Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Ifahamu Sifongo iliotiwa Siki aliyopewa Yesu akiwa Msalabani

Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....

Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana

Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana

Muwe na mchana Mwema
In short hakuna ulichoelezea kuhusu sifongo na siki, na mtu akisoma hawezi kujua ni kitu gani. Nadhani ungejazia content zaidi bandiko lako ili lieleweke hata kwa mtu wa kawaida!
 
Screenshot_20190702-101344.png
Screenshot_20190702-101244.png
Screenshot_20190702-101344.png
 

Attachments

  • Screenshot_20190702-101117.png
    Screenshot_20190702-101117.png
    48.5 KB · Views: 59
In short hakuna ulichoelezea kuhusu sifongo na siki, na mtu akisoma hawezi kujua ni kitu gani. Nadhani ungejazia content zaidi bandiko lako ili lieleweke hata kwa mtu wa kawaida!
sawa kiongozi ndio maana mwishoni nimesema. Ni mchanyiko wa sumu kali
 
Salama wana jamii Amani na iwe juu yenu
Nimependa Leo nije na uzi huu juu Sifongo
Na Siki. Jambo ambalo halijazungumziwa Sana juu ya mateso ya Yesu wa Nazareth pia kuna jambo baya alifanyiwa na watesaji ambapo alipewa sifongo yenye siki utajiuliza ni kwanini alionja tu ile Sifongo alikata roho Luka 23:36 na Mark 15:36 mmoja wao alienda mbio akajaza sifongo katika chombo akatia katika mwanzi akamnywesha Alipoipokea akakata roho....

Sifongo ni kitu gani?
Enzi za utawala wa kifalme sifongo. Ilikuwa ikitumiwa na wawindaji na askari vitani kuua wanyama hatari. Kama dubu Simba mbwa mwitu pia ilitumiwa na wapiganaji vitani ambapo hutembea na sifongo siki katika chombo kisha huchovywa ncha ya mshale au mkuki katika chombo na huu tupa ambapo adui hupoteza maisha kwa sekunde chache maana sumu Kali sana(wataalumu wa usiku hizi. Wanaifananisha sumu Kali ambayo hupigwa. Kwenye mashamba kwa ajili ya kuua majani ikiwa haijachanganywa na maji) in short Sifongo kwenye siki ni sumu Kali sana tena sana

Je sifongo katika siki imetengenezwaje?
Kwa kifupi taarifa za awali zinasema hutumia mifupa ya aina ya Fulani ya nyoka na mafuta yake na taarifa nyingine husema ni mizoga na nyongo crocodile lakini haikujulikana taarifa za 100% kua hii ndio hasa ilitumika kutengenezea Sifongo iliotiwa Siki sumu kali sana

Muwe na mchana Mwema
Hizi ni sawa na stori za kina Idi Amini kula nyama za watu
 
B. Netanyau aulizwe maaana aaah
Hapa Netanyahu atakua anaonewa ( Hope umeweka jina hilo uki present Myahudi/Wayahudi) cause kina Netanyahu walitaka auawe Yesu tena kwa kusurubiwa cause ndio ilikua style yao ya kuua watu wanao wadhania kua ni waovu but hayo mambo ya SIKI na ile misumari na style nyingine za uuaji walifanya wakoloni wao/watawala wao yaani Warumi/Waitalia so tuwaulize kina Beleskoni wa AC Milan ndio wanajua Zaidi hayo mambo ya SIKI
 
Upotoshajii uzandikiiii

Huyo yesu wenu hajawahi kuexist popote pale zaidi ya vichwani mwenu..na vitabunii
 
Hawa jamaa hawana dogo mtu umemtundika msalabani ana ponaje wakaona haitoshi wakampiga sifongo halafu kuna machizi waligawana kanzu lake..Halafu kuna wajinga wanasema ibarikiwe Israel
Kuna tofauti kati ya Wayahudi na Israel kaka mkuu
 
Km sifongo siki ni sumu na wao walikuwa na lengo la kutaka afe haraka kwanini hawakupaka kwenye ule mkuki waliomchoma nayo ubavuni? Sumu kupitia mdomoni huchelewa kidogo kuua kuliko ile iliyowahishwa kwenye damu. Na je km lengo ni kuua fasta si pale kuna mkuki kwann wasimchome moyoni fasta hamalizi hata sekunde?
 
Back
Top Bottom