Wewe msailiwa utaona wapi namba iliyofaulu zaidi kama wewe si mfanyakazi wa utumishi au una mtu utumishi?Yaaan uokoteleze namba then uifanyie mtihani si mie nikiona namba iliyofaulu sana kesho kwenye oral nakuja nasema ni mie ndo nilifanyia hiyo mtihani utanikatalia???? Wakati kwenye system haipo??? We jamaaa waza Tena kitu kingine
😂😂😂😂Hebu ifikirie vizuri mzee Yani tukaokote namba pale aditorium kweli??Wewe msailiwa utaona wapi namba iliyofaulu zaidi kama wewe si mfanyakazi wa utumishi au una mtu utumishi?
Wewe msailiwa utaona wapi namba iliyofaulu zaidi kama wewe si mfanyakazi wa utumishi au una mtu utumishi?
Hayupo seriousWe jamaaa ushawahi hata fanya usaili majibu yanapostiwa online na namba zote za waliofanya zinaonekana Sasa nitakua kipofu nisione aliyepata 98 hapoa juu wakati wameweka na namba yake
Kumekuwa na malalamiko makubwa na ambayo yana msingi kimaendeleo kwa Tanzania.Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 29(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 (iliyorejewa 2019) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma na kuanzishwa rasmi tarehe 1 Machi, 2010.
Majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni;
- Kutafuta wataalamu wenye ujuzi maalum na kuandaa mfumo wa kuhifadhi taarifa (kanzidata) za wataalamu hao ili kurahisisha utaratibu wa kuwaajiri pindi wanapohitajika;
- Kuandaa orodha ya wahitimu wa Vyuo Vikuu na wataalamu wenye weledi kwa madhumuni ya kurahisisha rejea na ujazaji wa nafasi wazi za ajira katika Utumishi wa Umma;
- Kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma;
- Kuhusisha wataalamu maalum kwa ajili ya kufanya usaili kulingana na mahitaji;
- Kutoa ushauri kwa waajiri kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na ajira; na
- Kufanya kazi nyingine yoyote inayoendana na majukumu yake kadri itakavyoelekezwa na Waziri.
Au amekandwa anaona waliofaulu wamepewa majibu anaona ashazoea kuongoza huko chuo na secondary kajiona mwamba kuwa kama mie nimefeli basi hapa wamepewa Pepa🤣🤣🤣🤣🤣 psrs sio mchezo hawa jamaaaHayupo serious
Mmekuja huku sio mujibu tuhuma zinazowakabili zinaibuliwa na wadauOfisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imeanzishwa kwa mujibu wa kifungu cha 29(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 (iliyorejewa 2019) kwa ajili ya kushughulikia mchakato wa Ajira katika Utumishi wa Umma na kuanzishwa rasmi tarehe 1 Machi, 2010.
Majukumu ya Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni;
- Kutafuta wataalamu wenye ujuzi maalum na kuandaa mfumo wa kuhifadhi taarifa (kanzidata) za wataalamu hao ili kurahisisha utaratibu wa kuwaajiri pindi wanapohitajika;
- Kuandaa orodha ya wahitimu wa Vyuo Vikuu na wataalamu wenye weledi kwa madhumuni ya kurahisisha rejea na ujazaji wa nafasi wazi za ajira katika Utumishi wa Umma;
- Kutangaza nafasi wazi za kazi zinazotokea katika Utumishi wa Umma;
- Kuhusisha wataalamu maalum kwa ajili ya kufanya usaili kulingana na mahitaji;
- Kutoa ushauri kwa waajiri kuhusu masuala mbalimbali yanayohusiana na ajira; na
- Kufanya kazi nyingine yoyote inayoendana na majukumu yake kadri itakavyoelekezwa na Waziri.
😂😂😂😂Yani psrs ukienda na ile huwa naongoza aseeh hutoboi utabaki kulaumu tuAu amekandwa anaona waliofaulu wamepewa majibu anaona ashazoea kuongoza huko chuo na secondary kajiona mwamba kuwa kama mie nimefeli basi hapa wamepewa Pepa🤣🤣🤣🤣🤣 psrs sio mchezo hawa jamaaa
Huko pa kwenda kitaalam sana mkuu kuangukia pua ni dakika chache tu unakutana na not selected 🚫🚫🚫🚫🤣🤣😂😂😂😂Yani psrs ukienda na ile huwa naongoza aseeh hutoboi utabaki kulaumu tu
😂😂😂😂unajua mwanzo niliwazaga watu wanapewa nondo lakini nikajifunza aseehHuko pa kwenda kitaalam sana mkuu kuangukia pua ni dakika chache tu unakutana na not selected 🚫🚫🚫🚫🤣🤣
Ndio maana mpaka kesho mtu akiniambia nimpe koneksheni apate kazi namuona kama maamuma asiyejielewa na ambaye HANA SIFA YA KUPATA KAZI[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unajua mwanzo niliwazaga watu wanapewa nondo lakini nikajifunza aseeh
Ndio maana mpaka kesho mtu akiniambia nimpe koneksheni apate kazi namuona kama maamuma asiyejielewa na ambaye HANA SIFA YA KUPATA KAZI
Huu mtihani ulikuwa mwepesi. Ningepata kuhudhuria mitihani ya petroleum. Haki ya Mungu ningebamiza 100. Mitihani hiyo inatolewa maswali ya professional.Mitihani kama hii inatungwa na nani, inasarifishwa na ulinzi wa aina gani usiibiwe, inashihishwa na Akina Nani
Ili kujibu maswali Haya pitia marks hizi utagundua kitu .
Ni kweli tujue msimu mpya wa kulipa Kodi za nyumba unaingia tusije kulipa baada ya siku mbili placement inatoka na umo umepelekwa mkoa mwingine,tusaidieni kwa hili joblessSekretarieti ya Ajira hongereni kwa kazi nzuri na pia kutupa miongozo
Naomba kuuliza zile interview zilizofanyika mwezi wa tisa majibu yake yatatoka lini?maana kusubiri bila kupewa majibu huku mtaani tunateseka sana ni heri tukapewa majibu tujue kama tumepata au hatujapata
Hovyo sana kijana🤣Samahani wakuu nashidwa kuswitch account kwenda ya Ajira so maswali yenu yote nitayajibu badae nikifanikiwa nawasilana na uongozi wa jf kwanza(jokes)🤣🤣
😂😂😂😂Unalipa tu afu pdf umepangiwa mtukula hukoNi kweli tujue msimu mpya wa kulipa Kodi za nyumba unaingia tusije kulipa baada ya siku mbili placement inatoka na umo umepelekwa mkoa mwingine,tusaidieni kwa hili jobless
Safi tupe Siri ya mafanikio kiongozi?Nakumbuka mwaka 2012 katika nafasi 3 mlizotangaza na waombaji 627 waliofanya usaili akiwemo mtoto wa PM mstaafu, mimi nisiyemjua yeyote serikalini nilipata kazi kwenye shirika kubwa na mtoto wa ex PM alikosa.