Kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma;
  • Kuhusisha wataalamu maalum kwa ajili ya kufanya usaili kulingana na mahitaji;
  • Kutoa ushauri kwa waajiri kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na ajira; na
  • Kufanya kazi nyingine yoyote inayoendana na majukumu yake kadri itakavyoelekezwa na Waziri.
Kumekuwa na malalamiko makubwa na ambayo yana msingi kimaendeleo kwa Tanzania.
Swali ni Lini Wakurugenzi wa majiji/ Halmashauri na wakuu wa idara na vi tengo ndani ya Halmashauri nchini wataanza kuajiriwa kupitia Sekretariet ya ajira?
 
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 29(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 (iliyorejewa 2019) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma na kuanzishwa rasmi tarehe 1 Machi, 2010.

Majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni;
  • Kutafuta wataalamu wenye ujuzi maalum na kuandaa mfumo wa kuhifadhi taarifa (kanzidata) za wataalamu hao ili kurahisisha utaratibu wa kuwaajiri pindi wanapohitajika;
  • Kuandaa orodha ya wahitimu wa Vyuo Vikuu na wataalamu wenye weledi kwa madhumuni ya kurahisisha rejea na ujazaji wa nafasi wazi za ajira katika Utumishi wa Umma;
  • Kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma;
  • Kuhusisha wataalamu maalum kwa ajili ya kufanya usaili kulingana na mahitaji;
  • Kutoa ushauri kwa waajiri kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na ajira; na
  • Kufanya kazi nyingine yoyote inayoendana na majukumu yake kadri itakavyoelekezwa na Waziri.
Mmekuja huku sio mujibu tuhuma zinazowakabili zinaibuliwa na wadau
 
Mitihani kama hii inatungwa na nani, inasarifishwa na ulinzi wa aina gani usiibiwe,inahifadhiwa wapi kabla ya kufanyika, inahifadhiwa na nani ambaye mtoto wake au ndugu yake haitaji kazi, inashihishwa na Akina Nani.
( Refer ulinzi wa mitihani ya NECTA )
Ili kujibu maswali Haya pitia marks hizi utagundua kitu .
 

Attachments

Nakumbuka mwaka 2012 katika nafasi 3 mlizotangaza na waombaji 627 waliofanya usaili akiwemo mtoto wa PM mstaafu, mimi nisiyemjua yeyote serikalini nilipata kazi kwenye shirika kubwa na mtoto wa ex PM alikosa.
 
Mitihani kama hii inatungwa na nani, inasarifishwa na ulinzi wa aina gani usiibiwe, inashihishwa na Akina Nani
Ili kujibu maswali Haya pitia marks hizi utagundua kitu .
Huu mtihani ulikuwa mwepesi. Ningepata kuhudhuria mitihani ya petroleum. Haki ya Mungu ningebamiza 100. Mitihani hiyo inatolewa maswali ya professional.
 
Sekretarieti ya Ajira hongereni kwa kazi nzuri na pia kutupa miongozo
Naomba kuuliza zile interview zilizofanyika mwezi wa tisa majibu yake yatatoka lini?maana kusubiri bila kupewa majibu huku mtaani tunateseka sana ni heri tukapewa majibu tujue kama tumepata au hatujapata
Ni kweli tujue msimu mpya wa kulipa Kodi za nyumba unaingia tusije kulipa baada ya siku mbili placement inatoka na umo umepelekwa mkoa mwingine,tusaidieni kwa hili jobless
 
Back
Top Bottom